Biashara, Uchumi na Ujasiriamali

Special forum for those interested in Business and Economics discussions

Mega Projects in Tanzania

Threads
243
Posts
7.3K
Threads
243
Posts
7.3K

JF Prefixes:

WHAT YOU NEED TO KNOW ABOUT MASTER TRADERS – PART 9 “As a trader, the brutal truth is that you only get paid for your results. There is no 'time and a half', or over-time rates. We live in a...
0 Reactions
0 Replies
595 Views
Kwa yeyote anayefahamu kuhusu hili naomba anipe jibu, nahitaji vifungashio mbalimbali kwa ajili ya bidhaa za chakula na nyinginezo.
1 Reactions
1 Replies
4K Views
Kuna wimbi jipya hapa mjini linaniacha nacheka sana Biashara imekuwa ngunmu sana na mzunguko wa pesa ni mdogo hivyo wafanyabiashara wengi wameanza kufunga baadhi ya biashara zao na kurudisha flem...
2 Reactions
15 Replies
2K Views
Wana JF, Salam zangu kwenu ! Tafadhali naomba kama kuna mtu humu JF amewahi kununua na kutumia mtambo wa SIMGAS kuzalisha gasi kwa matumizi ya kupikia nyumbani, atuambie ufanisi wake. Isije...
0 Reactions
0 Replies
777 Views
Global investors and funding institutions in control of more than US$200 billion US dollars will meet in Dar es Salaam in July for a three-day investment forum to explore business and investment...
0 Reactions
0 Replies
835 Views
cheki hapo chini
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Soko la hisa wanauza wanauza hisa kama kampuni. Wadau je kuna matumaini zitalipa hasa kipindi hiki ambapo bei za hisa kwa kampuni nyingi zinaporomoka?
0 Reactions
7 Replies
3K Views
Kuna ukweli kiasi gani kwenye hili wanajamvi? Hata hivyo huku mtaani hizo sarafu zimeadimika jambo ambalo ni ishara labda lisemwalo lipo.
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Katika mishe mishe zangu vijiweni na masokoni nimekumbana na malalamiko ya kuadimika kwa noti/sarafu ya Tsh. 500. Kwa wale wajuzi wa uchumi sijui hili mnalizungmziaje??? Pia wanadai note ya Tsh...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Kama ilivyo duniani kote kuwa nguzo muhumu ya kuamua kufanya jambo lolote kwa umahiri mkubwa na lenye faida kuu kwa jamii tunahitaji kufanya utafiiti . Leo ni siku ya utafiti ya chuo kikuu cha...
1 Reactions
2 Replies
875 Views
Wakuu, Naomba kufahamishwa ni wapi naweza kupata cement ya dangote kwa bei ya jumla kwa hapa Dar es salaam. Ni vyema pia kama utanipatia na bei yake kwa jumla. Ahsanteni.
0 Reactions
28 Replies
8K Views
Ambacho Magufuli haelewi ni kwamba anakimbiza wafanya biashara. Kwenye nchi zilizo endelea hauoni raisi yeyote anaye watisha wafanya biashara. Hii ni hatua itakayo fanya sukari iwe bei zaidi...
1 Reactions
26 Replies
3K Views
ni benki gani ina offer good interest on fixed deposit a/c?..nawasilisha
0 Reactions
44 Replies
20K Views
Nina mtaji wa 100000Tsh nataka kuanza biashara ya viatu/sandles za kimasai,kila kiatu kwa bei ya jumla ni 10000,mimi nitauza 15000 hadi 13000.Naomba msaada wenu wa ushauri na changamoto za...
2 Reactions
8 Replies
5K Views
Nimeona vituo vyake kadhaa vya chakula Kule Masaki,Sinza,Fire na shekilango nadhani. Ukiacha wa kule ushuani sijui masaki ambao upo vizuri mingine naona inazorota. Mfano sinza alianza kujenga...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
About Big One Enterprises Big One enterprises(logistics ) Tupo kwa ajili ya kukupunguzia gharama,mda,usumbufu katika sekta ya upauaji,tumejikita katika kuokoa gharama na kumpunguzia mteja gharama...
1 Reactions
2 Replies
1K Views
Ili niweze kusafirisha mafuta ya alizeti kuja kuuza Dar nahitaji vibali gani? Mfano kodi, lesen, TFDA.
0 Reactions
1 Replies
3K Views
This table summarizes the procedures and costs associated with setting up a business in Tanzania http://www.doingbusiness.org/ExploreTopics/StartingBusiness/Details.aspx?economyid=185
0 Reactions
17 Replies
18K Views
HELLOW GUYS, MI NIPO MAFINGA...NINA GUNIA 300 ZA MKAA, NITAKUUZIA KWA 15000Tsh.. gunia lina ujazo wa debe saba, ww waweza uza kwa bei ya chini mfano elfu thelathini kwa dsm na ukapata milion 9...
1 Reactions
53 Replies
22K Views
Naomba mwongozo iwapo nataka kuanzisha Biashara ya Utalii-mambo gani ni ya muhimu kuyazingatia?
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Back
Top Bottom