TRADING IS IDEAL FOR A WOMAN!
As I told you in an earlier article, women can be, and are great traders as well. They certainly got admirable qualities that can also help them in trading. There?s...
WanaJamvi,
Poleni na shughuli zenu za kimaisha. Niko kwenye hatua za mwisho kufungua kituo cha radio, hivyo naomba mawazo yenu wanajamvi kuhusu jina zuri la kutumia.
Nitashukuru kwa mawazo yenu...
Here?s the market outlook for the week:
EURUSD
Dominant bias: Bearish
This pair first moved sideways in the first few days of last week, and then price broke down again on October 28, reaching...
Habari za leo mabibi na mabwana,
Nina mpango wa kununua line za Tigopesa na M-Pesa kutoka kwa wakala ambae ameacha kufanya biashara hiyo ya uwakala na kuamua kuziuza line zake. Kama mnavyojua...
Habari zenu Wana JF
nahitaji msaada , nyumba ya ghorofa(apartments) inaYofanya biashara ya kupangisha ikiwa inamilikiwa na watu 7. Wamiliki wakifungua kamapuni kwa ajili ya kuendesha...
Habari zenu wana JF...Kwa muda mrefu sasa nimekuwa nikiitafuta hii Citi Bank hapa Arusha bila mafanikio yoyote...Naombeni msaada wenu kwa yeyote mwenye ufahamu hii bank ilipo.
A HEART-TO-HEART TALK
Experience is the best teacher. Negativity in trading is compared to temporary setbacks in real life: it exists so that you can become a better trader. Losing streaks are...
Here?s the market outlook for the week:
EURUSD
Dominant bias: Bearish
This pair traded in a tight range from Monday to Wednesday and then broke out southwards on Thursday. The southward break...
Wanabodi,
Niko hapa Serena Hotel DSM kuwaletea uzinduzi wa ON Line Porta ya TFDA ambao utawezesha mambo yote ya TFDA kuendeshwa kidigitali!.
Mamlaka ya Chakula na Dawa nchini Tanzania...
Wakati unapoanza biashara, wewe unachojua ni kwamba unahitaji wateja ili biashara yako iweze kufanikiwa. Wafanyabiashara wengi huwa wanafikiri wateja wote ni sawa na hivyo kujiandaa kutoa aina...
Habar ya muda huu wakuu..km heading inavyojeleza naomba kujulishwa kuhusu ununuaj wa bidhaa za jumuia maana niko nje ya mkoa wa dar_nmewasiliana nao wananiambia nitume pesa thn ndan ya cku 3 mzigo...
Ndg wana janvi........
Serikali ina sera ya kuongeza kipato cha wananchi hapa nchini. Napenda kufahamu taratibu za kusajiri bidhaa km vinywaji huko idara ya Chakula ili viweze kuwa packed...
Gari kutoka Zanzibar kwenda Bara, zimeongezewa ushuru maradufu... Ndugu zetu mnakusudia kuuwa biashara ya gari Zanzibar kama mulivyouwa biashara ya vitambaa?
Viongozi wetu mbona mpo kimya? Wapi...
Kuna Taasis Znanunua Maden Ya Mikop Ya Waajira Na Kuyalipia Wao Na Kukuongezea Kias Flan Hili Limekaaje Hamna Dalil Ya Mtu Kujuta Hapa ,wataalamu Wa Hiz Mamb Karib Tujadil,
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.