Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!

JF Prefixes:

Vp wakuu,kwa wale wenye tatizo kama langu la kutoona majina yao kwenye web ya muccobs,tujuzane coz kesho naenda kula sahani moja nao,so kama kuna aliyefuatilia hilo la mucob tujuzane ili anipe...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Niaje ma people? hivi tarehe ya kuripoti udom ni lini kwa wale walochaguliwa first year?
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Among of factor inputs as mentioned with the currently accepted criteria are LAND LABOUR CAPITAL and ENTREPRENEUR. ,...what i wish to know is that,.can TIME be added as a factor input,.I propose...
0 Reactions
0 Replies
697 Views
UNIVERSITY OF DODOMA DEPARTMENT OF STATISTICS SHORT COURSE ANNOUNCEMENT ON DATA PROCESSING AND ANALYSIS (To be conducted in MWANZA) The Department of Statistics, School of...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Hawa watu wa bodi ya mikopo ni watu wasiojua umuhimu wa kutoa taarifa zao mapema kwa wahusika.Hata kama kuna waliofanya makosa isiwe sababu ya kuchelewesha kutoa majina.TCU wameongeza muda mpaka...
1 Reactions
23 Replies
3K Views
Wapendwa, huu ni muendelezo wa post yangu ya (Ushauri wa Bure kwa waendao UDOM) pamoja na ile ya (wewe wa UDOM soma hapa fasta). Kwa umuhimu wake, nimeona nizitenge ili zipate kuonekana, pamoja...
0 Reactions
8 Replies
5K Views
Nilikuwa nakesha kwenye website yao lakini sasa hata naingia mala mbili tu kwa siku kabla sijalala na kabla sijatoka kitandani hii inatokana na kuzorota kwa website hii kutokuona HABARI MPYA HASWA...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Jaman vp khs vyuo vya algeria vizuri au?
0 Reactions
16 Replies
4K Views
Wana Jf naomba kuwashirikisha kuhusu utata uliopo kwenye update ya fee structure ya chuo cha SAUT,iliyoonyesha ulipaji wa ada kwa miaka 4 kwa degree,Je?inamaanisha tutakao anza degree tutasoma...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
jamani sisi waTz tutafanya madudu hadi lini,yaani kwenye tcu guidebook wameandika kozi ni 3yrs kumbe ni 4yrs,kweli waungwana kitu sensitive kama hicho watu wanafanya mistake,kweli hii ni bongo yetu
0 Reactions
9 Replies
2K Views
huyu jamaa tulijuana kipindi tupo A-level pale tabora boys kwa sababu wote tulikuwa vichwa sana darasani,matokeo ya form six wote tulipata division one ya point 3 na tulipata scholarship za kuja...
0 Reactions
27 Replies
3K Views
Nimechaguliwa SAUT-BUKOBA branch sijawahi kufika uko na wala sifahamu panafanana vipi. msaada kwa wengine ambao kama wamechaguliwa uko au ata kama kuna mtu ndugu au rafiki amechaguliwa uko...
0 Reactions
19 Replies
4K Views
KAMA NI KAZI WALIM TUNAYO INAKUWAJE MALIMU KUONGEA NA MWANAFUNZI KAMA WANALINGANA"MWANAFUNZI ANAULUZWA UNASABABU ZOZOTE ZA KUMJIBU MLINZI VIBAYA? JIBU ANALOTOA NI 'yes of COURSE' BANA NAONYESHA...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Jaman kama kuna mtu anapewa mkoo na hawa jamaa anyoshe kidole na anhakkshie au ka kuna mtu analjua fresh bac naomba anpe detail zake mana cjawaelewa hata kama ntawaelewa bac cjawaamini.
0 Reactions
9 Replies
3K Views
hii ni kwa wale wote waliochaguliwa chuo chochote hapa moshi wanaweza wakanitafuta itakua poa sana
0 Reactions
14 Replies
2K Views
zilizothibitika
1 Reactions
64 Replies
7K Views
jamani wana jamvi naomba kujuzwa maisha yapi na ghali kati ya kuishi gheto na kuishi hostel. Tangu nimeanza kusoma sijawahi soma shule za binafsi i usualy study government schools so utanielewa...
0 Reactions
13 Replies
5K Views
HABARI ZENU WANAJAMII WENZANGU…. Naombeni nafasi nami niwasilishe hoja hii ndani ya jukwaa hili la elimu lenye heshima kubwa….. Leo nilikuwa maeneo ya ofisi za TCU hapa jijini Dar es...
3 Reactions
23 Replies
8K Views
abarizenyu bana kipande hichi bwana ni cha salamu kwa wana jf salamu zenu kwa wote
0 Reactions
3 Replies
975 Views
Katika hali isiyo ya kawaida,karatasi za majibu za wanafunzi wa mwaka wa tatu wa Shahada ya Kwanza ya Sheria wa UDSM zimeibwa zikiwa kwa Mhadhiri wa somo. Karatasi hizo za somo la Legal...
0 Reactions
21 Replies
3K Views
Back
Top Bottom