Biashara, Uchumi na Ujasiriamali

Special forum for those interested in Business and Economics discussions

Mega Projects in Tanzania

Threads
243
Posts
7.3K
Threads
243
Posts
7.3K

JF Prefixes:

http://www.darproperty.co.tz/article/readArticle/39 Why do the real estate developers and landlords opt to quote in the US dollar? Is it affecting our economy? how? Perhaps you are wondering...
0 Reactions
0 Replies
649 Views
Wadau habari? Naomba hiyo tittle ihusike, niambieni ipi ni bank ambayo naweza kukopa ikiwa na unafuu wa riba na makato. Mimi ni Mtumishi wa Serikali, naomba msaada wenu kujua kat ya NMB, CRDB...
0 Reactions
26 Replies
4K Views
Kwa wana Jf, Leo nilikuwa nje ya Bank Moja ya Biashara nika bahatika kushuhudia mahela mengi yakisafirishwa. Pale kulikuwa na polisi (vijana) wawili wa umri kati ya miaka 25 na 30 hivi; ukweli...
1 Reactions
1 Replies
2K Views
Katika maisha haya tunayoishi,niliwahi kuambiwa mafaniko ni matokeo ya utekelezaji wa mawazo na utumiaji wa fursa sahihi katika wakati sahihi,yaani kwa ki ulaya "money follows great ideas", katika...
6 Reactions
21 Replies
22K Views
wakuu naombeni mawazo yenu hapa, Hivi, kuna watu wana shida ya pesa ndogo ndogo ambapo siku hiyo imempiga chenga kutafuta, au kukopa, au mtu unakuta siku hiyo hali ni mbaya ya kiuchumi, ameenda...
1 Reactions
8 Replies
1K Views
Habari wadauz..... Nimeamua kufanya biashara ya Nguo za Kike za Mitumba.....Nimepata chumba mlango mmoja(Mwanza ) ila mzigo ntakuwa nachukua DAR...kwa kupoint na Siyo Robota,Je ntapata wapi...
0 Reactions
2 Replies
3K Views
Habari wadau, nahitaji mkopo wa haraka wa 600,000/=. Niko Dar es salaam!
0 Reactions
8 Replies
4K Views
Habari wakuu! Naomba kujuzwa ni wapi kwa hapa dsm naweza kupata vifungashio (packaging) kwa ajili ya mayai ya kware na kuku ili niweze peleka supermarket. Natanguliza shukurani.
0 Reactions
1 Replies
3K Views
Wapendwa wana Jf Naona watu wengi wamekuwa wanaongelea magari na kusahau kundi kubwa la wajasiriamali waliopo kwenye pikipiki; Napenda kukumbusha kwa wale wamiliki HALALI wa pikipiki kuwa mwisho...
1 Reactions
8 Replies
4K Views
ninahtaji niwe wakala wa benk ya nbc lushoto je taratibu za kuwa wakara na sifa ni zipi naomba ufafanuz kwa anayefahamu
0 Reactions
1 Replies
3K Views
TSI, DSEI, Equity turnover, Market vapitalisation, Total volume, Total deals, ..... Naomba ufafanuzi wako.
0 Reactions
2 Replies
4K Views
Habari zenu wakuu...! Natumai mnaendelea vyema kabisa wadau nna shida ya kujuzwa upatikanaji wa mashine za kutengeneza maboksi pamoja na ku-print wakuu. Kama kuna yoyote mwenye kufaham hizi...
0 Reactions
4 Replies
3K Views
Wapendwa kwa muda wa jioni huwa nakuwa kwenye mtandao kwa muda mwingi. Je kuna kazi ya kuni ingizia kipato naweza kufanya? iwe ya hapa nyumbani au ya nchi za nje ie. Nimetumia muda mwingi sana...
0 Reactions
8 Replies
5K Views
Motor Tax Calculator(IUMVVS) ni kikokotozi cha ushuru wa TRA pamoja na gharama zingine za kuli clear gari lako bandarini. Kikokotozi hichi n rahisi kukitumia kulinganisha na ile inayotumika na TRA...
2 Reactions
0 Replies
3K Views
Natumaini kuwa wana Jf wote ni wazima na mnaendelea vizuri. Naomba mwenye inforamation ya usafiri wa road (luxury bus) kutoka Dar kwenda Nairobi with good facility, services na comfortability...
0 Reactions
27 Replies
14K Views
Be the owner of your business with Remax Tanzania world's top brand in real estate today. Dr Ovuc Aslan co-owner of Remax Tanzania master franchise reveals how on an exclusive interview with us...
0 Reactions
1 Replies
694 Views
jamani n biashara gani inalipa mkoani dodoma
0 Reactions
1 Replies
4K Views
wakati Fulani nilishawahi kusafiri na ndege ya shirika la SAFARI PLUS kwenda arusha, siwasikii tena, je wamefilisika?
1 Reactions
6 Replies
1K Views
Nataka kununua gari ya kutumia lakini napata taabu kidogo kujua ni gari ya aina gani itanifaa kwa kuzingatia kwamba napenda gari ambayo haizidi cc 2400, iwe na 4 wheel, wenyewe wanita SUV...
0 Reactions
15 Replies
6K Views
Back
Top Bottom