Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!

JF Prefixes:

Habari wakuu, dogo amepata Div IV ya 28 Maths F English F Kiswahili C History C Geography D Biology D Civics D Naomba ushauri asomee kozi gani ? Nataka mpeleka Certificate then Diploma.
1 Reactions
1 Replies
110 Views
Nilituma maombi kwa njia ya online kwa kozi ya Clinical medicine naomba mnipe njia mbadala za kufany I'll nipate chuo cha serikali Natanguliza shukrani kwenu
0 Reactions
21 Replies
6K Views
habarini humu ndani? ningependa kufahamu au kupewa maelezo kwa yeyote atayokuwa nayo, kuhusiana na akaunti za udom kutokufunguka na kuambiwa tumekosea passowrd ilihali password azjakosewa and pia...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
3 Replies
3K Views
Nimeomba chuo fulani lakini nilipoangalia tena taarifa zangu baada ya kufanya submission nikakuta kwamba nimekosea tarehe ya kuzaliwa(nimechanganya mwezi na tarehe). Lakini kwenye kipengere cha...
0 Reactions
0 Replies
514 Views
Mkurugenzi Wa TCU amedai kuwa asilimia 70 ya wahitim kidato cha sita kuna uwezekano mkubwa Wa kushindwa kupangiwa vyuo kutoka na taarifa zao kuwa kinyume na zile za maombi ya mkopo,haidha...
0 Reactions
16 Replies
3K Views
wakuu naombeni mnisaidie tofauti kati ya chuo cha wanyamaa pori mweka na chuo cha wanyam pori pasiansi na kwanin mweka ada yao ni kubwa sna? Msaada wenu wakuu
0 Reactions
15 Replies
3K Views
Kwa aliesoma pcb anaweza kuapply engineering ipi DIT? Na BAM kafaulu vizuri
0 Reactions
15 Replies
2K Views
Habari wana jf ni matumain yangu kuwa wazima ningependa kuwakarbisha wote ambao mpo kwenye medicine na wanaotaka kuingia ili tujuzane
1 Reactions
3 Replies
674 Views
Jb
Jamani nisaidie chuo cha watu wanao fanya kazi bandari kinaitwaje
0 Reactions
1 Replies
638 Views
kuna ukweli wowote kwamba ikiwa umeomba tawi lolote la SAUT na ukapata wakati vyuo vingine navyo umepata SAUT wanakimbilia kuconfirm kabla yako?😢😢😢
0 Reactions
2 Replies
649 Views
SHULE GANI NZURI YA ADVANCE INAPATIKANA MWANZA AU ARUSHA NAOMBEN MNISAIDIE
0 Reactions
2 Replies
982 Views
Mtu mwenye Masters ya Nursing for possible connection ya PhD. Nimeongea na Prof. already so that means mguu mmoja ndani tayari sababu PhD nyingi za USA connection ni muhimu na Prof akisema...
1 Reactions
0 Replies
1K Views
Naomba kuuliza kuhusu wanafunzi walio pangiwa kwenda vyuo kwa mwaka huu,nahisi wengi wao wamepangiwa kwenda kusoma course ambazo hawaja panga kusomea katika maisha yao wengine wanaweza wakawa na...
1 Reactions
7 Replies
4K Views
Jamani nimekosea kujaza mwaka was kuzaliwa nacte application naweza chaguliwa kujiunga chuo msaada kulingana na uzoefu wenu
0 Reactions
4 Replies
2K Views
giv
0 Reactions
37 Replies
7K Views
Habari wakuu niende kwenye mada moja kwa moja sijaona umuhimu wa mtu kumaliza kidato cha nne na kwenda kidato cha tano na sita kupoteza muda kwanini isiwe mtu akimaliza kidato cha nne asiende VETA...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
E
Explain the Institution which undermining Women in Tanzania
0 Reactions
4 Replies
728 Views
Back
Top Bottom