habarini wadau wa maendeleo nahitaji kujua jinc ya kununua mgod wa gold or spino hapa Tanzania; nimejaribu kufwatilia mtandaoni lakini hakuna details za moja kwa moja naomba mnipe uzoefu wenu...
AUDJPY = Buy
AUDUSD = Buy
EURAUD = Sell
AUDCAD = Buy
AUDCHF = Buy
GBPAUD = Sell
AUDNZD = Buy
NB: Every trade could be entered with a stop loss of 100 pips and a take profit of...
wakuu naomba kufahamishwa.
je,ninaruhusiwa kuifungasha upya kwenye mifuko yenye nembo yangu bidhaa iliyotengenezwa na kufungashwa na mtu mwingine?
mfano nanunua bidhaa iliyosindikwa na kuwa...
Hi wadau.
Je unajua mtu au kampuni ya uhakika inayosafirisha mizigo from INDIA to Dar es salaam na kama ndio na charges zao kwa CBM inakuwaje.
Rgds
mama dunia
NHC hakika tunawapongeza,lengo kuu ya baba wa taifa kutaifisha nyumba hizo ilikuwa ni kurudisha mali yenu ambayo iliporwa na hao.Sasa mimi nina taarifa kuwa mnataka kuuza nyumba za NHC kwa...
Ningetamani kuwe na mpango mahsusi wa kushusha bei ya Gesi na kuisambaza ifike Vijijini ili tupunguze uharibifu wa misitu.Naamini tunaweza pia kusimamia Shirika letu la umeme liwe na faida na...
Habari wana JF,
Kuna gari langu la Suzuki Carry niliagiza toka Japani mwezi May mwaka huu na nikaliweka barabarani baada ya kwisha kulipia kodi zote. Hivi majuzi gari langu lilikamatwa na watu wa...
zaid ya 50% ya magari tunayonunua mikononi mwa watu (yaliyotumika Tanzania) ni ama ya wizi ambapo umiliki/Title holder sie anaekuuzia hata ukienda TRA hamna details za mmiliki wa sasa. Ewe Mnunuzi...
Habari zenu wadau wenzangu wa Business and economics?
Mimi ni mhitimu wa chuo kikuu, mwaka huu huu wa 2015.
Nahitaji kujifunza biashara hii ya madini, ununuaji na uuzwaji wake ili baadae nione...
Katika kipindi hiki cha mwisho wa mwaka natafuta kampuni yoyote inayohitaji mtu wa kusimamia masoko nifanye kazi kwa kujitolea mpaka january. Nina uzoefu mkubwa na local makert kwa zaidi ya miaka...
Natafuta Partner wa kushirikiana naye katika biashara ya Madini ya viwandani (Industrial Minerals) Nina kampuni na ninafanya kazi ila order ni kubwa hivyo nahitaji mtaji wa nyongeza. Opportunity...
Habari.
Tigo wanaomba wateja wake radhi kwa tatizo la mtandao lililotokea jana.
Tuma message yenye neno BURE kwenda 15304.
utapata dk 10 sms bila kikomo na mb 10 za kutua leo tuu..
Changamkia...
Habari!
Nimepata wazo la kuanzisha kampuni ya kuunganisha wajasiriamali/kampuni ndogo na za kati na wawekezaji (investor)/investment company ili kuwawezesha ku access capital kwa ajili ya...
Heres the market outlook for the week:
EURUSD
Dominant bias: Bearish
EURUSD was volatile for most past of last week, and there is not yet a strong directional movement, though the bias is...
Habari zenu,
Kuna mtu ananipa milioni 65 ila anataka nimrudishie faida kwa mwaka sasa naomba mniambie mil65 kwa mwaka inafaa kumrudishia shilingi ngapi maana nafanya nayo biashara pia...
Habarini mimi nina mgodi wangu ninaoumiliki kwa mujibu wa sheria hapa katavi nina primary mining licence na nimeilipia tatizo nina toa mawe (gold ores) nimetumia watu nikagundua si waaminifu ,sasa...
GOLD (XAUUSD)
Dominant Bias: Bearish
Gold has been trending downwards for several weeks, with intermittent rallies along the way. The intermittent rallies were sometimes strong enough to threaten...