Mbinu bora kabisa itakayokuwezesha wewe kufanya biashara yako wka mafanikio ni kubadili mtazamo wako katika biashara unayofanya.
Tulishakubaliana kwamba lengo la biashara sio kupata faida...
Resources Sunday, April 12, 2015
DAR ES SALAAM, Tanzania - Norway's Statoil recently discovered an additional one to 1.8 trillion cubic feet (tcf) of natural gas off-shore Tanzania.
This...
Za muda huu watafutaji wenzangu. Mimi nina mambo machache naomba kujuzwa na kusaidiwa kupanua upeo.
Kwa muda sasa nimekuwa na biashara yangu kichwani na kuiandalia business plan. I see myself...
Ni kigezo gani ambacho unatumia kupanga bei ya bidhaa au huduma zako?
Je, unaangalia watu wanaweza kumudu?
Je, unaangalia ni bei ipi itakuletea wateja wengi?
Je, unaangalia wengine wameweka...
WanaJF,
Kabla sijaajiriwa kazini nilifanikiwa kujenga Pagara (Nyumba haijaezekwa). Sasa napokea Sh. 405000/= kwa mwezi. Nimeshindwa namna ya kujibana ili nimalizie Nyumba yangu.
Msaada wa...
Darproperty Magazine April issue is now available online. Read it and know how u can get a mortgage when building your own house, building cost for various building types and see all the best...
Kwa wenye UHITAJI wa kuandaliwa WRITE-UP yoyote kwa matumizi mbalimbali ya kimaendeleo, tafadhari wacha niwe MWANDAAJI wako. Nitakuandalia kwa uzuri kabisa, kwa muda mwafaka na kwa gharama...
Haya sasa ohh na sisi tunataka kumili Gesi haya habri ndio hiyo, Wazawa TWENDE ZETU tuakakamete hisa hizo za Gesi.
Swala Oil & Gas (Tanzania) Plc will be selling up to 9,600,000 shares at a price...
Nimefanikiwa kupata line ya mbao nzuri ambazo zimeshakuwa treated kutoka USA lakini sijajua kodi ya mbao kutoka nje ikoje Tanzania. Mbao najua ni ghali sana kwenye ujenzi na nilitaka nikipata mtu...
My name is Joseph Masaga from Msg-Technologies. A business Company I have stated to deal with different aspects starting with IT (Information Technology) issues.
Msg has designed tax estimators...
Ewura yabariki mafuta yaliyozuiwa Rwanda, sasa kuuzwa nchini
Mwananchi Jumapli, 19 August 2012 00:17
"SHEHENA ya mafuta iliyopelekwa nchini Rwanda, Burundi na Jamhuri ya...
Wadau salaam!
Nimepata fursa kwa mdau aliyepo nje ya nchi anataka kununua Almasi kwa hapa Mwanza na mimi sina connection yoyote!
Please kama kuna dealer au anayeweza kunilink musaada! PLEASE HII...
Kampuni mpya ya simu kutoka Vietnam Viettel kama kuna mtu anajua wanaendeleaje atujulishe, huduma zinategemewa kuanza lini? Wale mlioapply kazi zao mmeshaanza kupiga mzigo?
Nimekuwa nawaza kuwa biashara kama hii inaweza kulipa. Ukiangalia kuna vitabu vimeuza sana duniani. Kuna vitabu kama think and grow rich cha Napoleon hill kimeuza nakala 70m, the hobbit 100m...
Wakuu naomba anayeweza kujua gharama za kuchimba kisima kwa sasa anipatie info kamili...maeneo nayoka kuchimba kisima ni masaki-kisarawe mkoa wa pwani
Natanguliza shukrani
Ingawa si maarufu sana hapa nchini kwetu, rakini kwa mataifa ya ghuba hata asia, ni pesa yenye nguvu , kulinganisha hata euro, pound, dutch mark , hata dollar, hii ni pesa ya nchini kuwait...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.