Wanandugu habarini za asubuhi.
Ninataka kuanzisha kabiahara na nimeshauriwa nianze kama kampuni. Hivyobasi, najua humu kwenye jamvi hakikosekani kitu. NAOMBA MWENYE KUJUA JINA ZURI LITAKALOENDANA...
Bei za Masaki,Oysterbay, Nyumba za Biashara, Mikopo ya nyumba kuporomoka.
Bei za Kigamboni, Mikocheni, Kijitonyama, Msasani kupanda.
Karibu mwaka 2015, mwaka huu Tanzania inategemea kushuhudia...
Dear Friend,
As you probably by now know, we are bringing the legendary Brian Tracy to Tanzania on 2nd June 2015 for the World Sales Conference 2015. Brian has written over 65 bestselling...
Mimi nikijana msomi mwenye umri wa miaka 30,mkazi wa Kigamboni Dar es salaam.Nampango wa kuwekeza katika kilimo cha umwagiliaji katika shamba langu la hekari zaidi ya10.Kwa kuanza nimechimba...
Darproperty Magazine March edition is now available online packed with East Africa's real estate insight. Click the kink below to read it now....The Magazine.
Kwa mtaalamu wa haya mambo.Kuna haka ka gari suzuki carry 2001 nimekapenda. Nimeona bei yako FOB ni 816 $ na ukichanganya na transport mpaka port ya Dar es salaam inakuja mpaka $ 1950 ambayo...
Catch up with us on our other social media by following us on #twitter and #instagram , like us on #facebook and connect with us on #linkedin don't miss a thing from Darproperty. Stay on the...
umeshawahi kujiunga na market networking yoyote ambayo hadi leo hii hujaona mafanikio?hii haina utapeli ni ya kweli mimi nimeona,zanteli wakishilikina na kampuni ya rifaroafrica wameungana kufanya...
Maoni yangu kwa Serikali ijao:
1)Maendeleo ya viwanda nchini:
Tukirudi nyuma mwaka 1961 Tanzania ilikuwa nyuma sana kwenye suala zima la viwanda ukilinganishwa na nchi zingine za Afrika...
Salaam wakuu!
Ninatarajia kufungua bakery ya mikate na ninataka kuingia sokoni na quality nzuri sana!!! Natafuta mtaalamu wa utengenezaji kwa ajili ya ushauri na practical experience. Malipo...
Wakuu Naomba kuuliza,
Bei za mafuta zimeshuka na zinazidi kushuka.
Naomba kujua nini kinasababisha bei kushuka (nini kichocheo cha bei za mafuta kushuka)
Asanteni
Chimps
Bei Ya Sukari Imepanda Ghafla Kampuni Ya Sukari Kilombero kutoka 1650 hadi 1800 ndani ya kiwanda, huku tani za sukari zilzozalishwa kufikia 123,670 hadi sasa. lakini mishahara ya wafanyakaz bado...
Darproperty Tanzania is a proud host of The 2nd Darproperty Expo. A property exhibition featuring variety of local and international top brands in real estate and their sub-sector.
To...
Habarini wakuu.
Kama kichwa cha habari kinavyosomeka. Nahitaji kujua kama kuna sehemu hapa Dar es salaam wananunua ndege (birds) hasa chiriku (canaries) na kama ipo bei yake ikoje? Niliwahi...
Wasiliana nami kupotia 0657 740 797 dhamana : Gari| bajaji|nyumba yenye hati|gari ni rahisi zaidi kwani tutalilinda mpaka utakapomaliza deni lako lote|mkopo wa dharura pia upo sasa kazi...
Wapendwa salamuni,
Kuna mtu anahitaji Transmiiter ya radio kwa haraka haraka. Kama kuna mtu wanaJF anahiyo kitu au ana mtu wake anauza hiyo transmitter. Sifa za hiyo transimitter:-
1. Iwe na...
Katika jamii, mtu hutambuliwa kwa shughuli aifanyayo inayompatia namna halali ya kuishi.Tanzania tuna wakulima, wafanyakazi,wafanyabiashara, wajasiriamali na wale wasiokuwa na shughuli...