Kila kitu kinaanza na wazo.
Nimeona ni fursa kuwekeza katika matofari ya block huko Dodoma nikiamin kutakuwepo na ujenzi wa majumba mbalimbali kukabiliana na mahitaji ya majengo mbali mbali...
Habari wakuu
Naomba mwenye ujuzi kuhusu biashara ya ununuzi wa madini ya sapphire na ruby yaani ublocker na ushauri kuhusu uchimbaji wake..e.g vifaa na ufundi wa ziada
Nawasilisha
Jaman nimemalza chuo na natak nikalime ufuta kwetu Songea na Tunduru mkoan Ruvuma , natafuta mtu w kufinance or joint venture , me npo tayari kupiga kaz
Habari za jioni wapendwa, kwa heshima na taadhina ninaomba mchanganuo na ufafanuzi kwa mtu mwenye uelewa juu ya utumaji wa bidhaa ,
Ninaadhimia na kupenda sana kupanua soko langu langu la Nafaka...
Sarikali ijiandae kuanzisha usafiri wa uma ili kuondoa usumbufu kwa wananchi na wafanyakazi hii itakuja saidia sana huko mbeleni
Tuchangie kuanzia na njia zipi
With 4m users, Kenya leads EA in access to Internet services
By MICHAEL OUMA
Kenya has the highest number of people accessing Internet facilities and services within the East African Community...
AUS200
Dominant bias: Bearish
AUS200 dipped at the beginning of August, and moved sideways till last week, when it went down significantly. The bias has turned bearish, and unless price goes...
Kuna watu wanawaza mema juu yetu na watoto wetu. Ninashauri tuangalie hii initiative, tuifuatilie ili tunufaike na mali asili zetu!.
Ninaomba tukishaisoma na kuielewa, tumwambie mtu mwingine...
Ni taarifa ya mshtuko mkubwa kama ni kweli, nimepenyezewa hapa kuwa Kampuni ya vinywaji ya TBL-Mwanza inataka kuhamishia Uganda shughuli zake kwa madai kuwa soko la vinywaji nchini limeporomoka...
Salaam wakuu,
Kila siku huwa napita maeneo haya lakini sijawahi kujiuliza swali hili. Bahati mbaya au nzuri tulipita maeneo haya na mdau mmoja tukapata wazo fulani lililopelekea kujiuliza sehemu...
Wakuu
Nina mpango wa kuanzisha Duka angalau linisaidie kuzungusha kamshahara kangu haka ka ualimu.Nahitajiwa nifuate taratibu zipi ili nifungue duka? Pia natakiwa niwe na mtaji wa shilingi ngapi...
Wadau nataka kuanzisha biashara itakayotoa huduma ya kudesign na kuhost websites nimeona godaddy na hostgator wana package ambazo zinakuwezesha kuhost unlimited websites ningependa kujua kama...
Wakuu Amani kwenu..
Tumejipanga na kujidhatiti kwa ajili ya kutoa huduma bora na safi kwa kwa kiwango kizuri.
Si huduma nyingne Bali ni Chips kuku, chips mayai, chips Mishikaki, na vikorombwezo...
Napata shida kujua nani wanapanga ushuru wa magari yanayoagizwa toka nje huwa wanatumia vigezo vipo. Mfano unaweza ukanunua kwa bei mliopatana ukifika nchini wanaikataa bei ulionunulia...
Here’s the market outlook for the week:
EURUSD
Dominant bias: Bearish
EURUSD went bearish last week, closing at 1.1152 on Friday. Bulls made serious effort to push price upwards on Thursday and...