Biashara, Uchumi na Ujasiriamali

Special forum for those interested in Business and Economics discussions

Mega Projects in Tanzania

Threads
243
Posts
7.3K
Threads
243
Posts
7.3K

JF Prefixes:

Habari wakuu,Kuna mashine nataka kuagiza through alibaba lakini nashangaa bei zipo chini sanaaa kulinganisha na market price! Naogopa nisije tapeliwa wenye uzoefu na alibaba msaada please.
0 Reactions
73 Replies
14K Views
WHAT YOU NEED TO KNOW ABOUT MASTER TRADERS – PART 17 “You actually know less than you think you do. I found this fascinating and it had me drawing bikes on a blank piece of paper. The central...
0 Reactions
0 Replies
604 Views
Serikali ya CCM iliingia kwa mbwembwe nyingi na mikogo kiasi kwamba ilikua gumzo Duniani,lakini inakoelekea ni kuangukia pua.Nasikia bwana mkubwa kwanza hashauriki analoamua yeye akiamka ndio la...
2 Reactions
3 Replies
887 Views
Zipo taarifa zinazoelezea kwamba kodi ya Halmashauri ya Wilaya ya Kilwa asilimi 0.3 (0.3%) ilikuwa inalipwa Halmashauri ya Manispaa ya Ilala na kampuni ya Pan Africa Energy. Ni baada ya juhudi...
1 Reactions
2 Replies
2K Views
Ukipenda kujionea huruma na kuyapa maisha yako sababu ya kutokufanya yakupasayo kufanya kwasababu unasema ni magumu kufanyika, ukaamua kuchagua yaliyo mepesi kwako naamini siku zijazo maisha...
12 Reactions
6 Replies
2K Views
Wadau habar za asubuhi, Mimi ni kijana Nina miaka 23, nimenunua canter ya ton 3.5 Je unaweza kufanya shughuli gani ya kudumu tofauti na deiwaka, nipo Kigamboni, Dar-es-salaam! Naombeni ushauri
0 Reactions
9 Replies
3K Views
Jaman wadau naomba kujua kuhusu podcast hii kitu nahitaji kujua ikoje na ifanyaje kaz
0 Reactions
1 Replies
813 Views
Niaje wadau, nahitaji mawazo yenu, nataka kuanza kuuza maziwa FRESH ya Ng'ombe. Soko lake mnalionaje ukizingatia kuna substitute za Bakhresa na Tanga FRESH. Tafadhali ongea pointi sio kubwabwaja..
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Hii ni aina gani ya madini na soko Lake likoje
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Nina genge na kaduka kadogo nyuma yake.Tatizo wenye maduka makubwa wanaonizunguka wamekuwa na kawaida ya kuja kuangalia vitu ninavyouza mpaka ninaogopa hasa ikichukuliwa ni mwezi tu nimeanza nazi...
1 Reactions
9 Replies
1K Views
Kumbe, utaratibu wa Bandari, kuzuia magari kupelekwa katika bandari kavu (CFS) unafaida sana, waagizaji wa magari wamefurahia utaratibu huu kuliko ilivyokua awali, walipotakiwa kwenda kuchukua...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Salaam naomba kujuzwa,.... kama humu jf kuna/ au twaweza kuwa na VICOBA. Namshukuruni sana.
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Ndio habari iliyopo kwa watu wengi akilini ndani ya Dodoma na mikoa mengine bila kusahau mataifa yanayotuzunguka. Naona wagogo wanatupwa pembezoni mwa mkoa, naona walalahoi wa mkoa huu wanapoteza...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Wadau Tuna soko la uhakika la kahawa nje ya nchi. Muuzaji kama ana shamba mwenyewe au awe anajua kahawa yake inatoka wapi. Soko lipo la uhakika. Mwenye kutaka habri Zaidi tuwasiliana kwa pm...
1 Reactions
0 Replies
793 Views
Wadau naomba kujua kama endapo ntanunua bidhaa kutoka mtandaoni mfano ebay au amazon ntalipia tena gharama nyingine itakapo fika hapa nchini kwa kutumia urgent kama DHL au FEDix? Asanteni :noidea:
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Wakuu, Niko ushirombo-bukombe najishughulisha na biashara ya MPUNGA mara baada ya kumaliza chuo mwezi wa 7, nilianza na junia 1 hadi sasa nachukua mbili ni biashara nzuri inalipa naomba mwenye nia...
1 Reactions
5 Replies
2K Views
Wakuu hvi mtu anaweza kuniingizia pesa kupitia Akaunti hzi za bank akiwa nje ya nchi mfano Australia au England mimi nina Equity bank na kadi ni Visa
0 Reactions
5 Replies
898 Views
Wajasiriamali Wadogo Nimekuwa ninapekuwa na kusoma hizi nyuzi humu bila kuona hata mmoja unaogusia hali ilivyo mbaya mtaani haswa kwa wafanyabiashara wadogo. Biashara nyingi zinafungwa kutokana na...
1 Reactions
10 Replies
1K Views
Naomba msaada kwenye hizi sekta mbili, ninataka kuendeleza mradi wa ufugaji wa samaki, nahitaji mafunzo yatakayonisaidia kuendeleza huu ufugaji, pia nataka kuanza shamba la mipapai, naombeni...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Back
Top Bottom