Kijana mdogo ONTARIO aliyejizolea jina kubwa na hata kubadili jina lake na kuwa Mkuu na Chief akiiitwa na watu wa rika mbalimbali wazee kwa vijana. Kijana huyu ameleta sauti za matumaini kubwa...
Nina line mbili za M-Pesa (ya wakala na second) zote pin ziko blocked, bad enough nilinunua tu kwa mtu 3yrs ago. Kwa hiyo haziko kwa majina yangu. Naombeni msaada kwa mwenye maarifa namna ya...
Jamani nataka kuwa mjasiriamali? Na nataka nianzishe biashara yangu kwa mtaji mdogo sana,je una niashauri nini kwenye biashara hiyo ambayo nataka niifanya ingawa bado sijaifikilia biashara gani...
Wakuu hivi NMB wanapokutumia SMS kwamba karibu upate Mkopo wenye riba nafuu kwa kukitaja jina kabisa,wanakuwa wanapata wapi taarifa zako?
Je wako serious watakupa mkopo?
Je wametumia kigezo gani...
Habari wana JF, natumai muwazima afya,
Moja kwa moja kwenye mada, kama kichwa cha habari kilivojieleza hapo juu,
Nimepata matatizo huko nyumbani shida yangu nilikua naomba wasamaria wema wa JF...
Tanzania imeorodheshwa kuwa miongoni mwa mataifa ambayo uchumi wake utakua kwa kasi zaidi kufikia mwaka 2026.
Kituo cha Kimataifa cha Maendeleo cha Chuo Kikuu cha Havard cha Marekani kinakadiria...
Naomba niwe muwazi. Mimi ni mmoja kati ya watu wanaotumia huduma za kifenda za hii mitandao ya simu.
Naomba kuwapongeza tigo kwakua wako poa na hawajawahi kunisumbua.
Tatizo ni kwa hawa mpesa...
Makala Ndani ya RAIA MWEMA: "Ndimi mbili za Zitto na kisa cha mkata kuti alilokalia"
Makala Ndani ya RAIA MWEMA: "Ndimi mbili za Zitto na kisa cha mkata kuti alilokalia"
Kuna binti mmoja kutoka Tanga alipata mchumba, ni kijana anaeishi Dar. Mchumba akimuomba sense likizo mwezini mmoja ili wafahamiane vizuri kabla ya harusi.
Yule binti amefika kwa mchumba aliona...
*MTIHANI WA UELEWA WA ELIMU YA FEDHA*
kabla sijaanza kufundisha juu ya elimu ya fedha naomba kutoa mtihani huu wa kifedha, lengo la mtihani huu Ni kujitambua wewe mwenyewe juu ya uelewa wako wa...
Poleni na shughuli wakuu, ninaona fursa kabisa iko wazi hapa kwenye biashara ya juice hasa kwa sisi ambao tupo mkoani. Kwa sisi ambao bado hatujaingia rasmi kwenye hiyo biashara ni vyema tungepata...
HIVI UNAJUA?
Na, Ikwataki Audax
Unajua, kuna wasomi wanawapuuzia watu ambao hawajasoma kama wao.. Yaani hawa wasomi hawataki kuwapa nafasi wenye elimu ya chini kushirikisha ideas...
Ndugu zangu waungwana natarajia kuanzisha mgahawa au sehemu ya kuuzia chakula cha kupikwa ila nategemea kuweka msimamizi au manager wa kusimamia hiyo biashara kwa kuwa mimi nina biashara nyingine...
Habari wanajamii mimi ni kijana nipo Kasulu mkoa wa Kigoma nataka kufanya biashara ya kuwa nachukua mpunga mashambani na kuja kuuza kasulu mjini ikiwezekana mwakani nianze kuulima pia mwenye...
...Uamuzi wako wa kusikiliza sana maneno ya watu na kuwafanya wao ndio majaji na wa waamuz wa maisha yako, yaani mpaka wakuthibitishe wao ndio ufanye jambo, itakugharimu nguvu nyingi sana Kufikia...
Sisi wanaume sio wote wamepewa uwezo wa kiume
-Wengi wamekwama
-mitaji. hawana
-njia hawajaijua
-wanaume tuwezeshane kiuchumi
-wanaume wa tanzania tunaweza zaidi
Natafuta wa kuniwezesha...