Biashara, Uchumi na Ujasiriamali

Special forum for those interested in Business and Economics discussions

Mega Projects in Tanzania

Threads
243
Posts
7.3K
Threads
243
Posts
7.3K

JF Prefixes:

Wana JF Kwa yeyote anayemiliki au kuendesha biashara ya mbao hasa mbao laini na anatarajia kuiuza naomba awasiliane na mimi. Biashara hiyo iwe maeneo ya jiji la Dar es alaam. Kwa mawasiliano...
1 Reactions
0 Replies
2K Views
Naomba kama kuna anayejua gharama ya kuanzisha kituo cha TV anijulishe taratibu zote gharama kwa ujumla.
0 Reactions
10 Replies
12K Views
MISINGI YA UFUGAJI WA KUKU KIBIASHARA Misingimuhimu ya ufugaji wa kuku kibiashara yanayokuwezesha kupata mazao mengi na bora zaidiyatakayomnufaisha kimapato na kwa matumizi mengine. Misingi hii...
0 Reactions
1 Replies
4K Views
jamani hizi benki zetu sasa kila kitu tunakatwa!! apa natolea mfano benki yangu ya CRDB kila kitu sasa ni kulipia sijaona cha bure kwa kweli ata salio kuuliza pale kaunta ni kulipia mwee...
0 Reactions
9 Replies
1K Views
Kwa hapa Moshi kuna Ndizi nyingi sana. Kumetokea mafuriko ya ndizi kiasi kwamba Mkungu unauzwa mpaka Shilingi 500. Ndizi zinaivia na kuozea shambani hamna walaji na soko la ndizi limeshuka sana...
0 Reactions
6 Replies
7K Views
Natafuta business patner anae ishi arusha kwa ajili ya biashara ya microfinance. Contact 0718000100. Email:rogersmassawe@aol.com
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Habari za asubuhi ndugu wadau, kwa mara nyingine tena naomba mnifungue akili kuhusu huu mfuko wa uwekezaji UTT. Ukinunua vipande 61, 600, je vitauzwa ndani ya siku ngapi? Naomba wadau wenye...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Dar es Salaam. Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (Ewura) imepunguza bei ya mafuta kwa mara nyingine katika kipindi cha miezi mitatu huku punguzo la sasa likitajwa kuwa ni la chini...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Hello wana jamii forums Mimi nimejaribu kuangalia jinsi biashara zinavyoenda hususani Moshi,nimeona kuna utendaji wa biashara wa aina mbili kutembeza na nyingine kukaa kusubiria wateja,mfano...
0 Reactions
4 Replies
6K Views
Habari wakuu. Naomba msaada wenu kwa yeyote mwenye uzoefu au anayejua namna ya kuanzisha magazine, tafadhal naomba, unaweza ukani PM au kuandika tu kwenye comment. Asante
0 Reactions
2 Replies
3K Views
Jamani wakuu.. nimewakimbilia ili nipate msaada wa mawazo juu yenu juu ya kuanza biashara.. nina mtaji wa Mil. moja (1,000,000). na nina penda kufanya biashara ili nijiongezee kipato na hi ni...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Habari wanajamii wenzangu. Mimi nataka kuanzisha biashara ya nguo za watoto na kike. Nia yangu nizinunue marekani. Nafahamu kule ni bei juu kidogo na process ni ghali kidogo. Mimi naomba...
0 Reactions
2 Replies
3K Views
GOOD MONEY WITH LADY'S FINGER/OKRA OR BAMIA(ABELMOSCHUS ESCULENTUS) Bamia is one of the popular vegetable in Tanzania. It is cultivated extensively all the year round for its immature fruits...
0 Reactions
7 Replies
3K Views
Habari wana JF, Mimi ni Mjasiriamali mwenye umri wa 20' yrs. Nimesoma Bachelor of Science in Computer Science Software Engineering, nimejiajiri kwenye industry ya IT. Nimefungua ofisi Sinza...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Kwa mahitaji yako ya vifaa via Garage pls usiogope kuwasiliana nasi, supply only Genuine Japanese brand. 4wheel alignment system, 2 post 4tons/5tons lift, scissors lift on/in ground,4post 4tons...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
mwenye kujua sehemu ama jinsi ya kuvipata anisaidie wa Siku moja bei tsh/= ngapi?
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Kama ukisomea mambo ya umeme utawezaje kufanya biashara? Na kama ukifanya biashara utaweza kufanikiwa? Naombeni mawazo yenu.
0 Reactions
5 Replies
3K Views
Kwa anayefahamu msaada,ipo katika taasisi za elimu(salary scale poss 4) be sure please.
0 Reactions
0 Replies
3K Views
Waungwana naomba mwenye kukopesha kwa riba nafuu anikope mil. 1 niwekeze kwenye biashara ya duka la chakula. Nina uwezo wa kurejesha laki 4 kila mwezi kutoka kwenye mshahara wangu, pia napata vi...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Hongera EWURA kwa hili. Bado umeme sasa umeme tunanunua unit 370 kwa walaji tunaotumia zaidi ya UNIT 50!!Liangalieni na hili. MIHANI GAS sasa ndo kiboko ya ORXY,ushindani mzuri sana umesababisha...
1 Reactions
4 Replies
2K Views
Back
Top Bottom