Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!

JF Prefixes:

Nmechaguliwa st.john unvrsty ya Dodoma ila hadi sasa bado sijaamua ntakaa katka hostel za chuo au la.Kwa mwaka st.john wanatak Tsh.392500/= Je kukaa hostel za chuo na mtaan kupi kuna faida zaidi...
0 Reactions
13 Replies
6K Views
Wanajamii habari zenu..! Mi nimechaguliwa chuo cha DUCE.! Sasa nahitaji kufahamu natakiwa niwe na kiasi gani wakati nikisubiri uelekeo wa HESLB..!! NB:-Mbali ya School fees,na...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
wizara ya elimu mtavuna mlicho panda,mwezi uliopita mlizifunga shule zenu sasa chakushangaza mmetoa ratiba za mock form two ambayo inaanza tar 17,ambayo watahiniwa wataijua shule...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Kwa wale waliochaguliwa ifm join instruction tayari...
0 Reactions
3 Replies
3K Views
Hili tangazo lipo kwenye website ya chuo, ingia sehemu ilioandikwa ALIS utaipata Not ARIS! Admission Letters for First year students for Academic Year 2012/2013 will be available from 12th...
0 Reactions
4 Replies
7K Views
wametoa financial statement inayoonekana wanamdai milioni 7 wakati hadaiwi kiasi hicho.wameiba hela zake,amenyimwa vyeti na bado hajapata ajira.
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Kwa utafiti wangu uliokamilika hivi majuzi nimegundua kua, wamiliki wa shule hii ya Nangwa secondari na Jeffery academy ya Arusha , kuna siri kubwa nyuma ya ufadhili wa kwa watoto wa wafugaji wa...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
This is the most common myth taught to children since early ages that we have five senses. Which means our brain can interpret five types of signals i.e. sight, smell, touch, sound and taste...
0 Reactions
25 Replies
3K Views
http://www.mist.ac.tz/Documents/undergraduate_admission_2012_2013.pdf
0 Reactions
0 Replies
3K Views
Jama naomba kuelimishwa katika hiki kitu bima ya afya kwa wanachuo hususani faida zake kwa mwanafunzi kwa sababu mimi ni mwanafunzi wa chuo kikuu ambacho ni cha serikali katika chuo hiki...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Wadau habari,mimi ni kijana niliyemaliza form four mwaka 1998 na nilipata division 3,baada ya hapo nikakimbilia nje katika kujaribu kupigania maisha,katika kukaa kwangu kote huko!sikufanya...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Kwa taarifa nilizozipokea hvi punde kutoka kwa chanzo kinachoaminika,ni kwamba loan allocations zenu zitatolewa sometime next week.over
0 Reactions
12 Replies
2K Views
kwanza kabisa nawasalimu wote wana JF dhumuni langu leo hii ni kuwaelezea wenzangu wanaoanza chuo kuhusiana na kukosa mkopo.ninachowashauri jamani hata ukikosa mkopo usiache kusoma jitaidi hata...
6 Reactions
37 Replies
6K Views
does globalization solve the problems of poverty? If YES HOW IF NO WHY
0 Reactions
0 Replies
882 Views
vp wapendwa wangu....leo nawaulizeni ni chuo kipi kinachoongoza kwa kuibiana vitu kama LAPTOP,,VIFO VYA GHAFLA na mambo mengine yanayofanana na hayo hapa AFRICA?????//
1 Reactions
12 Replies
6K Views
jamani mbona mie nimekua admitted hapo sua lakini jina langu halionekani kwenye website ya sua,au tcu ilikua danganya toto?tafadhali wale wanaojua lolote tutoane wasiwasi
0 Reactions
2 Replies
890 Views
namnisaidie kuhusu joining
0 Reactions
2 Replies
1K Views
wale wa UDOM admission latter zitapatilana ALIS mnamo tarehe 12 September. SOURCE: ALIS UDOM
0 Reactions
9 Replies
6K Views
Naomba kuuliza kuwa et tuition fee kwene coarse mbalimbali huwa ina badilika mwaka had mwaka? Mnaofaham naomben mawazo yenu
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Wanajukwaa naomben msaada. Nina friend wangu ananisumbua. Yeye ali make aplication for second round na akaandikiwa adimited jordan university colege. Sasa akichek acount za watu wa first round kwa...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Back
Top Bottom