Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!

JF Prefixes:

kwa wale wanachuo wakazi wa dar es salaam waliobahatika kupata vyumba vyuoni au hostel ninatafuta mtu wa kuniuzia room au kunibeba si mnajua accomodation shida katika vyuo vyote vya dar. niko...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
kwa taarifa nilizopata hivi punde ni kwamba Chuo kikuu Dar es Salaam, Kitivo cha sheria kimeshindwa wazamini wanafunzi wawili kwenda Maputo kwenye mashindano ya MOOT Courts. mpashaji habari...
3 Reactions
47 Replies
7K Views
Jaman naomben kujua kuhusu mikopo, mm niko pale SAUT nachukua certificate ya ITT (INFORMATION TECHNOLOGY TECHNICIAN) je mwakan nikichukua Advanced Diploma naweza kupata mkopo? maana karo na...
0 Reactions
2 Replies
966 Views
Jaman mm nilikua admted agrbusnes sua ila jina lang kweny webst ya chuo halikutoka nimefuatilia nimeambiwa wanipe koz nyngne yoyote na mm spo teyar.nsaidien ndugu
0 Reactions
1 Replies
938 Views
Man Without Legs, Spencer West, Summits Mount Kilimanjaro And Raises Half A Million Dollars For Charity
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Inachoshangaza ni mitazamo finyu miongoni mwa wanafunzi wengi ambao wengi hawana mtazamo wa kujiajili. ....hii hutokana kwamba sera za nchi kuhusu elimu na utekelezaji wake haumpi mwanafunzi fikra...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
wote wale wa ifm karbun xana chuon kwe2 jpangen 2 mapema
0 Reactions
28 Replies
6K Views
hi.jf member naomba kujua nn hatma ya walokuwa na defects kwenye loans app wakaambiwa warekebishe wapewe loan vp mbona bodi kmya au ndo wamewapotezea? Mwenye kujua kuhusiana na hili a2juze.. Thanx.!
0 Reactions
2 Replies
1K Views
habari wana jf naomba tafadhari mwanafunzi yoyote aliyechaguliwa coz hii bachelor of science with education apo udsm anitafute kwa private sms ninashida nae plzzzzzzzz!
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Habari wana Jf, kwa yeyote anayefaham shule tajwa hapo juu ilipo kutoka bagamoyo mjini anijuze. Pia hata performance yake kitaaluma ningependa kufahamu.
0 Reactions
8 Replies
3K Views
Jmn naomben kujua kuhusu mikopo, mm niko pale SAUT nachukua certificate ya ITT (INFORMATION TECHNOLOGY TECHNICIAN) je mwakan nikichukua Advanced Diploma naweza kupata mkopo? maana karo na marupu...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
tar 2 hadi tar 4 mwezi wa 10 ni kusain fomu za mikopo ili maela yaingie. na tar 25/10/2012 ndio mwisho wa usajiri zaidi ya hapo uje na 100000 cash. piga 0659 631881 kwa mawasiliano:A S 465:
0 Reactions
1 Replies
1K Views
KATIKA waraka wa elimu no.5 mwaka 2012 uliotolewa na wizara ya elimu tar 21/9/2012 ambao unajumuisha mabadiliko ya mihula kwa shule za msingi,sekondari na vyuo vya ualimu grade A ikiwa tu na...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
sijui mchanganuo wa BSE mkopo wangu ni 4183000
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Wakuu, Juzi nilikuwa na machungwa 20 yakiwa ndani ya mfuko na niamua kuwagawia watoto 20 kila mmoja chungwa moja moja. Cha ajabu kila mmoja alipata chungwa moja lakini moja nikabaki kwenye mfuko...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Anaeijua please naomba unipe,au nipe link ili nami nipate kusoma nimetafuta sana mpaka nimechoka
0 Reactions
0 Replies
3K Views
Enzi zile zakukariri mashairi Hebu tujikumbushe hili shair,kwa kweli kama hukulipenda sijui ulipenda lipi,lipo relevant kwa nchi yetu By Henry Barlow Today I did my share In building the...
0 Reactions
11 Replies
5K Views
Wadau kwa loan iliyotowela hata vyuoni wameandika batch namba 1,je kuna hizo batch nyingine zitakuja? Ambao majina yetu hayajaonekana tuwe na moyo na hilo la batch nyingine?
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Jamani bodi ndo imeamua kutuchunia sisi tuliokosa loan mana kulikuwa na tetesi kuwa ifikapo tar 1 mwez wa kumi wangetoa nafasi kwa wale waliokosa loan kwa priority facult kuomba tena lakin bado ni...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Chuo cha maafisa ugani Naliendele - Mtwara, moto kinateketea kwa moto muda huu. Nimearfiwa na mwanangu anayesoma huko. Walio Mtwara watupe maendeleo ya hali hii tete.....
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Back
Top Bottom