Hello friend,
Thanks for keeping in touch with me in my e-news letter. This is a great honour for me. Asante sana!
Today is another great day for me as I was touched by an example that gave me a...
Kwa anaejua kampuni au yard yoyote inayouza malori ambayo ni used km scania,volvo,benz,howo,fao na brand zingine anijulishe tafadhali au anipe link ya website yao.
Kwa wale wote mnaolima mboga mnaotaka msaada namna ya kusafirisha ulaya muwasiliane na huyu kijana Machel Tarimo, Mkurugenzi na mmoja kati ya watatu waanzilishi wa HomeVeg Tanzania Ltd...
BIO PLUS ORGANIC SEA WEED FERTILIZER
Hii ni mbolea imetokanna na mimea au maotea ya majini. Hii ni mbolea ambayo ni ya asili kabisa kwani imetengenezwa kwa kuvundika mimea hii ya baharini na...
BANK CHARGER ZA NEPTUNUS ZENYE UBORA WA KIPEKEE
SIFA ZAKE
~ Kwanza inakaa na charge kwa muda mrefu kwani android phone moja inaweza kujaa kwa kutumia asilimia 5-8
~Pili inaonesha kiasi...
Airtel UNI Wi-Fi Marketing Manager, Aneth Muga.
Airtel Tanzania has launched efficient and cost effective UNI Wi-Fi service that will enable students in institutions of higher learning access high...
Habari zenu wadau kuna ndugu yangu anataka kwenda uturuki kununua home decoration kama funitures,wallpapers sasa anahitaji kujua bei na kupata contact za mfanya biashara wa hizo bidhaa tajwa hapo...
Wakuu,
Penye wengi, pana mengi pia. Jukwaa hili pamoja na kuwa na matangazo mengi, lakini wengine ni matapeli wakubwa sana. Tafadhali, tulishatoa angalizo na tunasisitiza tena:
Mnapoamua kufanya...
1. Importer.Tradekey.com
Hapa unauza au kununua vitu tofauti pamoja na matunda na juice kwa jumla.
2. Alibaba.com
Hapa unaweza kuongea moja kwa moja na wenye viwanda
vinavyozalisha vitu tofauti...
Hawa ni Matajiri kumi Tanzania, kutokana na survey ya Bongoland wanane ni watanzania wenye imani ya kislam wenye asili ya kiasia, wawili tu ndio wakristo na hao ndio wenye asili ya...
Hii inawahusu hasa wauzaji na wasambazaji wa pikipiki, na TRA
SWALi.......kwenu
napenda kujua bei halali ukitaka kununua pikipiki hizi za 150cc mfano-: Toyo,Kinglion na zinginezo
...
Kama unataka kukuza biashara yako na ifikie viwango vya juu sana basi usitegemee sana maoni ya wateja, hasa kuhusu ni nini wanataka.
Ukiondoa biashara za uchuuzi ambazo mtu anakwenda dukani...
Swali 1: Hivi Outsourcing Company, hupewa leseni kwa sheria ipi ya nchi?
Swali 2: Kwa nini kampuni hizi mfano ISON BPO hulipa mishahara kinyume na maagizo na maelekezo ya serikali?
Mfano...
Wakuu ndg yenu nahtaji kufanya biashara ya kuuza jezi za football za mtumba kutoka ima iwe ulaya au asia,je nianzie wapi? Yan sijui ni wapi nitanunua kwa jumla na kwa shngapi na je hii biashara...
Wengi wamekuwa wakitoa hadithi kuwa Tanzania na China miaka ya 60 zilikuwa sawa kiuchumi. Kwangu mimi sikubaliani na hilo hata kidogo kwani masikini mwenye kopo akiomba na masikini mwenye mipango...
Kampuni ya Coral Paints katika jitihada za kuongeza ujuzi kwa wapiga rangi nchini Tanzania
Ili kuwa mpiga rangi mzuri na mpambaji , lazima mtu awe mbunifu na mwenye ujuzi unaostahili vilevile awe...
Whether youre an adventurous person, a DIY expert or simply a persnickety home buyer, the thought of building your own home might be a thrilling prospect. After all, when you choose to build your...
Moja ya faida za kuingia kwenye biashara katika kipindi hiki ni kwmaba huna haja ya kuumiza sana kichwa ni biashara gani ufanye. Japo wengi bado wanaumia vichwa.
Zama hizi kila aina ya...
Swali la kizushi. Miaka 5 iliyopita kulikuwa na leak kuwa Mwambita Makamba analipwa $20,000 kwa mwezi alipokuwa anafanya kazi Vodacom TZ
Sasa najiuliza hivi hawa ma top CEO wa mabenki kama...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.