Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!

JF Prefixes:

mwy link ya kupata au anayeweza kuni2mia plz naomba my email ni rufinusj@hotmail.com
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Msibabaishwe na tetesi za watu wanaojisikia kupost chochote afikiriacho, kwani hata kama akiandika uongo na kupotosha jamii ajira zenu ziko palepale, watu kama hao hawakosi ktk jamii. Ni haki ya...
1 Reactions
9 Replies
2K Views
,Nimesikia redioni kuwa kuna chuo cha mafunzo ya afya kiko magomeni, kwa anaye kifahamu anijulishe, maana ninaye kijana anataka kujiunga
0 Reactions
0 Replies
1K Views
heshima kwenu wakubwaa!kwa anaefahm chuo cha engineering ambacho kinaanza masomo(dplma)mwezi july au june mwka 2014/2015 anijuzee!..
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Habari wana ukumbi! Kwa muda mrefu nimekuwa nikiliona tatizo/changamoto hii ya upungufu wa "academic papers" katika "international journals" mbalimbali kwa upande wa wasomi wa Tanzania. Kwa kifupi...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Habarizenu bhandugu!naomba kujuzwa mwezi wa kuanza masomo(diploma)ktk chuo tajwa hapo juu.nmechek web yao lkn ckuaona!hii n kwa mwk 2014/2015..
0 Reactions
2 Replies
1K Views
samahan wandugu..nlikuwa naomba mwenye kujua shule nzur ya private kwenye combination ya EGM mkoa wa kilimanjaro anisaidie kuweka majina ya hzo shule apa na kama unajua na ada yake kwa mwaka...
0 Reactions
32 Replies
19K Views
Bhandugu naomba kujuzwa mwezi ambao vyuo tajwa hapo juu vtaanza masomo rasmi(2014/2015)na ada zao bila kujumlisha fedha ya chkula na malazi.coz nmechek ktk web zao lkn ckuona!!NAZUNGUMZIA DIPLOMA
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Habari za leo wanajamiiforum, Nina shost yupo nchi za ughaibuni, anataka kusoma kati ya unesi au medical laboratories. Ila bidada anataka akisha soma arudi zake bongo kufanya kazi. Mimi kwa...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
wanajamvi mie naulizia mahali pa tuition center masomo ya physics, chemistry na hesabu kwa kidato cha tano ( kwa Mwanza) mwenye kujua vituo hivyo vilipo huko mwanza tusaidiane ili nimpeleke ndugu...
0 Reactions
9 Replies
3K Views
kama ulikuwa na tatizo lolote sup nk na haukugraduate ukwelu ni kwamba ajira hizi mpya mwaka huu wamebana wale wenye sup sijui nini hawapo andaa kuopokea maumivu.
0 Reactions
14 Replies
2K Views
Vijana tusiwe na ugonjwa wa fikra duni, ni jambo la kipumbavu wewe kama kijana unayejiita msomi na unae tegemewa na jamii yako, kuanza kuvibagua vyuo vingine kwamba si vyuo bali ni taasisi za...
2 Reactions
92 Replies
8K Views
Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi kwa kushirikiana na Tume ya Vyuo Vikuu nchini (TCU), Jukwaa la Taasisi na Mamlaka zinazosimamia na Kudhibiti Ubora wa Elimu Tanzania, zimeanzisha mfumo mpya...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Wakuu nikiwa na alama hizi Physics = B' Chemistry = B' Mathematics = C naweza kuchaguliwa kujiunga na engeneering DIT
0 Reactions
28 Replies
4K Views
Hii ni social forum, watu wanasoma kwa kupata habari mbali mbali, wengi hawana mda wa kukaa sana kwenye hizi social forum. Kwa hiyo kama unadhani thread yako ni ndefu, basi jaribu kutumia...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
source www.tcu.go.tz Applications for Admissioninto Higher Education Institutions through the Central Admission System (CAS)for academic year 2013/2014 TanzaniaCommission for Universities (TCU)...
0 Reactions
15 Replies
50K Views
Website ambayo naweza kupata solution ya maswali hasa ya hisabati
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Habari zenu great thinkers,natumaini ni wazima japo mwenzenu siku yangu imeingia nyongo kwa kiasi kikubwa Naandika huu uzi Kwa masikitiko makubwa sana kwa kweli.Nikiwa nahisi kudharauliwa wakati...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Habari za leo ndg zangu? Nawaombeni yeyote mwenye kujua vyuo vya ualimu vinavyotoa certificate ya SPECIAL NEED EDUCATION kwa hapa Dar, Pwani na Tanga anijuze kwa jina na vinapopatikana.
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Another beautiful week!! Elimu yetu inazidi kuporomoka sana hasa kwa shule za sekondari, watawala wameamua kufanya siasa katika elimu yetu, matokeo yake vijana wanaofika vyuo vikuu wanakuwa na...
1 Reactions
87 Replies
14K Views
Back
Top Bottom