WanaJF, Juzi kuna jamaa yangu katuma mzigo wake kwa mke wake kupitia EMS services na kulipia hela kibao kutoka huku ughaibuni. Mzigo umefika, mwenye kuupokea kapigiwa simu aende akachukue mzigo...
habari zenu wanajamii,mimi ni mjasiriamali nina miliki baadhi za biashara hapa dar es salaam nahitaji kutanua biashara kwa kuanzisha biashara kati ya kuuza nafaka ama duka la spare za gari...
Fursa hizi zimetolewa kwa wingi na mtandao wa simu wa Zantel namna ya kuzipata kwa aliye serious awasiliane nami kwa namba hizi 0773337466. Unaweza ku sms tu 'JF' nitakuwa nimeshakuelewa.
Wadau kwanza kabisa natanguliza shukrani zangu nyingi kwa Wana JF wadau wa jukwaa chili, kwani mwanzo nilijitokeza nikitafuta msaada wa kununua Carry na Amen imekuwa hivyo Nakushuruni kwa hilo...
Salam,
Hivi karibuni serikali kupitia body ya sukari Tanzania, Sugar Body of Tanzania ilitoa ruhusa kwa makampuni ya kitanzania kuagiza tani 5,000 za sukari toka nchi za nje.
Sababu za kutoa...
Habari wanajamii,
Nlikua na idea ya kuanzisha chuo kinachotoa Certificate na baadae Diploma ya Mineral Processing/Metallurgy hapa Tanzania. Kwa sasa hivi,chuo yabidi kifate wanafunzi na kwa nchi...
Wadau,
Kwanza kabisa niwatakie Heri ya mwaka mpya. Na pia nichukue fursa hii kuwakaribisha International Commercial Bank kwa kupata huduma zote za kibenki bila usumbufu wowote nakuvuna faida...
Naulizia mwenye kuifahamu vizuri Biashara ya kukodisha Tractor kwa kulimia, wakulima anieleweshe taratibu zake. Nataka kufanya Biashara hii, Ni mikoa gani inalipa sana?
China iko mbioni kufungua Benki ya Kimataifa ya Maendeleo itakayokuwa na hadhi karibu sawa na IMF na WB baadaye mwaka huu. Imetoa furusa kwa mataifa yote kushiriki katika uanzishwaji wake kama...
Habari wafanyabiashara wenzangu, nataka kuchukua mkopo wa shilingi milioni moja na laki za kitanzania, idea yangu ya kwanza ni kufungua banda la chips na kingine niwe na stationery flan ivi...
Nimepata habari kutoka Mbeya kwamba wafanya biashara Jijini humo wamefunga maduka yao kuonyesha mgomo halisia, jana na leo hata wafanya biashara wadogo walio waoga wamegoma mpaka wakubwa waridhie...
Kwa mtu yoyote anayejua eneo au ofisi ambazo zimesajiliwa kisheria na zinahusika na ununuzi wa Dhahabu hapa Dar es salam, ninaomba aniPM, na kunijulisha vizuri, juu ya bei ya bei dhahabu sokoni na...
Wanabodi nawasalimu!
nimekutana na taarifa ya uuzwaji wa hisa za Mwalimu Commercial benki (Mwalimu Commercial Bank),
Hisa moja ni Tsh 500 na kiwango cha chini cha manunuzi ya hisa ni Tsh 100...
Sasa Ni Kicheko Kwa Kampuni Ya Sukari Kilombero, Bei Ya Sukari Yapanda, Godown Hakuna Kitu, Wafanyakazi Wanatarajia Nyongeza Nono Ya Mshahara Hapo Tarehe 1April,2015 Mwaka Wa Fedha. Mpaka Sasa...
MFUMO HUU WA UMEME UTAKUONGEZEA FAIDA KATIKA BIASHARA YAKO
Lengo la mfanya biashara yeyote ni kupata faida,lakini inapo tokea kuna sababu zozote zinakwamisha kufikiwa kwa lengo hilo...
KWA UFUPI
Taarifa hiyo inaeleza kuwa, licha ya pato la taifa kuendelea kuongezeka hadi kufikia asilimia saba, Watanzania wengi wanaamini kwamba hali ya uchumi nchini mbaya.
Hivi karibuni, Taasisi...
natafuta mtu wa kushirikiana nae shambani kuvuna miti ya mbao aina ya mbula pamoja na miti ya mkaa shamba ni ekari 8000 lipo sumbawanga lengo ni kupanda miti mipya na kuanzisha shughuli za kilimo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.