Biashara, Uchumi na Ujasiriamali

Special forum for those interested in Business and Economics discussions

Mega Projects in Tanzania

Threads
243
Posts
7.3K
Threads
243
Posts
7.3K

JF Prefixes:

Habari Wadau,Members na Non-Members of JF… Ni juzi kati tu nilitoka kuweka uzi wa kuomba ushauri au msaada wa kile nilichokieleza. Baadhi walinishauri pale wengine wakaponda ombi langu...
8 Reactions
34 Replies
4K Views
The World's Billionaires
0 Reactions
1 Replies
910 Views
Amani iwe nanyi!. Nimepata nafasi ya kufanya uchambuzi wa wa taarifa za fedha (Statement of comprehensive income and statement of cash flows) za CRDB za robo ya tatu 2016 na kugundua sababu...
16 Reactions
36 Replies
7K Views
Sielewi kanuni inayotumika katika kukokotoa mafao yetu wanachama wa mifuko ya hifadhi ya jamii, kama kuna watu humu hebu wanijuze, wako wanaosema wanatumia mshahara wako wa mwisho kukokotoa, wako...
1 Reactions
1 Replies
956 Views
Kutokana na ukuaji wa uchumi Tanzania, kumekuwa na ongezeko la ushindani kwa wafanya biashara wa maduka ya rejareja, hasa Dar es salaam, Katika kukabiliana na ushindani huo, Mlimani city wameamua...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Ndugu wadau natarajia kuanza ujenzi wa Nyumba. Ombi kwenu je tofali za Inchi 5 zinafaa Kwa msingi na ukuta? Naomba ushauri wenu ikiwa pamoja na faida na madhara ya kutumia size hiyo pia...
2 Reactions
16 Replies
7K Views
Salama wakuu. Miezi kama mitano nilikuja hapa na thread hii hapa chini. Nimeamua nithubutu ingawa nina mtaji pungufu ya laki saba. Nawe waweza jaribu mahali unapoishi Ingawa nimepata faida ya...
7 Reactions
39 Replies
9K Views
WHAT YOU NEED TO KNOW ABOUT MASTER TRADERS – PART 21 “Trading shares many similarities with another past-time I enjoy: strategy games. I love playing chess, and I think trading and chess require...
0 Reactions
0 Replies
601 Views
Tunazo system za kisasa zenye kusimamia biashara yako vizuri. Zinadhibiti udokozi unaofanywa na wauzaji Gharama ni nafuu mnoo.
0 Reactions
0 Replies
772 Views
Nimeona kwenye taarifa ya habari kuwa ni kinyume cha sheria kuwa na biashara isiyosajiliwa. Naomba kujuzwa na wanaojua huu utaratibu ulivyo. Ni biashara ipi inayotakiwa kusajiliwa na nini faida...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Dear All, Please i looking partinership for NGOs project. The NGOs will provide food,shelter and clothes and their education every where. for information please call me and send email ...
0 Reactions
0 Replies
660 Views
Nataka kujua bei ya embe, mimi nipo Kahama, Shinyanga. Tafadhali mnaojua bei kwa azam na kwingineko naomba mnijulishe. Nina gunia zaidi ya 150 nataka niangue hivyo nataka kujua bei kwa kilo au...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Kwa wanunuzi wa mazao click link Soko la mazaoUZA NUNUA kujiunga katika group la what's app litakalo kuwezesha kuwafikia wakulima kirahisi na kupata mazao mbalimbali kama papai, kitunguu maji...
1 Reactions
0 Replies
2K Views
Ule msururu wa watu kuingia Twinga (Bank) leo ( Nimeona kupitia ITV) wote watakuwa wameenda kutoa chao... sasa sijui itakuwaje.
0 Reactions
0 Replies
639 Views
Habari, Taarifa za fedha hasa za robo ya mwaka na za mwaka kwenye makampuni yaliyosajiriwa DSE zimekuwa zikichapishwa kwenye lugha ya kiingereza na kushindwa kufikia malengo ya Taarifa za fedha...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Najiuliza coca cola wanatumia bajeti ya kiasi gani kwa marangazo ya TV...? watu wao wa matangazo strategies zao ni nini? Hili tangazo la sasa naliona ni kila baada ya dakika chache tu... je...
4 Reactions
129 Replies
10K Views
Habari Wanajukwaa Mimi ni mwanafunzi wa mwaka wa tatu chuo kikuu cha Dodoma(UDOM) Natarajia kuhitimu masomo mwezi wa saba (July) mwaka huu.(2016). Profesheno yangu ni Ualimu, tena ni Mwalimu...
1 Reactions
20 Replies
7K Views
hello JF nina hicho kiasi na ninataka faida ya angalau buku 20 kwa siku kama faida mradi gani utafaa..?
0 Reactions
21 Replies
10K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…