Biashara, Uchumi na Ujasiriamali

Special forum for those interested in Business and Economics discussions

Mega Projects in Tanzania

Threads
243
Posts
7.3K
Threads
243
Posts
7.3K

JF Prefixes:

Wadau salama, Nilikua natafuta wauzaji wa hizi material ambazo ni activated clay na diatomite zinatumika sana katika viwanda vya mafuta ya kupikia ku refine oil.
0 Reactions
0 Replies
951 Views
Habar wana JF,ningependea kupata msaada kwa mtu yeyote mwenye taarifa ya Mahali ambapo naweza pata MKopo wa sh. milion Sita,Ni saccoss gan au benk gani inaweza nipatia mkopo kwa mda mfupi...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Habari wakuu.. Nimetembea tembelea nchi jirani na nikagundua nyumba nyingi zina exterior finishing ya facing bricks, simply beacause they are beautiful and require low maintenance. So, I...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Wadau naomba kujua kama kuna mtu yeyote ana uelewa juu ya hii biashara ya buying and selling securitues on line. Hapa kwetu bongo ipo tayari? Kama ipo inafanyika vipi!? Kuna website zina interact...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Habari Wakuu? Nilikuja hapa jukwaani 29.04.2014 na kuomba msaada wa wazo la biashara. Nashukuru wote mlio changia, kwani May Katikati nilianza kununua pens na daftari & stationaries zingine na...
7 Reactions
26 Replies
4K Views
Wadau, Kwa malengo ya kujifunza na kubadilishana uzoefu/ujuzi, Naomba kuuliza yafutayo kwa yeyote mwenye uzoefu an ujuzi huo. Kuna matofali ya block aka hydrofom blocks/ bricks au interlocking...
1 Reactions
4 Replies
9K Views
36 days remains to The second Darproperty expo. The biggest event in real estate. Make sure you don't miss out. Visit our expo website;The DarProperty Expo 2014 and add the event on your google...
0 Reactions
0 Replies
525 Views
nonemmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmm
0 Reactions
43 Replies
15K Views
Jamani husikeni na kichwa cha habari, nahitaji kujua gharama zake mpaka kupata title deed na je inachukua mda gani?? Wataalamu nijuzeni
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Wazee naomba mnijuze juu ya biashara hii; ikoje na faida zake..
0 Reactions
7 Replies
5K Views
Mpendwa mwana JF, Ninaomba msaada toka mtu yeyote au taasisi yoyote wa kununuliwa gari (tipa) lenye uwezo wa kuanzia tani saba na kuendelea liwe linaweza kubinua. Nimekusanya vijana Wilayani...
1 Reactions
14 Replies
5K Views
20 days left to book your space to The second Darproperty Expo. Get the opportunity to meet potential buyers and build worthy network with top brands local and international in real estate in...
0 Reactions
0 Replies
848 Views
Natumaini ni wazima wana Jamvi? Hivi karibuni nilikua na ongea na jamaa yangu, ambaye kwa sasa ame amua kujiajiri, na hii kutokana na jamaa mwenyewe anasema Alikuwa na Wazo hilo tangu mwaka 2008...
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Salaam waungwana, aisee nataka kufungua bekari spesheli ya kuoka na kutengeneza keki na biskuti za huu mmea wa kijani unaopendwa sana kule Jamaica na ambao umeruhusiwa kule kwa Obama katika...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Habari zenu jmn,me namtafuta mtu wa kunisaidia kufanya biashara awe mcha mungu,mwenye kujituma,.
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Mabadiliko ya teknolojia yanayoendelea kwa kasi duniani kila siku yanakuja na gharama yake. ili kwenda nayo sambamba inatupasa kubadili mfumo wetu wa maisha ya kila siku ikiwemo namna tunavyofanya...
1 Reactions
1 Replies
3K Views
Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Said Meck Said ameishauri Benki Kuu ya Tanzania (BoT), kuzibana benki na taasisi za fedha nchini kupunguza riba ili wananchi wengi wamudu kukopa na kuanzisha...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Inaanza kutia sana wasiwasi habari za mtaani kuwa CRDB inachoka. Huduma zake nyingi zimechoka. Simu yao ya call centre imezikwa kabisa. Huduma matawini bora liende na hamna jipya last 10 years in...
1 Reactions
89 Replies
12K Views
Shamba linauzwa Kiguza,Oyoyo,Mkuranga.Sqm 75000,lipo kando ya barabara ya Mkuranga- kisarawe road mbele ya shamba la Salma Kikwete.Pia linafaa kwa kiwanda au ufugaji wa kuku,real estate n.k.Umeme...
0 Reactions
6 Replies
3K Views
Dear colleague, I wanted to let you know that tickets for our world sales conference – taking place June 2nd 2015 – are selling faster than usual this year. Almost 50% of the spots are...
0 Reactions
0 Replies
746 Views
Back
Top Bottom