Wadau ni ndoto yangu kuanzisha biashara ya kukodisha muziki eneo Fulani ambako ni kijijini na Huduma za muziki zipo chini ila sherehe ni nyingi pia.
Naomba mawazo yenu kuhusu changamoto na namna...
Habari waungwana,
Kwangu naona kama haiwezekeni kutegemea mshahara pekee wakunifanya nijikwamue kimaisha, hivyo imenilazimu niingie kwenye biashara kwa haraka sana.
Sikuona kama nitapiga hatua...
Viwanda vingi vya hapa nchini vilikufa na hata vingi vilivyopo vinachechemea na sekta ya viwanda imedumaa.
Unajua ni kwa nini?
Katika nchi zilizoendelea, sekta ya viwanda ni complementary/...
Pretoria — The 2017 Mining Charter has increased the level of black ownership in mining companies from 26% to 30%.
"Holders who have maintained a 30% black shareholding will not be required to...
huu ni mvinyo wa Penasol, yani hapo ndio umetoka kufunguliwa kizibo lakini kama picha inavyojionesha ndani kulitakiwa kuwe na SEAL! lakini haipo imeshatobolewa
Kuna biashara kubwa inayoendelea ya...
Anneth Jacob au Mama Gilo, ni mkulima mdogo wa mpunga kutoka skimu ya lake tatu mkoani Arusha. Awali Mama Gilo alikua akivuna magunia 7 ya mpunga kwa kutumia mbolea za kawaida. Baada ya kupokea...
KUTOKANA NA UZOEFU WANGU KTK INDUSTRY YA TELECOM YAFUATAYO YANAHITAJI SERIKALI IINGILIE KATI
1. Mabadiliko holela ya bei kutoka makampuni ya simu na washirika wake ( Huawei na Helios towers )...
Hisa za Vodacom ambazo zilitakiwa kuanza kuuzwa June 12 katika soko la DSE sasa zimepigwa kalenda kwa mda usiojulikana, sababu kamili haijafahamika.
Link:
Tanzania: Anxiety As Vodacom Listing At...
Vodacom walianza kuuza hisa zao za IPO tarehe 9 march na kufunga tarehe 18 april, ila waliongeza muda kwakuwa hazikununuliwa kwa kiwango kilichotarajiwa. sasa toka wameongeza muda hatupati...
hii ni kuwagandamiza watanzania tena, kwanza uchumi mmeudumaza na watanzania wengi wameshindwa kununua hisa za Vodacom, sasa mmetunga sheria kulazimisha makampuni ya simu yauze hisa DSE, na...
Ndugu wana JF, kwanza napenda kumpongeza ndugu yangu Temu kwa jinsi anavyozidi kuliimarisha shirika la Swissport.
Pili nina machache, nakuomba kaka kama una nia na umedhamiria kuibadilisha...
Here’s the market outlook for the week:
EURUSD
Dominant bias: Bullish
The market largely consolidated last week – in the context of an uptrend. A movement below the support line at 1.1100...
Kwa mud mwingi sana watu wanatengeneza blogu na applications kwenye Playstore ili ziwaingizie kipato.
Je, ni kwa namna gani nitafidika na bligu au kutengeneza application kwenye G/Playsore...
Habari wana jukwaa.
Leo nizungumzie jambo moja linalo wagharimu watu na nimeona hata humu humu.
Wengi wetu tumekuwa tunapata mihemuko baada ya kuona either Picha za mtu analima, picha za Mtu...
Mimi nafanya kazi serikalini. Nimekwama kifedha. Nahitaji mkopo laki 5. Mwezi huu kodi. Mtoto anaumwa. kaka anafunga harusi. Sijachanga. Nilikopa bank nikanunua kiwanja bado makato makubwa...
Jamani mnaotaka kujenga kuweni macho sana na wauza mbao zile treated tunazonunua kwa futi hasa hasa pale buguruni.Leo nilienda kununua mbao pale baada ya kupata vijisenti kdg ktk hali hii ngumu...