Wakuu naomba ushauri wenu,
Kwasasa nipo Singida na kuna mahindi mengi sana huku debe hadi sh 4000.
Binafsi nina mtaji wa kama milioni 6 hivi na ninataka kuifanya biashara hii, Tatizo langu ni...
Asalaam alaykum, Shaloom , Bwana Yesu asifiwe nawasalimu enyi ndugu zng katika Jf
Leo nimefika apa kuomba ushauri na namna ya Kuendesha mshine ya kukatia miti (Chain Saw) Kwa anaejua gharama...
Habari wakuu,
Kwa wadau wenye uelewa juu ya hili,
Kuna Jamaa anataka kujenga Private Villa moja hapa Zanzibar na atatumia kukodisha akiwa hayupo.
Alikuwa nataka kujua kama kuna Local Bank ambayo...
Habari wadau, ninajihusisha kuendesha tovuti ya masomo kwa ajili ya wanafunzi wa sekondari. Kitu kinachoniumiza kuwa sasa ni mwaka 1 toka website Hii iwe hewani sijafaidika na kitu chochote (sina...
Imagine tangu jana tarehe 08/09 hatuna meli hata moja. Kama leo wala hata sijisumbui kwenda. Taarifa zinasema kuna moja itaingia usiku tarehe 09/09/ ... haijwahi kutokea hii tangu niingie...
“Once you get your trading plan completed however, and you have a successful track record of six months of solid trading results, lock that plan up and never share it with anyone. Use it to build...
Kwenye maisha kuna kitu huwa kinaitwa mchecheto wa mafanikio.Hii ni ile hali ya kutaka kufanikiwa kwa haraka hasa baada ya kugundua kuwa kama umechelewa,umri umeenda,rafiki zako wanapiga hatua kwa...
Habari watanzania wenzangu matumaini yangu ni kuwa mnaendelea vema na hapa kazi tuu uko nchini kwetu,
Lengo ni kuwashirikisha na kupata mawazo yenu
Ninazo machine nne za mbao kazi zake ni
1...
Nahitaji kuanza Kulima mbaazi huko Morogoro.
Waungwana, naomba kujulishwa soko la uhakika ntapata wapi?
Na je ni kweli viwanda vya kutengeneza biskuti vinanunua hzo mbaazi?
Naomba kuwasilisha...
Magufuli anaposema watu wameficha pesa ndani hakurupuki.
Jana tumesikia raisi akitishia ku print pesa mpya ili kuwatia hasara wale wanaomuhujumu kwani mazingira yanaonesha kuna watu wameficha...
Habari zenu wakuu..nipo mwanza,nna laki mbili na nusu nataka kuanzisha biashara ya kuuza t shirt za manga zenye ku printiwa log tofauti,,wenye uzoefu na hii kazi ushauri wenu plz..
Kwa manunuzi niliyoyafanya sehemu hizi mbili tofauti ni bila shaka huyu asiyetumia EFD kuna uwezekano akakwepa kodi. Nimefurahi kuona hii risiti moja ya EFD inaonesha amount niliyochangia serikalini.
Unaweza kuangalia idadi ya meli zinazoingia Bandalini Dsm na Bandali Jirani ambazo ni shindani. Hii itonyesha kama kweli sisi hatupati meli au tunasema tu bila kuwangalia...
Hey there,
Do you really know you can make money in oil and gas in Tanzania,even you have nothing to sell? Here's how it works.
I've strong feeling you know that some of oil and gas business...
Hivi kampuni zipi credible and preferably international zinafanya storage ya dhahabu hapa Dar kabla kupelekwa nje?
Je serikali inayo storage zak?e na rates kiasi gani kwa wiki au kwa mwezi?
Je...