Biashara, Uchumi na Ujasiriamali

Special forum for those interested in Business and Economics discussions

Mega Projects in Tanzania

Threads
243
Posts
7.3K
Threads
243
Posts
7.3K

JF Prefixes:

Wakuu habari za weekend naomba niende moja kwa moja kwenye kichwa cha ulizo langu Kuna site hii jmoney.site hii site inamatangazo ambapo ukiingiza code flani wanazokupa wabakulipa mpaka sasa...
0 Reactions
19 Replies
3K Views
natafuta kampuni,credit one ambayo naweza kukopa kupitia mfumo wa kuacha atm card ya akaunti ya mshahara.kwa maana hicho ndicho nilichonacho.sifa zingine kibenki sina.nipo dar
1 Reactions
2 Replies
1K Views
Wakuu naomba wenye fursa mbali mbali za biashara mzitoe hapa na jinsi gani ya kuzifanikisha. Toa fursa ukizingatia mtaji wa kuanzia million 1-5 Asanten#
1 Reactions
5 Replies
7K Views
1. Think & Grow Rich by Napoleon Hill A must for anyone wanting to improve their lives and their positive thinking. There have been more millionaires and indeed, billionaires, who have made their...
2 Reactions
19 Replies
6K Views
Vitabu madhubuti na makini sana kwa ajili ya matengenezo ya afya yako, afya mkeo na afya ya Mtoto tangu akiwa tumbon mpaka anazaliwa, kwa bei nzuri. Tupo dar Es salaam, Dodoma, mwanza, Arusha na...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Habari wajasiriamali wenzangu, Hivi karibuni nafikiria kijiunga na wenzangu katika kuajiri. Ipo hivi; Ninunue gari Aina ya Toyota Noah kisha dogo akafanye biashara ya kubeba abiria kutoka...
2 Reactions
11 Replies
4K Views
Habari za majukumu wana Jamvi. Naomba niulize kwa mwenye kufahamu jinsi ya kuwasiliana na wakala anaetambulika na DSE yaani Dar es Salaam Stock exchange kwa jinsi ya namna ya kununua hisa. Asanteni!
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Click link hiyo hapo Grand Giveaway 2017
0 Reactions
0 Replies
899 Views
Mzungu aliwahi kusema "scarcity is expensive: uhaba wa kitu unaongeza thamani, Ndivyo ilivyo katika soko la ajira, Hapo zamani uhaba wa watu wenye degree uliwapa soko kubwa na walilipwa vizuri na...
3 Reactions
5 Replies
1K Views
Wakuu Hili leo lazima tujiulize, Trump kasema Afrika kuna fursa nyingi za biashara na rafiki zake wengi wanakuja huku na kutajirika. Lakini humu tu kuna thread nyingi za kushauriana jinsi ya...
5 Reactions
11 Replies
2K Views
Mkuu wa Kitengo cha wateja wa Reja Reja wa Ecobank Ndabu Lilian akizungumza wakati wa Uzinduzi Dar es Salaam. Ecobank imeboresha aplikesheni yake ya simu za mkoni kwa kuanzisha utaratibu...
2 Reactions
2 Replies
2K Views
Its just curiosity; Kwamba BOT wanajua kwa sasa kuna jumla ya Shilingi ngapi kwenye mzunguko nchini? Kama ndio. Wanajuaje? Au wana hesabu tu ya walizoprint. Tupeni elimu wajuzi.
2 Reactions
15 Replies
3K Views
Wakuu salam. Hoja kubwa ni serikali ilisema imefuta kodi kwenye mbolea, sasa kwa nini bei iko juu bado afadhali enzi ya jk kuliko sasa, mnatuwazia nini sisi watanzania wakulima?
0 Reactions
2 Replies
946 Views
Mwenye ufahamu anisaidie utaratibu wa kuwa wakala wa sports betting Bila kujali ni kampuni ipi Kuna fursa nimeona hapa mtaa naona watu wengi ikifika wkend wanajazana kupiga Ramli tu, Sent using...
0 Reactions
5 Replies
4K Views
Habarini wapendwa, Naomba kuwajulisha fursa ya ujasiriamali wa huduma ya chakula pale ubungo external. Wafanyakazi wengi wa BENJAMIN MKAPA PROCESSING ZONE huwa wanatoka nje muda wa chakula kwa...
1 Reactions
11 Replies
2K Views
BIASHARA YA TAX DAR NI GARI GANI INAFAA ZAIDI? Wadau wa hiyo biashara hapo juu, Naomba kupata ushauri kwa aina ya gari inayofaa ili kukuwezesha kupata faida kama mmiliki na kuwakabidhi madereva...
0 Reactions
9 Replies
10K Views
Inaaminika kwamba mishahara watu wanayo lipwa ni hongo ya kuwafanya watelekeze Ndoto zao na waanze kutekeleza ndoto za wale wanao wapatia mishahara. Hii inapata Nguvu kwa sababu Msomi au mtu...
15 Reactions
81 Replies
8K Views
Mimi ni mteja wa benki inayotoa card za Tembo card VISA na Master Card. Nimekuwa mteja wa benki hiyo kwa kipindi kirefu tangu enzi hizo tukiwa tunatumia tembo card ya kawaida. Baada ya...
1 Reactions
25 Replies
20K Views
Tanzania sasa imekua si sehemu salama kibiashara kwa upande wangu, tangu mwaka jana November sijawahi kuona faida ya biashara, matumizi yamekua makubwa kuliko faida, yes nikaona isiwe shida...
2 Reactions
21 Replies
5K Views
Dalili zinaonesha upatikanaji wa mkopo kwa wanafunzi wa elimu ya juu ni changamoto. Mitazamo ya nje ya box yamkini itasaidia.
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…