Customers have been described by different experts as the reason for any business to flourish or become extinct; after all there is no reason for a business to continue to exist if there are...
Dedicating yourself to leadership qualities that focus on communication skills and customer service is the most powerful way to bring you more luck than you can imagine. The commitment to...
Mimi kinachoniuma promotion kibaoooooo huduma mbovuuuuu na hamshtuki wala kutoa maelezo kwa nini huduma iko hivo....kama huawei wameshindwa kazi jamani kuna haja ya kuendelea kuwang'ang'ania ? kwa...
kwa wafanyakazi, na watu binafsi waliopo wilaya ya kilindi watakubaliana na mimi kuwa uwepo wa benki moja tu (nmb) unazua mafanikio mengi mfano suala la mikopo... nmb wameweka masharti kibao...
Karibu tuendelee kupeana dondoo muhimu sana za wewe kufanikiwa kupitia biashara unayofanya. Katika dondoo hizi tunaangalia makosa yanayofanywa na wafanyabiashara wengi na yanayowazuia kupata...
Dear colleague,
We now have SILVER and GOLD generation; the old rule is changing and giving space to the new rule and principle. The big pool of SILVER and GOLD generation creates their...
Tunauza majogoo ya kuku aina ya chotara. Majogoo wana umri wa miezi sita na wastani wa kilo 2 hadi 3.5. Yanafaa kwa kitoweo au kwa mbegu (kupandishia majike) kutokana na mahitaji ya mnunuzi. Bei...
Jaman wakubwa MTU akitaka kuwa wakala Wa fahari malipo vigezo na masharti vikoje?
Pili camission ni asilimia ngapi kwa kila transaction?
Asante nitashukuru kwa ufafanuzi hususan kwa mawakala au...
Dear colleague,
We now have SILVER and GOLD generation; the old rule is changing and giving space to the new rule and principle. The big pool of SILVER and GOLD generation creates their new...
Heshima kwenu wakuu.
Hivi ikiwa mteja anadaiwa bank "A" wanaouwezo wa kukuzuia kukopa bank. "B" ikiwa labda kule A ulitela ukorofi wa kuacha kulipa na labda wakauza dhamana etc?
na Je Bank...
Habari wanajamvi,
Kumekuwa na dhana tofauti tofauti juu ya tatizo hili la kuongezeka kwa bili ya umeme.Japo ongezeko la ziada la bili kubwa ya umeme lina sababu za kitaalamu...
Moja ya changamoto ambazo zinawazuia watu wengi kuingia kwenye biashara au kukuza biashara zao ni kufikiria ni biashara gani sahihi kwao kufanya.
Watu wengi hupoteza muda mwingi wakitafuta wazo...
Habarini wadau,
Swali langu ni; kwa Tanzania, kiwango cha kodi ni asilimia ngapi? Mfano, kampuni au mtu akinunua kitu kutoka kwa mtu mfano nyumba au programu kwa kwa kiwango labda cha shilingi...
Tunaona kimya kabisa hadi leo hivi hamjui kuwa tunaumia sisi wa hali ya chini.?
Nini kinaendelea huko serikalini au ninyi viongozi mnanunua wapi mahitaji yenu?
Maduka yamefungwa mfululizo...
Wana JF naomba ushauri. Ipo nyumba
ambayo imeezekwa bati za kawaida
(siku hizi wanasema bati za sufuria). Ni
za geji 30 za Alminium Africa. Bati
ziliezekwa 2004. zimeanza kushika kutu.
Nyumba...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.