Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!

JF Prefixes:

NAOMBA CLICK HIZI LINK TAFADHALI NAJITAHIDI KU UPLOAD KADIRI NTAKAVYOWEZA ILA USHAURI MNGESUBIRI BAADAE MAANA WEBSITE YA LOAN BOARD IKO CHINI MAANA WATUMIAJI WAMEZIDI KIPIMO KWA SASA.. UPDATE...
21 Reactions
310 Replies
138K Views
Mi nadhani ifike mahali watu watumie akili, mtu unakurupuka na kuanzisha thread yako ya ajabuajabu tu. Kwanini msitulie na kungoja hadi HESLB watoe wenyewe? Au mnataka tujue kwamba nyie ni...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
jaman mbona hawa tcu mambo yao taratibu sana, tangu wametoa nafasi ya kuhama vyuo, mpaka leo hawajatoa majina,na vyuo vimesha funguliwa,hivi hawaoni kama wanawachelewesha wanafunzi masomo?mkopo...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Leo group la kwanza la wanafunzi wa 4m 6 laapa wengine tarehe 27 mwezi huu
0 Reactions
22 Replies
3K Views
naomba msaada kuhusu hii course baadhi ya sehemu unazoweza kuajiriwa
0 Reactions
70 Replies
8K Views
vijana iweni makini huko vyuoni.hawa wa2 wapo.kuwa makini ucje graduate na vidudu. Kapgen msuli ndg zngu
0 Reactions
13 Replies
9K Views
wadau wa jf hasa kwa wale tunaomsubiria huyu bwana heslb kaeni mkao wa kula kwa mtonyo niliopewa na mdananda wa pande hizo anasema kesho mzigo watauweka hewani tho stay tuned by 2moro kuanzia saa nne.
1 Reactions
42 Replies
6K Views
Ambae anajua link ya kupata majina ya wanafunzi waliopewa mkopo mwaka 2013/2014 atupie hapo basi tuyaoe wote. nyc tuesday.
0 Reactions
5 Replies
2K Views
habari wana jf..... leo bodi ya mikopo ya elimu ya juu imeitisha mkutano na waandishi wa habari kwa taarifa zaidi usikose kufuatilia habari ya saa mbili usiku:source mdimu's blog Nawasilisha
0 Reactions
31 Replies
3K Views
Wale waliopata bahat ya kupata chuo bora cha kimataifa udsm tufahamiane hapa na kusaidiana hapo pia second year na kuendelea pia 2nahtaj msaada wenu
0 Reactions
20 Replies
3K Views
wana JF wale wenzangu na mimi tumuombe mungu kuhusu loan maana huyu jamaa ni kama kifo muda wowote atakuja na huondoka akiwa na sehem mbili wenye furaha na wenye majonzi tukazane kumuomba muumba...
0 Reactions
13 Replies
2K Views
nasema hivyo kwa sababu kuna mijitu ingine bana cjui inakurupuka. toeni taarifa sahihi kwa wakati sahihi. kuna watu wana presha zao huku. so fresh mnavyofanya
0 Reactions
2 Replies
951 Views
Kumekuwa na kasumba ya wa Tanzania kusema elimu ya nje ni rahisi kulingalisha ya TZ. Je ubora means ugumu?. Kwa kufungua mada ningependa kuongelea elimu ya Engineering. Navyofahamu mimi wezetu wa...
1 Reactions
1 Replies
2K Views
Imekaaje kwa mtoto wa kiume kusoma kozi ya sekretari, maana juzi nilipita magogoni nikakuta nwanaume anasoma kozi ya sekretari.
0 Reactions
3 Replies
1K Views
wana JF kuna ndugu yangu amechaguliwa bsc in geomatics ardhi university lakini amegundua kama pale EASTC bado wanapokea applicants wapya kwa degree ya official statistics so ameona kama ahamie...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Oya kama ni vipi niaje we andika hapa ulichokutana nacho huko mwenge tushee mchuzi doa!!!
0 Reactions
14 Replies
2K Views
Natumaini wazima wanajamii, Naomba msaada kwa anyejua vyuo vya UK,Malaysia,USA au India ambavyo vinatoa scholarship kwa kozi za online. Nashukuru kwa masaada wenu,mbarikiwe wote.
0 Reactions
5 Replies
1K Views
kwa wale 1st year wote napenda kuwatangazia mapind ya chuo kama ifuatavyo. course zitakazofundisha ni kama ifuatavyo 1:jins ya kutumia boom 2:kuepuka kudisco na kusapu 3: jins ya kumenej time 4...
0 Reactions
25 Replies
4K Views
kuna yeyete aliesikia tetesi kuhusu nafasi za afya vyuoni leo?
0 Reactions
1 Replies
825 Views
Nataka kufika UDSM pale mathematics department, kwa anajua kituo kinaitwa vp kama ntapanda daladala.
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Back
Top Bottom