Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!

JF Prefixes:

Wakuu naomba kufahamishwa,je ni chuo gan hapa nchini kinatoa postgraduate diploma ya naturopathy?????
0 Reactions
0 Replies
674 Views
Kitabu kinaheshima yake
2 Reactions
24 Replies
4K Views
habari za jioni na kheri ya mwaka mpya. mimi ni mwanafunzi nimemaliza muccobs diploma ya accounts nina GPA ya 2.4 or grade C. Nilikuwa naomba ushauri ni chuo gani kitanipokea kwenda bachelor na...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Ndugu wanajamvi naomba kujuzwa juu ya chuo nachoweza soma post graduate diploma of law na sifa stahiki za kujiunga na kozi hiyo. Na je,kozi hiyo inaweza kunifanya kuwa wakili wa...
0 Reactions
5 Replies
4K Views
siasa ya TZ yaandaa shimo la kuizika elimu kama ; 1.kufutwa kwa somo la sayansi kilimo kwa shule za msingi hali kilimo ndo uti wa mgongo wa nchi yetu. 2.kuondolewa kwa sayansi kimu hali ndo...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
vigezo gani kujiunga na open university of tanzania
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Wanajamvi kuna mhitimu wa chuo cha ualimu mpuguso mkoani mbeya anasema vyeti vyao vya form four na ualimu grade A vimepotea. Sasa wanatakiwa kulipa laki tano ili vikachapwe baraza tena eti...
0 Reactions
7 Replies
4K Views
Ngono; sifa mpya inayotawala vyuo Hali kwa ujumla ni mbaya hasa katika baadhi ya vyuo. Rushwa ya ngono iko juu mno kiasi cha kukatisha tamaa. Mwalimu akimtaka mwanafunzi na akakataa, basi...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
P1556 dunga secondary school div-i = 0 div-ii = 0 div-iii = 0 div-iv = 23 fld = 104 s2361 mavanga secondary school div-i = 0 div-ii = 0 div-iii = 0 div-iv = 11 fld = 79 s0599 mnero secondary...
0 Reactions
3 Replies
6K Views
SCHOLARSHIPS FOR AFRICA 2014/2015
0 Reactions
0 Replies
757 Views
Wakuu natumaini mpo wazima na kuendelea kufanya vzr ktk shughuli za kujinge Taifa letuu, naam nilikuwa na tatizo nililoshindwa kuelewa kbs japokuwa nimejaribu kufanya utafiti sehemu mbl mbl but...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Nna ndugu angu alkosa mkopo kutoka hslb so naomba anaejua shirika tajwa aweze nifamisha ili tuweze okoa jahazi kwa mwanafunzi anaesoma kwa shida sana hapate kusaidiwa. Nashukuru sana kwa kunisikiliza
0 Reactions
3 Replies
1K Views
DKT Hamisi Kigwangalla atakuwa Kesho Mwanza Kuanzia Saa 4 asubuhi kwa Ajili ya Mdahalo na wanafunzi wa Chuo cha Mtakatifu Agustino Nyegezi Mwanza, Mada ni :- MAPINDUZI YA MARA YA PILI AFRICA:-...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
NGOTE AND NGAIZA TUITION CENTRE. Pre-form five program DSM-kariakoo-Mchikichini. _______________________ Advance- Chemistry, Physics, Mathematics and Biology. ______________________ WALENGWA-...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Hivi wanajanvi chuo kikuu cha Dodoma ni cha serikali au cha mtu binafsi? Maana miaka mitatu mfululizo wanafunzi wanao hitimu UDOM wanadhulumiwa pesa za majoho. Tangu 2011-2013. Mwaka jana...
0 Reactions
19 Replies
2K Views
TANGAZO LA SKOLASHIPU ZILIZOTOLEWA NA SERIKALI YA INDONESIA KWA TANZANI A KWA MWAKA 2014/2015 Serikali ya Tanzania imepokea mwaliko wa Skolashipu kutoka...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Kwa wale walio appeal 2013/14 tufahamishane kwa chochote kitakacho tokea,asanteni!!!
0 Reactions
0 Replies
778 Views
NGOTE AND NGAIZA TUITION CENTRE. Pre-form five program DSM-kariakoo-Mchikichini. _______________________ Advance- Chemistry, Physics, Mathematics and Biology. ______________________ WALENGWA-...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Wana JF, mimi ni mwajiriwa wa serikali! Nina mkopo wa tpb tangu mwaka jana, mikopo ambayo waajiriwa hudhaminiwa na mwajiri! Mwaka huu nataka niende kufanya Msc (ughaibuni), kwa mazingira ya...
0 Reactions
0 Replies
770 Views
Mi ni mwalimu sekondari halmashauri ya babati nahitaji kuhamia manispaa ya arusha aliye tayari 0764933405
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Back
Top Bottom