Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!

JF Prefixes:

jamani kwa mwenye kuifahamu saut songea
0 Reactions
1 Replies
971 Views
"HESLB WAMEGOMA KUTOA FEDHA ZA TP KWA WANA-MUM.TUKUTANE MTAMBANI KESHO IJUMAA [7/9] SAA 2:00 ASBH TWENDE BODI.WAARIFU WALIO DSM,MORO n.k. BY MUMSO-..."NI 'SMS' KWA WANA-MUM WA 'EDUCATION' (BAED&...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Jana nimepata meseji hii “ Dear customer, your estatement password for the month of September for the account ending with 83400 is 323240” na nikicheki ni kweli account number yangu inaishia na...
0 Reactions
11 Replies
4K Views
Jamani mwenye joining za IFM na Medical atusaidie wengine tunatokea vijijini town mara moja moja sana. So ambaye ameshazichukua plizi tu uplodie ili kupunguza usumbufu maana kwenye website...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
First selection nilikosa nikajaribu secound round nikawa admitted,nimeangalia kwenye website ya chuo nilichoomba nimekuta tayari majina ya secound round selection yapo,nikachukua jukumu la kupiga...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Eti wakuu,inawezekana kweli mtu awe hajaomba mkopo wa helsb,afu majina ya waliopata yakitoka na lake linatoka kuwa amepata mkopo while hakuomba?
0 Reactions
14 Replies
2K Views
Poleni na kazi na mihangaiko wan JF. mimi niliomba chuo na kozi mwaka wa masomo 2012/2013, kutokana na masharti ya mkopo inaonekana kipaumbele kipo kwenye baadhi ya kozi.kwa wale wa Arts...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
:A S cry::A S cry::A S cry::A S cry:wamenibadilishia chuo bila mimi kutaka hata furaha ya chuo sina tena:shetani::shetani::shetani::shetani::shetani:
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Habarini wadau,naona 1st year wengi mpo roho juu kusubiri matokeo ya HESLB,tuendelee kuomba mambo yawe mazuri.Jamni wadau naomba kupata details za hiyo course ya B.com in Finance itolewayo UDOM,je...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Inahitajika
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Hapari zenu wana jf! Naombeni mnisaidi mimi jina langu halionekani web ya chuo na ni first round,jamani waliopewa feedback na tcu tujuzane zaidi,kwa wale wa mucobs nao wapo kwa yaliyonikuta?
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Msaada kwa anayefaham procedure za ku change course chuo especially kwa udsm inakuaje?
0 Reactions
1 Replies
1K Views
jina langu lilitoka kwenye second selection, na mm nikaomba tena fasta st joseph nikaambiwa nipo admitted.sasa leo mist wametoa majina na mm jina langu naliona huko, nikiwapigia tcu kwa msaada...
0 Reactions
0 Replies
977 Views
jamani mi ni mtoto wa mkulima, na nimepata post ya computer science ifm, nackia magepu ya ajira ni magumu na mkopo pia, nifanyeje?
0 Reactions
1 Replies
882 Views
Eti naskia Wizara ya afya wametoa majina ya waliochaguliwa kujiunga na masomo ya afya?
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Nimepangwa TEKU-MBEYA,kuishi wapi ni afadhali,gheto au hostel?. Hostel wanataka ulipe sh.1000 kwa siku 1,zidisha mara siku 240. Jumla sh.240000(nadhani hii ni gharama ya semester nzima). Kama kuna...
0 Reactions
16 Replies
4K Views
tu consider kichwa cha kawaida tu cha denti syo genius wala kilaza,kusema ukweli tujuzane ni kozi ipi inayoongoza kwa mwanafunzi kudisco na kupata sup nyingi udsm na vyuo vingine
0 Reactions
4 Replies
3K Views
Imebainika kuwa asilimia 80 ya shahada hizo si halali. Walakini wa shahada hizo, umebainika kupitia utafiti uliofanywa na Dk Eliamani Sedoyeka wa Chuo cha Usimamizi wa Fedha (IFM) cha jijini...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Wadau habari zenu? Naomba kufahamu kuhusu computer engineering, inadeal na nini na soko la ajira hapa tanzania na east africa as a whole! Nakaribisha maoni yenu bila kusahau wale wa ropokaji...
0 Reactions
16 Replies
3K Views
nasikia eti ni graduate wa L.L.B pale udsm?
0 Reactions
26 Replies
11K Views
Back
Top Bottom