Biashara, Uchumi na Ujasiriamali

Special forum for those interested in Business and Economics discussions

Mega Projects in Tanzania

Threads
243
Posts
7.3K
Threads
243
Posts
7.3K

JF Prefixes:

Wadau ni ndoto yangu kuanzisha biashara ya kukodisha muziki eneo Fulani ambako ni kijijini na Huduma za muziki zipo chini ila sherehe ni nyingi pia. Naomba mawazo yenu kuhusu changamoto na namna...
0 Reactions
5 Replies
6K Views
Habari waungwana, Kwangu naona kama haiwezekeni kutegemea mshahara pekee wakunifanya nijikwamue kimaisha, hivyo imenilazimu niingie kwenye biashara kwa haraka sana. Sikuona kama nitapiga hatua...
8 Reactions
70 Replies
10K Views
Viwanda vingi vya hapa nchini vilikufa na hata vingi vilivyopo vinachechemea na sekta ya viwanda imedumaa. Unajua ni kwa nini? Katika nchi zilizoendelea, sekta ya viwanda ni complementary/...
4 Reactions
9 Replies
2K Views
Pretoria — The 2017 Mining Charter has increased the level of black ownership in mining companies from 26% to 30%. "Holders who have maintained a 30% black shareholding will not be required to...
0 Reactions
0 Replies
539 Views
huu ni mvinyo wa Penasol, yani hapo ndio umetoka kufunguliwa kizibo lakini kama picha inavyojionesha ndani kulitakiwa kuwe na SEAL! lakini haipo imeshatobolewa Kuna biashara kubwa inayoendelea ya...
0 Reactions
15 Replies
3K Views
Anneth Jacob au Mama Gilo, ni mkulima mdogo wa mpunga kutoka skimu ya lake tatu mkoani Arusha. Awali Mama Gilo alikua akivuna magunia 7 ya mpunga kwa kutumia mbolea za kawaida. Baada ya kupokea...
0 Reactions
3 Replies
3K Views
KUTOKANA NA UZOEFU WANGU KTK INDUSTRY YA TELECOM YAFUATAYO YANAHITAJI SERIKALI IINGILIE KATI 1. Mabadiliko holela ya bei kutoka makampuni ya simu na washirika wake ( Huawei na Helios towers )...
1 Reactions
2 Replies
1K Views
Hisa za Vodacom ambazo zilitakiwa kuanza kuuzwa June 12 katika soko la DSE sasa zimepigwa kalenda kwa mda usiojulikana, sababu kamili haijafahamika. Link: Tanzania: Anxiety As Vodacom Listing At...
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Vodacom walianza kuuza hisa zao za IPO tarehe 9 march na kufunga tarehe 18 april, ila waliongeza muda kwakuwa hazikununuliwa kwa kiwango kilichotarajiwa. sasa toka wameongeza muda hatupati...
2 Reactions
16 Replies
2K Views
hii ni kuwagandamiza watanzania tena, kwanza uchumi mmeudumaza na watanzania wengi wameshindwa kununua hisa za Vodacom, sasa mmetunga sheria kulazimisha makampuni ya simu yauze hisa DSE, na...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Wana Jamii forums ambao hawaja bahatika kusoma hii report jioneeni wenyewe jinsi wawekezaji kwenye sector ya madini wanavyonufaika.
1 Reactions
1 Replies
2K Views
Ndugu wana JF, kwanza napenda kumpongeza ndugu yangu Temu kwa jinsi anavyozidi kuliimarisha shirika la Swissport. Pili nina machache, nakuomba kaka kama una nia na umedhamiria kuibadilisha...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Here’s the market outlook for the week: EURUSD Dominant bias: Bullish The market largely consolidated last week – in the context of an uptrend. A movement below the support line at 1.1100...
2 Reactions
1 Replies
644 Views
Kwa mud mwingi sana watu wanatengeneza blogu na applications kwenye Playstore ili ziwaingizie kipato. Je, ni kwa namna gani nitafidika na bligu au kutengeneza application kwenye G/Playsore...
0 Reactions
2 Replies
4K Views
Nataka kufungua account mpy benki ila sijui benki gani nzuri, naomba ushauri kidogo maana sitaki kujuta katika hili
0 Reactions
27 Replies
7K Views
Habari wana jukwaa. Leo nizungumzie jambo moja linalo wagharimu watu na nimeona hata humu humu. Wengi wetu tumekuwa tunapata mihemuko baada ya kuona either Picha za mtu analima, picha za Mtu...
11 Reactions
23 Replies
2K Views
Wadau naomba kujua bi kwa namna gan naweza kupata kununua hisa kutok Dar es salaam stock exchange (DSE).
2 Reactions
19 Replies
11K Views
Mimi nafanya kazi serikalini. Nimekwama kifedha. Nahitaji mkopo laki 5. Mwezi huu kodi. Mtoto anaumwa. kaka anafunga harusi. Sijachanga. Nilikopa bank nikanunua kiwanja bado makato makubwa...
3 Reactions
44 Replies
7K Views
Kila jambo na wakati wake na umri unaonyesha, Shudia hapa ujue wewe na umri wako kama umeachwa nyuma au uko mbele kiuchumi!!
1 Reactions
8 Replies
3K Views
Jamani mnaotaka kujenga kuweni macho sana na wauza mbao zile treated tunazonunua kwa futi hasa hasa pale buguruni.Leo nilienda kununua mbao pale baada ya kupata vijisenti kdg ktk hali hii ngumu...
4 Reactions
4 Replies
2K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…