Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!

JF Prefixes:

Salam wadau Mimi ni mtanzania, pia nina Shahada ya Pili katika Management&Administration na pia najishughulisha na shughuli mbalimbali za utunzi wa vitabu na majarida ya kitaaluma (Academic...
0 Reactions
34 Replies
7K Views
Je nivi2/vyet gan unavyotakiwa kwenda navyo chuo cku ya registration?
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Mi, nimtoto wa mkulima ila nimepata post ifm computer science na sina uwezo wa kujilipia pia kozi yenyewe nackia haina soko, nifanyeje? Naombeni ushauri wakuu.
0 Reactions
8 Replies
1K Views
SHORT COURSE ANNOUNCEMENT ON DATA PROCESSING AND ANALYSIS (To be conducted in Dar es Salaam) The Department of Statistics, School of Mathematical Sciences is announcing a short course on "DATA...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
nimebadilisha window nimeweka win xp. But keypad haziendani kama zlvyopangwa. Exp. @ ipo kwenye namba 2 but ukibonyeza inakuja ; msaada tafadhali.
0 Reactions
9 Replies
1K Views
sijaona taarifa yoyote kwenye media zetu kuzungumzia semina za usimamizi wa mtihani wa drs 7 kuanza leo ambayo wasimamizi wake ni baadhi ya walimu wa sekondari, walimu wa msingi ambao...
0 Reactions
10 Replies
4K Views
Three bells are set to angle at unterals of 15 mins, 20 mins, 24 mins. If they are started together, how many times they are going to ring together in a period of 1 week.
0 Reactions
51 Replies
4K Views
Jamani waliokuwa wanatafuta scholarship za masters na PhD sio muda wa kuchelewa ingia www.moe.go.tz na hapo utapata web nyingine ya namna ya application kwa commonwealth's hawa jamaa walichukua...
1 Reactions
3 Replies
1K Views
Habar wadau ninaombeni msaada jinsi ya kuweka page numbers katika kazi ukianza na roman numbers page za mwanzo na hizi za kawaida zilizozoeleka kwenye main body yake na pia kuinsert table of...
0 Reactions
2 Replies
948 Views
Habari zenu wanaJf naomba ushauri wenu,nimechaguliwa UDSM sasa nafikiria kukaa nyumbani au hostel kipi kitakuwa bora na mimi nyumbani ni Sinza(kwa wanaopafahamu)....naombeni ushauri wenu
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Admission Letters for First year students for Academic Year 2012/2013 will be available from 12th September, 2012
0 Reactions
6 Replies
2K Views
kwa wale wote mliochaguliwa SUA kwanza nawapa pongezi kwa kupata admission...kwa kuwasaidia kama wadogo zangu ni kwamba ORIENTATION COURSE inaanza tar 08/10/2012 hivyo mnatakiwa kuripoti chuoni...
2 Reactions
99 Replies
8K Views
jamani huo mzigo kibongobongo umekaaje...unalipa?
0 Reactions
9 Replies
3K Views
jamani kwa wale wa muccobs
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Ifi ii kichwa angu imelala au n muhas ndo imelala. Mbona hiyo majina ya pipo silisochaguliwa na tcu kwenda muhas siioni kwa net ya muhas. Ebu saidia hii kichwa ndugu. "che pasua sana kichwa ati"...
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Wanajf naombeni michango yeni nikijua kua umu ndani kuna wadau wa elimu pamoja na wasimamizi wa sekta nzima ya elimu.Kuna tabia ambayo inazidi kukua na kuenea kwa kasi sana miongoni mwa wanafunzi...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
maelezo zaidi ndani ya websity ya tcu, asanteni http://www.tcu.go.tz/info/news/view_news.php?id=91
0 Reactions
6 Replies
2K Views
katika Application zangu Nilifanya Bila Kushauriwa nilianza Na Ardh cozi 3 IFM cozi 3 na SAUT cozi 2 Maajabu nimechaguliwa ya Mwisho yaani SAUT.... kilichoniudhi IFM wamekomba mpaka Watu...
0 Reactions
88 Replies
8K Views
Sooory,,,ivi hizi direct cost 77400/=tunalipia benki au tunalipia palepale chuoni kwa mhasibu wa chuo???? jamani mnisaidie
0 Reactions
11 Replies
3K Views
wajameni kunatofauti ya ubora wa elimu itolewayo private colleges na ile ya vyuo vya selikali........ hebu tujadili hili wana jf!
0 Reactions
40 Replies
7K Views
Back
Top Bottom