Biashara, Uchumi na Ujasiriamali

Special forum for those interested in Business and Economics discussions

Mega Projects in Tanzania

Threads
243
Posts
7.3K
Threads
243
Posts
7.3K

JF Prefixes:

Naomba kujua ukishajengewa green house mfano ya nyanya inakaa mda gani? [nina maana how long period it lasts? ] Natanguliza Shukrani kwenu!
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Wana JF naliongea hili kwa masikitiko makubwa kutokana na hii tabia ya vijana wa Kitanzania. Baadhi ya vijana wa Kitanzania wamegeuka kuwa watafuta maisha kwa njia ambazo haziwezi kuwa na matunda...
0 Reactions
5 Replies
3K Views
By Sebastian Mrindoko Greek debt crisis has contagiously affected economies of East Africa, including Tanzania forcing it to shelve its plan to raise US $600 million through a private...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Habari zenu wanajamvi! Ni matumaini yangu mu wazima wa afya, na mnaendelea na shughuli za kila siku za kuijenga nchi yetu ya Tanzania. Bila kupoteza muda naomba niende moja kwa moja kwenye mada...
1 Reactions
8 Replies
3K Views
Salaam wapendwa. Wafanyabiashara wa Tanzania nina ushauri kwenu baada ya kusikia malalamiko mengi kuhusiana na maswala ya mikopo, au huduma zitolewazo. Kwanza ninaamini wafanya biashara ndio...
3 Reactions
20 Replies
2K Views
Nimekuwa nikitumia akaunti ya kawaida (Savings Account) ya CRDB, kwa sasa naona gharama zimezidi na hata sioni umuhimu wa kuwa na akaunti benki. CRDB wanatoza 1,000/- kama gharama za kuendesha...
0 Reactions
42 Replies
13K Views
1. Mbona bidhaa za hapa tz zinazidi panda bei tu? 2. Mbona hela yetu ya kitanzania yazidi shuka daraja? #Emmanuel Michaelkm
0 Reactions
2 Replies
998 Views
Stanbic Bank Tanzania Ltd is a member of the Standard Bank Group. Standard Bank Group has been chosen as the Best Bank in Africa by Global Finance magazine. In addition, Standard Bank Group...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Nimeona Tangazo kwenye the citizen. Bank ya Nmb imeanzisha Nmb app. Nimejaribu kuitumia iko vizuri ile mbaya. Very good NMB kweli mmebadilika .
0 Reactions
0 Replies
3K Views
Wakuu nahitaji 100,000 fasta then week ijayo mwishoni narudisha 130,000.
0 Reactions
14 Replies
2K Views
Nina mawe aina ya sunston. Kwa aliepo Dar au Arusha naomba anijuze bei ya madini hayo kwa Kg. nipo Morogoro
0 Reactions
14 Replies
5K Views
Mim nilikuwa na wazo la kutengeneza website/system ambayo serikal itakuwa inaitumia kutoa information zote za mambo yanayohusiana na upimaji wa ardhi/viwanja kwa nchi nzima kwa mfano morogoro eneo...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Wadau ebu tupeane ushauri, unaweza anzisha biashara gani ambayo ukiwa kama mfanayakazi wa kuajiriwa unaweza kuimudu? Zingatia vigezo vifuatavyo ambavyo vinaweza kukuanguasha vya insi ya...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Kwa wale wote wanaojihusisha na mambo ya fashion, kuna website ambayo wanaweza wakaitumia kutangaza bidhaa zao au biashara zao bila malipo yoyote na kupanua wigo wa biashara yako zaid...
1 Reactions
0 Replies
1K Views
Yaani daaaaaaaaah,leo katika pitia pitia yangu ya mitandaoni dola ya Kimarekani imerudi vile vile kama wiki 2,3 za nyuma, sasa hivi kwa mujibu wa chanzo cha ZOOMTANZANIA ni 1$=Tshs.2265.8, hii ni...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
“When I put on a trade, all I expect is that something will happen.” – Mark Douglas With a great interest, I’ve been watching the events in the Eurozone. I didn’t write about Greek debt crisis...
0 Reactions
0 Replies
596 Views
Yaani dah, leo katika pitia pitia yangu ya mitandaoni DOLA ya Kimarekani imerudi vile vile kama wiki 2,3 za nyuma,sasa hivi kwa mujibu wa chanzo cha ZOOMTANZANIA ni 1$=Tshs.2265.8, hii ni selling...
1 Reactions
0 Replies
1K Views
The Darproperty Magazine, July edition NOW OUT!, read it on your device. simply follow the link, http://www.darproperty.co.tz/monthlyIssue/viewMagazine/33
0 Reactions
0 Replies
682 Views
Leo tunazungumzia mtandao maarufu wa kutuma pesa. kupokea pesa mtandaoni, na unaokuwezesha kuwa kufanya biashara za kieletroki kupitia mitandao yakijamii. hapa napenda uelimike zaidi ina wezekana...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
6th July 15 Businesses: Chinese logistics centre won't benefit locals Frank Aman A section of members of the business community in the country are up in arms over a major trading centre project...
1 Reactions
1 Replies
875 Views
Back
Top Bottom