Habari za usiku wapendwa, mm ni mwanafunzi na niko field hapa mbeya. Nimepata ugumu katika uandishi wa riport yangu hasa katika kupata organisation structure ya hii kampuni. nimejaribu kuitafuta...
NAANZA KUSOMA MWAKA HUU OUT KATIKA BACHELOR OF ART IN EDUCATION (BAED) NAHIAJIKUJUA ILI NIJIPANGE KUKABILIANA NAZO KWA KUANZA NA MSINGI MZURI. Ahsante.
Naombeni mwenyewe uelewa juu ya BSc with biology.. Kuanzia sehemu ya kufanyia field pamoja na soko lake.. Ni wapi naweza nikaajiriwa.. Nashukuru kwa msaada wako
Huu ndio ule wakati ambapo wanafunzi wa vyuo vya elimu ya juu wanamaliza masomo yao. Ni wakati wa furaha sana kwenye maisha yao kwa sababu kitu walichokuwa wanakifanyia kazi kwa miaka mitatu...
Habari zenu!
Jamani naombeni msaada kuna mdogo wangu yupo kidato cha tano alipangiwa kusoma Temeke high school lakini alituma maombi ya uhamisho TAMISEMI kutokana na sababu fulani. Maombi yake...
Wakuu mpaka sasa hv naandika hapa sijajua hao wanafunzi 18000 walioachwa serikali ina mpango gani nao
Nakumbuka matokeo yalipotoka wengi walipongezwa sana na watu wakiwa na uhakika kwamba watoto...
Mwenye kujua kuhusu ajira mpya za walimu kwa waliomalza mwaka huu ngazi ya stashahada na Astashahada atujuze kama lini zitatoka! Maana kuna tetesi kua huwenda zikatoka mwezi wa kumi.
Mwenye...
Habari, Majina yangu Emanuel Maro, nimehitimu masomo katika kada ya ugavi na manunuzi (procurement and supplies management) ngazi ya cheti katika chuo cha utumishi Wa umma Tanzania (TPSC)...
Wadau naomba kujuzwa.
Hii inanitatiza sana, undergraduate inaanzia level ipi? Certificate, diploma au bachelor?. halafu pia kunamsemo, "kujiendeleza elimu ya juu" hii nayo siielewi, kwani kuna...
Habari zenu wakuu?
Naombeni mnisaidie,ni njia gani rahisi naweza kuitumia kufanya application ya Post Graduate South Africa ili nisichelewe kwani natarajia kuanza mwaka huu wa kimasomo.
Kama...