Habari ndugu.
Sikuhizi ajira zimekosa mambo yamekuwa magumu
Kuna Rafiki yangu anafanya kazi kwa muhindi kariakoo ya kuuza bidhaa za Dukani
Anatafuta mtu wa kuchanga naye mtaji waanzishe...
Habari wanajamvi, Namtafuta bwana MPILIPILI, Ni yule jamaa mwenye ile mada ya " fursa za kibiashara CHINA' Mwenye kujua namna ya kumpata naomba msaada.
Biashara ya samani (furniture industry) ni biashara inayokua kwa kasi, na imekuwa ikinyooshewa kidole kama ni njia muhimu (important tool) katika kufikia uchumi wa viwanda ambao ni lengo la Mpango...
HABARI WANA JAMII??
Naitwa Tarick Majiji nipo morogoro kimasomo Nipo chuo nasoma Diploma ya Information and communication technology (ICT), Natafuta sapoti ya mtu ambaye atakuwa tayari kunishika...
Kuna bidhaa nataka ninunue kupitia mtandao wa jumia lakin wanataka nilipie kabisa hapo ndipo nimepata ukakasi,,Mwenye uelewa kuhusu mtandao wa jumia naomba anisaidie au aliewahi kununua bidhaa...
Wakuu, heshima kwenu.
Kutokana na changamoto ya upatikani wa maji yasiyokuwa na chumvi Kigamboni nimeona hii ni fursa ya biashara.
Wazo langu:
Ni kununua SIMTANK yenye capacity kuanzia 5000...
Nimejaa hasira nashindwa kujua tatizo nini hasa kwa kua tumefanya wote uandikishaji wa awamu ya pili cha kushangaza vimerudi vya wale ambao hawakuwahi kujiandikisha wala kua na vitambulisho...
According to Ibn Khaldun(muqqadimah ), tax revenues of the ruling dynasty increase because of business prosperity, which flourishes with easy, not excessive taxes. ... ,
Nini maoni yako?
Wekeni kituo cha mafuta maeneo ya mandera road/tabata. Naamini sana bidhaa yenu na kuna wengine wapo karibu lkn ukiweka mafuta tu kwenye gari, taa ya check engene inawaka.
Kwa kuwasaidieni pale...
Habari kutoka mkoani kagera zinasema bei ya senene imeporomoka sana msimu huu, mpaka sasa hawaelewi kama mporomoko huu umetokana na bei ya senene kwenye soko la dunia. Habari za uhakika zinasema...
Habari za mda huu wanajamvi!
Sina shaka maana na jua kwa rehema za MUNGU mmeamka salama na baadhi tiari mpo makazini kuijenga nchi yetu.
Kwa wale ambao hawapo poa kiafya na kiakili Mungu awatie...
1. Weka bajeti
Ni rahisi kusikia watu wakilalamikia bajeti za serekali na kuzikosoa lakini wao wenyewe hawana bajeti zao binafsi. Unawezaje kukosoa bajeti ya serekali wakati ya kwako mwenyewe...
Hivi karibuni nimepata mtaji wa takribani Mil 20. Nimekuwa nikipanga kuanza biashara ya electronics kama vilivyotajwa hapa chini, changamoto inayoniogopesha ni mamlaka za serikari kuhusu vibali na...
1. PURPOSE: every brand has a message and promise, however we’re in a market where consumers have become smarter with their purchasing decisions, having a well defined purpose - your WHY - will...
Shirika la Ndege la Fastjet linatarajia kuondoka katika soko la Tanzania, baada ya kujiendesha kwa hasara kutokana na sababu mbalimbali, zikiwemo ushindani kutoka Shirika la Ndege la Tanzania...
Wakuu poleni na pilika za mchana, niende moja kwa moja kwenye mada.
Naombeni msaada wenu kwa wataalamu na wazoefu wa taratibu zetu na sheria zetu hapa nchini, ni hivi kama mtu ana ubunifu au...
Strategise centralised data system for investors, TPSF tipped
Tanzania Standard Newspapers Ltd
3-4 minutes
TANZANIA Private Sector Foundation (TPSF) should source a centralised...
Wakuu habarini! naomba mwenye kujua kuhusu gharama za uwekezaji wa biashara ya mafuta, ukianzia na mantaki, mita na ujenzi wa miundo mbinu ya kituo, biashara hii nataka kuifanya dodoma. kiwanja...