Habari za siku nyingi wapendwa wangu.
Ni mda mrefu sijaingia kwenye mtandao huu takribani miezi mitatu kama sikosei, naamini kuna vitu vingi vitamu ambavyo vilinipita bila mimi kuvipata. Ok; acha...
Tanzania like Kenya has the save fiber network but in Kenya access to faster internet is cheaper which has allow for companies to have their offices in Kenya while Tanzania has lag behind.
There...
Wana Jamii...!!!
Ninayo imani kubwa na jukwaa hili kutokana na manufaa mbalimbali tunayoyapata hasa katika kupata taarifa za muhimu zinazohusu shughuli zetu za kila siku.
Wa-ndugu nipo katika...
Habari zenu wana JF..
Nimepatwa na uitaji wa pesa ya kiasi cha Tsh 1.7mil kwa mwenye uwezo wa kunisaidia hiyo pesa dhamana ni kiwanja...
Number yangu ni 0656143546. Asanteni..
Nimesikia kuwa katika kuondoa matumizi ya mercury yanayopigwa marufuku na serikali ktk machimbo ya dhahabu, wachimbaji wadogo wamegeukia borax ambayo inafanya kazi kama mercury. Eti hii ni kweli...
Wakuu tubadilishane mawazo hapa
Tusio na mitaji huwa tunakuwa na mawazo mazuri sana ya kibiashara.
Kwa mfano, mimi napenda sana kuagiza shela za harusi kutoka China na Dubai kwakuwa bei zao zipo...
Kama tunavyojua biashara ni matokeo ya kusuluhisha changamoto zinazojitokeza katika maisha ya kila siku
Katika changamoto hizi ndipo unapogundua kuna jambo la kufanya kukuingizia kipato.
Haya...
Habari wakuu
Kuna mzigo wangu niliununua mtandaoni huko aliexpress nilituma kwa njia ya posta ya CHINA POST ORDINARY SMALL PARKET. Mzigo ulivyotoka nje ya china kuja tz ukawa hautrack...
Habari zenu wadau
Hapa ninapofanya kibarua kuna store za bidhaa mbalimbali lakini nyingi miongoni mwazo ni madaftari (counter book).
Nimejaribu kumuuliza jamaa ambae anadeal na counter book za...
Imagine running a big business right now. Demand for your product is up. You need a new factory. Should you build now? Should you wait until next year? The year after?
That’s not really a...
Salamu wakuu kwanza
Bila kupoteza mda Leo nimeamkia kwenye kutafuta riziki nimekuja kwenye sherehe ya ndoa hapa nikasema nipige pesa Leo Kwa Sana cha ajab sherehe inaanza tu.. Jamaa kachukua...
Heshima kwenu wakuu
Leo ni siku nyingine, na mada nyingine mezani. Katika Maisha yetu naamini tumewahi kukaa na wazee ama watu waliotuzidi umri ambao wametusimulia mengi yaliyotokea kwenye maisha...
Salute wakuu, hope harakati zinaenda ipasavyo.
Straight to the point, kuna idea hii ya ecommerce website kwa tz, nmekua nikiifikiria sana na sasa nimeamua kuifanya.
Looking at tz, naona giants...
Habari ya leo wakuu?
Samahani,siku za nyuma nilipost thread ya kutafuta kazi au kibarua sikuweza kufanikiwa ila kuna eneo la biashara ya jikoni nimelipata na pako vizuri sana,aliye kuwepo mwanzo...
Wakuu habari zenu,
Niko najaribu kuwaza tu kwanini ushirika ulikufa yawezekana sababu zipo, lakini zikawa hazina mashiko sana.
Tufanye nini ili kuinua na kufufua upya vyama vya ushirika vyenye...
Salam wakuu.
Ni taasisi /agent/ saccos gani (ukiacha mabenki) naweza kupata mkopo wa TZS 1.000.000 haraka ndani ya siku moja? Hata kama mtu binafsi sawa tu.
Nina nyumba.gari.
Naomba kujua na...
Ukiskia fursa kwako wewe mfanyabiashara, hii ni yako. Tumia tips hizi kuongeza mauzo/sales katika biashara yako kipindi hiki cha sikukuu.
1. TOA DISCOUNT
Kulingana na biashara unayofanya, angalia...