Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!

JF Prefixes:

Breacking newsssss......!!! Hallow taarifa kwa wanachama,na makamanda wa chamanda kutakua na uchaguzi mwezi wa tatu tarehe 16.03.2013 siku ya jumamosi.wanachama kwa anahitaji kuwa kiongozi fomu...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Hii radio kila nisikilizapo napata kitu kipya na muhimu sana katika maisha yangu. Radio zote bongo zingekuwa kama radio Imaan hakika tungekuwa mbali sana. Nasikiliza Radio Imaan hapa mkombozi wa...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Kati ya kazi ambayo serikali kwa makusudi imeamua kuifanya ionekane ni ovyo ni ualimu. Haiwezekani walimu tu nchi hii ndo wenye madai mengi yasiyo lipika,mazingira magumu ya kufanyia kazi...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Waungwana wa Research naomba maelekezo ya CLUSTER SAMPLING&STRATIFIED SAMPLING..pia tofauti zake. Natanguliza shukurani.
0 Reactions
2 Replies
854 Views
Study MBBS, BDS (Dentistry), Engineering, Business Management, Nursing etc, in China. Admissions open for 2013 session. Scholarships available for limited seats only. Contact us for scholarship...
0 Reactions
0 Replies
609 Views
Ni hv punde 2 nimepata hii sms kutoka kwa mwenzangu ambaye 2nasubir wote ajira za ualimu kutoka serkalini sms imenishitua kidogo kwani inasema hv: WALIMU WAPYA TUKUTANE DAR KUANZIA TAR...
0 Reactions
28 Replies
4K Views
PENGINE haya tunaweza kuyaweka kwenye kundi la madhara yatokanayo na utandawazi. Mitandao ya kijamii ipo inayowasaidia wanafunzi katika masomo yao na kazi, lakini wengine wanatumia mitandao hiyo...
0 Reactions
6 Replies
3K Views
Kwanza kabisa niwape pole sn madenti wanaosongoka leo nataka niwakumbushe maeneo fulani na majina kwa kila shule nilizopita nianze na ILBOYZ majina km Golgota pale mtiani inakofanywa, doms km kibo...
0 Reactions
13 Replies
3K Views
Naomba kuuliza; Ni kwa mda gani unaweza kukaa bila ya kufanya mtihani wa FORM 4 kama ulifaulu QT..?
0 Reactions
4 Replies
4K Views
Nilitaka kujua kuhusu vitabu vya walimu vya kufundishia, kila mwalimu anaagiza mwandishi wake wa kitabu kiasi kwamba inatuchosha wazazi, mtoto aliyesoma mwaka jana na kitabu mf. hesabu mwaka huu...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Kwanza nianze kuomba radhi kama sijaielewa sana hoja ya Mh Nchemba ya mfuko wa Elimu ya juu. Nasema naomba radhi kwa sababu kama serikali muda wote imekuwa ikijisifia kwa kuongeza fedha ktk...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Rais Jakaya Kikwete amemteua DR Asha-Rose Migiro kuwa mkuu mpya wa Chuo Kikuu Huria cha Tanzania. Source: Habari Leo
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Wanajf, Lyabusalu secondariipo moa wa shinyanga km 45 kutoka shinyanga mjini, tangu ianzishwe mwaka 2007 haina jengo la utawala, mkuu wa shule na walimu wanakaa kwenye darasa moja, hii ni moja...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Habarini Wakuu. Je inawezekana mwanafunzi kuahirisha kufanya mtihani wa kidato cha sita hapa Tanzania? Kama inawezekana, je ni kwa sababu zipi? Ikiwa mwanafunzi anataka kuahirisha mwaka huu...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Kwamba bado ajira hazijatoka, ndo wanavoambiana walimu waliohitimu masomo yao ya shahada za ualimu huko mtaani, wenyewe wanaziita BA au BSc.AJIRA..miezi nenda rudi , ajira bado, mtu mzima mindevu...
1 Reactions
33 Replies
3K Views
muda mwinggine unatamani uchukue kiboko na kuanza kuchapa wanafunzi wanao zurula mitaani wakati vipindi vya masomo vikiendelea,mfano hapa mtaani kwetu ikifika saa 3 asubuhi,tayari kundi la...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Study MBBS, BDS (Dentistry), Engineering, Business Management, Nursing etc, in China. Admissions open for 2013 session. Scholarships available for limited seats only. Contact us for scholarship...
0 Reactions
0 Replies
619 Views
Raisi JK kikwete na Philipo Mulugo naibu wazili wa Elimu na mafunzo ya ufundi kwa wakati tofauti walitangazia uma posta za walimu wapya ni mwezi january 2013 lakinihajakua hivyo zaidi ya...
2 Reactions
7 Replies
2K Views
Amani iwe nanyi ndugu zangu kwa heshima yangu kwenu naomba kuwasilisha matokeo kidato cha nne fulani ili uweze kunijuza kama inawezakana kwa matokeo hayo muhusika akapata chuo cha umeme...
0 Reactions
22 Replies
2K Views
Nimetumikia serikali miaka4 nikaomba kwenda kusoma nikanyimwa ruhusa .ila wapo walimu pale Bagamoyo wamefundisha miaka2 na wamepewa ruhusa ,DEO Unanionea sana kwa sababu wewe umeshika makali.Eti...
3 Reactions
11 Replies
2K Views
Back
Top Bottom