Habari ndugu zangu,
Nina eneo la kufanya biashara ya bar/lounge Dodoma mjini. Natafuta mtu atakaye ni sponsor na baada ya miezi 10 mpaka mwaka akapata refunded back na some percentage kulingana...
Wasalamu! Naomba kufahamishwa sehemu gani Mwanza mjini naweza kupata machine za kushonea nguo na bei zake, e.g Cherehani na overlock machine. Mbarikiwe kwa muda wenu mtakao nisaidia.
Sisi wafanyakazi wa mazava tunalipwa tofauti na malipo halari ya serikali tunanyanyasika kazi ngum kipato kidogo....tunahitaji msaada kutoka wizara husika mtutembelee hata siku moja msikilize kero...
Nimeagiza kagiri kwa CIF ya USD 2950 Japan. Toyota passo ya Mwaka 2010. TRA wakaongeza 492.24 USD, kwamba bei niliyonunulia gari iko chini ukilinganisha na thamani ya gari. Mambo kama haya ndo...
Kama kuna kitu kitaendelea kurudisha nyuma jiitihada zetu za kulipa kodi na kumuunga mkono rais ni hili la system zetu za ki IT kua poor kila siku na tutaendelea kuiba.Sasa fikiri mteja anaingiza...
GBPAUD = Sell
GBPUSD = Sell
EURGBP = Buy
GBPJPY = Sell
GBPCHF = Sell
GBPCAD = Sell
GBPNZD = Sell
NB: Every trade could be entered with a stop loss of 100 pips and a take profit of...
Wadau wa Biashara na Uchumi Jukwaani Asalam Waleikum,
Nikiwa Dar huwa naona vibanda vina nembo za LUKU hata kabla haya mambo ya kulipia kwa simu au maxmalipo hayajaingia.Na hata pale hizo malipo...
Kwa wakazi wa Mwanza wilaya ya ilemela,samahan naomba uni pm kama unaweza kupata chumba na sebule vya kupanga,bei isizid 60 ,Maeneo ya nyakato,na buzuruga,nashukuru
Samahi mm mgeni humu ndani sijui km nipost sehemu sahihi.
Nahitaji msaada km kuna mtu ana kiwanja Morogoro mjini kwa ajili ya kujenga nyumba ya kawaida tu, (aniuuzie isiwe nje sana ya mji mfano...
Wanajamii naomba ushauri natafuta sollor pannel ya kuanzia maisha. Nataka yenye uwezo wa kuwasha Taa kuanzia nne.
Naomba anaejua wapi nitapata na bei tafadhali
Naafuta mkopo wa haraka kuongezea mtaji. Natafuta angalau mill 6 kwa mtu binafsi nilipe ndani ya miezi 4 kupitia mshahara wangu. Mshahara wangu net salary ni 3,264,000/= na January net salary...
Ndugu zangu,
Mimi ni mkulima mdogo wa korosho katika mkoa wa pwani. Mazao shambani mwaka huu hayakuwa haba licha ya kuibiwa kidogo (huu ni uzembe wangu niliajiri mtu asiye muaminifu licha ya...