Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!

JF Prefixes:

TUME ikatumwa haikfanya ilichofuata, wanafunzi wakaonyesha kile walichomaanisha, wizara ikakwepa, leo imebainika tatizo ni BONAS NDIMBO, mtumishi mmoja alidai bwana ndimbo amekubali kushindwa na...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Inaelekea wiki sasa tovuti ya wizara ya elimu ikiwa iko 'Suspended'. Sasa hii inamaanisha nini? :israel::israel:
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Wana JF naomba niwashirikishe niliyoyakuta kwenye Chuo kikuu kipya kilichoko Arusha kinachoitwa Nelson Mandela African institute of Sciences and Technology. Chuo hiki kipya kiko katika hatua za...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Katika hali ya kushangaza serikali imekua inaweka usiri mkubwa sana katika swala zima la mambo ya elimu mfano kutolewa kwa post ambazo zimeleta athali kubwa kwa vijana wengi hasa wale walioamini...
1 Reactions
13 Replies
2K Views
Kwa ndugu zangu wachagga natumaini mtakuwa mnaujua mtii huu, Sale (Isale) ambao ni mti wa asili kwa imani za asili za kabila la wachagga. Nimejaribu sana kuugoogle na hata kuulizia mti huu kwa...
0 Reactions
16 Replies
10K Views
Nashindwa kuelewa serikali ina mpango gani na walimu jamani? mtu anajitahidi kusoma kacertificate kake au kadiploma, au hata kadegree kamoja jamani kwa tabu zake zoote, wengine kwa kuungaunga...
0 Reactions
17 Replies
2K Views
Study MBBS, BDS (Dentistry), Engineering, Business Management, Nursing etc, in China. Admissions open for 2013 session. Scholarships available for limited seats only. Contact us for scholarship...
0 Reactions
0 Replies
820 Views
Kwa kawaida au katika hali halisi, kazi ya kulea vifaranga hufanywa na kuku mwenyewe. Hivyo ili kulea vifaranga, mfugaji ni lazima aige kuku anavyofanya. Ikumbukwe kuwa vifaranga husumbuliwa...
0 Reactions
1 Replies
6K Views
Shule ya Queens' Medium School iliyopo Ukonga inatafuta Secretary anayeifahamu vizuri Computer na anayefahamu vizuri kiingereza. Piga Simu kwa Lilian Wasira, Director, No. 0719 604156
0 Reactions
0 Replies
1K Views
NDG wanajf kiwango cha mshahara kwa mtu mwenye masters ni sh ngapi? kama bado anafundisha shule ya msingi au sekondari. nawasilisha
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Walimu wanalalamika sana juu ya malimbikizo ya mishahara,madai ya fedha za likizo na migomo yao kutokuwa njia mbadala ya kupata haki zao.Mtazamo wangu ni kuwa ili wajikomboe, wote wanaolalamika...
1 Reactions
40 Replies
6K Views
Kwa muda mrefu sasa suala la kuwaelimisha kinadharia na kivitendo vijana wetu hasa mashuleni kuhusu kujua chimbuko lao kama waafrika linazidi kukosa mashiko. Kunaweza kuwa na nadharia nyingi...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Jamii forums ni zaidi ya elimu. Nakuomba uandike maneno hayo chini kwenye simu yako ya mkononi usambaze kwa marafiki zako kumi wajiunge jamii forums (Mimi nipo jamii forums home of greater...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Habar wana jf, kwa walimu mliotegemea kuajiriwa january na serikal, kwa wengi wenu n vijana so maisha ni leo/sasa kwan hiyo ahadi/tumain ishapotea na aliyeshiba hamkumbuki mwenye njaa, pia...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Wakuu, mi nilikuwa mwl wa vodafasta, nilikuwa nafundisha Hesabu, baadae niliamua kujiendeleza na elimu ya chuo kikuu, baada ya kuondoka katika kituo changu cha kazi niliicha majonzi mengi kwa...
0 Reactions
2 Replies
995 Views
Muhimbili University of Health and Allied Sciences has been ranked the best university in Tanzania in 2012/13 by University Ranking by Academic Performance (URAP) Research Laboratory
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Tarehe mbili mwezi huu nilibahatika kuitembelea shule yangu Ilboru,nilihudhuria pia mahafali ya 20 ya hii shule. Wadau shule yetu bado inafanya vizuri.....vijana bado wanalitunza jina la shule hii...
2 Reactions
15 Replies
2K Views
A stroke, brain attack, or a Cerebrovascular Accident (CVA), is the sudden death of brain cells caused by a lack of supply in oxygen to the brain. There are two main types of stroke: i)Ischemic...
0 Reactions
0 Replies
921 Views
Wandugu naomba mnisaidie kulielewa hili maana akili yangu hapa imegoma kuelewa, nijuavyo mimi high learning institution huwa zinahamasisha watu kijisomea hata kama vyuo vimefungwa, sasa cha...
0 Reactions
18 Replies
2K Views
year 1 semister1 *financial accounting *business mathematics *micro economics *communication skills 1 *principles of education *general management *business law1 *debating skills...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Back
Top Bottom