Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!

JF Prefixes:

Ni Mtazamo wangu… Nakumbuka nikiwa sekondari ya Mawezi, Moshi. Likizo tulikuwa tunakutana na washikaji tuliosoma wote primary halafu wakapangiwa special schools Kibaha, Mzumbe, na Ilboru. Na wale...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Serikali kwa mjibu wa Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi kubuni kuwa na mtihani mara baada ya mwanafunzi kujiunga na kidato cha kwanza. Je mtihani wa darasa la saba unatija?
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Habari wana JF, Nimelazimika kuwapa pole hawa vijana kwa kazi ngumu wanayoifanya na huyu Kibonde ambaye ki ukweli si kwamba ni kada tu wa MAGAMBA,bali hata kichwani hana kitu!!!!!! yaani ni empty...
1 Reactions
30 Replies
13K Views
msaada wa mawazo yenu ndugu zangu, mdogo wangu ana 4 ya 26 na ana C mbili za english na civic. Geog ana f, physics, math, chemistry, biology na kiswahli ana D zote. Nimefikiria kuomba wizara ya...
0 Reactions
27 Replies
3K Views
inasadikika kuwa Tanzania ni nchi pekee baran Afrika yenye lugha moja inayounganisha watu wake wote na haijakopwa kokote. lakini nchi yenyewe haitaki kufaidika na hyo tunu inang'ang'ania lugha ya...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Wadau napitia hoja zinazotolewa humu kuhusu matokeo ya Kidato cha Nne ikanikumbusha mijadala mikali iliyokuwepo ya Matokeo ya Kidato cha Pili na Darasa la 7 kuwa ni mabaya sana. Hivi nini...
0 Reactions
1 Replies
14K Views
habari zenu ndugu samahani wadau kuna ndugu yangu ananisumbua kuwa matokeo yao ya qt ya mwaka jana 2012, yametoka anaomba nimuangalizie. Sasa nimekwenda web ya necta hakuna kitu kama hicho...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Wanafunzi asilimia kubwa wana uwezo wa kufaulu mitihani. Sababu kuu za mwanafunzi kufeli mitihani zimechambuliwa kisayansi kwenye website...
0 Reactions
4 Replies
6K Views
Fahari wawili SERIKALI vs WALIMU Hivi karibuni tumeshudia malumbano ya kimasilahi baina ya walimu na serikali na hatimaye kupelekana mahakamani na serikali kupinga kisheria walimu kuendelea na...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
baada ya kukubwa na sitofahamu ndani ya miezi mi5 wanafunzi wapatao 215 juu ya pesa zao za kujikimu kutokufika, na bodi kuishia wapa ahadi za kuwambia tunawapa na kuwapelekea allocation zao, na...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Kazi ya mwl " kufundisha kutunga mtihani KUSAHIHISHA na kutoa matokeo" Utaniambiaje walimu wanamgomo
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Kila mara yatokapo matokeo ya kidato cha 4 na cha 6 kunatokea kundi flani wanaojiita Wanaharakati wa upande wa kushoto kazi yao kwenda kwenye vyombo vya habari na kulalamika kuwa watoto wao...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Jamani matokeo ndo hayo,subirieni malalamiko.Ooh Ndelichako anapendelea.Hapo napo je?
0 Reactions
16 Replies
3K Views
Nataka kupata majina yenu na nijenge hoja. Nijenge hoja,kama raia wa kawaida wa nchi hii,kuwa mnapaswa kurudia mitihani ya kidato cha nne. Kama si kutungiwa mitihani mipya basi mrudie mitihani na...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Mtu anayepata divion zero aka Dunia duara anawezaje kuandika haya? "nawashangaa wabunge, wamekaa kama wapo kijiweni, wabunge wamekosa ustaarabu, badala ya kujadili kero za wananchi waliowachagua...
1 Reactions
8 Replies
2K Views
Yeah ! Mimi ni miongoni mwa candidate wa mwaka jana 2012 .Bado naamini kila kilichotokea kwangu was fate Nina C ya chemistry na yalyobaki yote D Big deal mawazo kutoka kwenu nifanyaje ?
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Wakuu nawasalimu....! jamani me naomba mwenye uelewa wa ndani kuhusu elim ya bima nifafanulie tofauti, faida na hasara, na taratibu za bima kati ya comprehensive na thirdparty. nategemea msaada...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Wanasema kila jambo lina uzuri na ubaya wake...hivi karibuni tu Taifa la Tanzania limepokea matokeo ya form four ya mwaka 2012. Matokeo yanaweza kuwa mazuri au mabaya,kwenye hili tunazungumzia...
1 Reactions
2 Replies
2K Views
Nawaomben msaada wa matokeo nipo kijijin ambako taarifa nazpata kwa simu kupitia JF. Naomba mniwekee matokeo ya form four_2012. Namba ya shule S.4100 (salama)
0 Reactions
4 Replies
970 Views
Nasikia jamaa aliyejenga jengo lililobomoka dar alisoma udsm....?
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Back
Top Bottom