Habari zenu wakuu, mimi ni kijana mjasiriamali ninafanya kazi katika ofisi yangu ambayo nimeianzisha mwenyewe maeneo ya chanika Dar es salaam.
Lengo haswa la kuja mbele yenu ninahitaji mtu abaye...
Habari wadau wa Jamiiforums
Naomba mnisaidie wazo la kibiashara niko Arusha Mjini, kaka yangu amenipa vifuatavyo ameniambia nitafuate wazo la biashara na nianzishe biashara yangu.
Amenipa ofisi...
Forbes Wametoa Listi ya watu 50 matajiri zaid afrika huku Listi ikiongozwa na Mnigeria Aliko Dangote(pichani ) Na kwa upande wa Nyumbani, Mtanzania(mwanasiasa) Wa kwanza ameonekana akiwa katika...
Kilo ya korosho pale airport departure lounge inauzwa karibu Tshs.20000. Kampuni ya Ali Baba ya China inatangaza bei ni dola 10 kwa kilo. Hii ni baada ya kuongeza flavors. 3000 bado...
Jamani naulizia ushuru wa TRA kwa pikipiki inayoagizwa kutoka nje ukoje na pia kwa hapa bongo ni wapi wanakouza pikipiki used zilizo katika hali nzuri kutoka Japan?
Wakuu niko katika mchakato wa biashara ya matofali ila ningependa kujua usahihi wa vipimo vinavyotakiwa katika matofali yasiyo kuwa na matundu (solid blocks) na kwa yale yenye matundu (hollow...
Kwa asilimia kubwa watu wengi wanaoanzisha biashara mara nyinyi huwa tayari wameshafanya utafiti kuhusu soko la biashara,eneo la kufanyia biashara na hata kujua mahitaji ya wateja
Pamoja na...
Habari wakuu!
Ningependa kufahamu ipi njia nzuri ya kumtumia mteja mzigo wake akiwa mkoani,ili uweze kumfikia salama na unaotengeneza Mazingira mazuri ya
Uaminifu kati ya mfanyabiashara na
Mteja...
Hii ni packaging ya sembe kutoka Uganda inauzwa £8.00 kwa kilo mbili.
Waganda si wakulima wa mahindi kama sisi lakini wamefanikiwa kuteka soko la unga wa ugali Ulaya waishindana na wa South Africa.
Inatarajiwa kuwa watalii 10,000 kutoka jiji la Shangai China watakuja nchini mnano mwaka 2019 baada ya makubaliano yaliyofanywa na kampuni ya Touchroad International Group ya nchini humo na bodi...
Habar jf
Biashara ya kubeti imekua ikishamili Siku adi Siku ...watu wamekua wakibeti kupitia online au katka mashine vilevile kwa mitandao kama voda,tigo na mingineyo
Swali langu kuhusu kubeti...
Jana nilieleza machache kuhusu korosho. Leo ngoja niongeze 'nondo' kidogo;
Kwanza nipongeze serikali kwa kuamua kuwanusuru wakulima kwa kununua korosho yao, ili kuwaepusha na hasara ikiwa...
Worth to have this in here!
Aside numerous Airports underconstruction around the country (10 in total), modernization of our airspace is underway. Already 4 radars are being installed at Dar...
Mafanikio katika mradi (wakati mwingine) huangaliwa ni kwa kiasi gani shughuli za mradi (project activities) zimetekelezwa ndani ya bajeti iliyopangwa. Utekelezaji wa mradi ndani ya bajeti hutokea...
Kuwa na mpango mkakati (strategic plan) katika biashara/kampuni yako ni jambo la msingi sana, hii hupelekea ufanisi na uhai mrefu wa biashara yako. Kwa mfano, katika makampuni 100 yenye mafanikio...
Kuna njia kuu mbili ambazo kampuni/biashara huweza kuzitumia katika kutekeleza mkakati wake wa kiushindani (Competititve Strategy) katika soko; njia hizi hujumuisha;
Offensive tactic; hii...
Nimekaa na kufikiri namna ambavyo wasomi wa Taifa hili tulivyolisaidia Taifa letu. Nimekuja kugundua na kuhitimisha kuwa elimu tunayopata darasani, iwe katika nchi za wenzetu au masomo ndani ya...
Ukisikiliza 'business ideas' za watu wengi utashangaa jinsi wanawaza kufanya biashara kubwa ambazo 'consumers' wake ni wenye vipato vya kati, while Wafanyabiashara wengi Matajiri wao siku zote...
Kuna mahali nilisoma kwamba Tanzania ina zaidi ya milioni tatu amabazo nyingi ni ndogo ndogo almaarufu kama SMEs. Je katika kundi la SME, makadirio ya idadi ya biashara ambazo ni za saizi ya kati...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.