WHAT YOU NEED TO KNOW ABOUT MASTER TRADERS – PART 16
“Traditional risk management simply fails to account for the fact that the most dangerous risks are those which occur infrequently and don’t...
Ndugu habari ya majukumuuu?
Jaman mi niliamua kuanzisha mradi wangu wa kufuga wa kienyeji na sasa unaendelea vizur sana...
Nipo katika mpango wa kuuboresha zaidi wa kununua eneo pia na kujenga...
Kaka yangu amehamishiwa dodoma, ameniachia shamba la ekari zaidi ya 10 huko mkuranga (mwarusembe), nataka nifanye kilimo cha kisasa.
Shamba hilo lilikuwa pori kubwa tu but nimelifyeka tayari na...
Mpendwa Ndg kama nilivyo eleza hapo juu, nina kitalu cha Madini Gypsum, ukubwa ni hekari 15 kimelipiwa vibali vyote, nahitaji mtu wa kushirikiana naye leseni tayari ninayo, soko liko wazi muda na...
Gold and Silver and Bitcoin analyses for the month of September 2016.
Please read more here: Monthly Technical Reviews on Gold, Silver and Bitcoin (September 2016)
Umesomeka kwamba usajili wa biashara umeongezeka sana nchini Rwanda na Kenya hasa kwa wawekezaji kutoka Tanzania na watalaam wa mambo wanaona kama ni kukimbia visasi vinavyo tolewa na serikali...
Great thinkers,
Wenye uzoefu na nyumba zinazojengwa na shirika la nyumba la taifa NHC watufahamishe, je zina kiwango cha ubora wa kutamani kununua badala ya kujenga mwenyewe?
Nimejaribu...
Nina samaki aina ya Sangara wabichi, nimekuwa nauza ila bei zijaridhika nayo kwa wasafirishaji wanaopeleka Dar ....nataka kupata wanunuaji wangu niwe nawatumia mzigo mimi mwenyewe kiasi chochote...
Za jioni wadau,
Leo nimepatwa na mshtuko na mshangao nilipokwenda TTCL kutuma fax kwenda Antwerp. Niliambiwa hakuna huduma hiyo kwa sababu mitambo mibovu.
Tunajinasibu kwenda mwendo kasi, na sasa...
Kila mlima unaokutana nao mbele yako umebeba Siri ya Mafanikio yako.
Linda Moyo wako "Usinung'unike" Kutokana na magumu unayokutana nayo katika mizunguko yako.
Lakini ufundishe moyo wako Kuamini...
Kwa wale wote waliopo ndani na nje ya Dar es Salaam, wenye shida au kuhitaji huduma ya kupuliziwa dawa za kuua wadudu (fumigation), majumbani au maofisini, godown na stoos za vifaa, mazao na...
wakuu habari! Nina wazo la kufungua biashara ya kuosha magari apa dar,je natakiwa niwe na mtaji kama kiasi gani ili niweze fungua medium class carwash. Nawasilisha wadau
UMEWAHI KULIPWA PESA HUKU UKISOMA VITABU ???
(Have you ever earned Big money While Reading Books)
Nimechunguza matajiri wengi zaidi Tanzania na duniani kote kwa kweli nimebaini kuwa wengi ni...
Habari zenu wadau.
Ni matumaini yetu kwamba nyote mu wazima wa afya.
Kwa mara nyingine tena tungelipenda ku-share nanyi juu ya kile kiitwacho Nguvu za Kiushindani Katika Biashara (Competitive...
Ningependa kuuliza ivi kati ya ufuta (wa mviringo) na vireja ambavyo vyote huwekwa dukani na kuuzwa sh 100 kwa kimoja.
JE KIPI KATI YAO HUPENDWA SANA NA WATEJA?
Hivi ni kweli vituo vya Radio na Television vinaendeshwa kwa kutegema matangazo na udhamini wa vipindi tu?
Hivi vituo vingi ni vya watu binafsi tena zaidi ni wafanyabiashara. Sasa kupitia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.