Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!

JF Prefixes:

Those selected to join Weil Bugando visit their website and find everything you need to know as a prospective medical student. Good luck
0 Reactions
0 Replies
916 Views
News ANNOUNCEMENT TO PROSPECTIVE APPLICANTS WHO WERE NOT SELECTED IN ALL OF THEIR PREFERENCES AND ALLOCATED TO OTHER PROGRAMS TCU...
0 Reactions
17 Replies
2K Views
Nawapa polee sana mliochaguliwa MZUMBE UNIVERSITY,,,chuo hiki ni kizuri LAKIN likzo zao ni ndefu kichizi..mfano first year tulifunga mwezi wa 2 wamefungua mwezi wa 7 mwaka huu,,,afu 2nd year...
2 Reactions
15 Replies
2K Views
jamani nisaidieni jins gan utaapply kama umechaguliwa fakat ambayo hukuichagua?
0 Reactions
4 Replies
1K Views
katika selection za first year 2012-2013 college of bussiness education dar es salaam campus wametoa majina ila cha kushangaza facult ya bachelor in procument and supply management wametoa watu 29...
0 Reactions
6 Replies
3K Views
Jamani waungwana nawaomba mnifahamishe kuhusu utolewaji wa vyeti vya ardhi university kwa wahitimu tuliomaliza chuo ardhi university kutoka 2007-2010 umefikia wapi? tafadhali kwa yeyote mwenye...
0 Reactions
0 Replies
961 Views
Jamani ninamdogo wangu alichagulwa chuo ambacho hakuomba kkulingana na Tangazo lililo wekwa kwenye Hope page ya TCU (tcu.co.tz: The Leading TCU Site on the Net) nimejaribu kumuombea second round...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Masela nimechaguliwa baf mzumbe kama kuna wenzangu basi tujuane coz nahisi hakuna kichwa kingine ndani ya jamii f.kama tupo tujuane basi!!
0 Reactions
22 Replies
4K Views
1)direct cost inayotakiwa ilipwe ni bei gan? 2)ukiandikiwa no loan,unatakiwa uende na shiling ngap kama kianzio cha tution fees. 3)bei ya msoc ni shilling ngap(namaanisha msoc wa kawaida na sio...
0 Reactions
19 Replies
2K Views
Wakuu naomba msaada. Nataka kufanya dissertation yangu ya chuo. Naunganisha sekta nne DONOR - BANK - GUARANTOR - SME Nawaomba mnisaidie title au hata research problem inayowaunganisha wote...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
hebu nisaidien, nili attach kitambulsho changu cha kura kwenye ile form ya loan badala ya kitambulisho cha mdhamini!, ila kwenye list ya waliokosea simo, wht cn i do members!
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Moshi Ufundi: Sekondari iliyogeuka kuwa magofu Friday, 24 August 2012 23:48 Kijana akipiga mswaki eneo la shule ya Sekondari ya Ufundi...
0 Reactions
0 Replies
3K Views
hivi jamani ;; in case nikapewa mkopo vitu gana vya msingi nivifanye ili nisihangaike incase nikipewa mkopo?
0 Reactions
5 Replies
1K Views
kwa wale waliochuo au mnaojua cku ya kufungua muhas nisaidieni make boom 4 sure ntabaniwa coz nilikosea kujaza form lao!
0 Reactions
2 Replies
3K Views
Jamni nimesikia TCU Wametoa matokeo ya waliochaguliwa kujiunga na vyuo vikuu hatimaye....
1 Reactions
5 Replies
8K Views
Nimepata taarifa kuwa nimechaguliwa duce lakini nikijaribu kutembelea website yao niakikishe haifunguki (www.duce.ac.tz). Je, kuna njia mbadala? Kama ipo nisaidieni jamani!
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Katika kile kinachoonekana kama udhalilishaji wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (hasa Kitivo cha Sheria),Mamlaka ya Vyuo Vikuu Nchini almaarufu kama TCU imewapanga wanafunzi wenye Daraja la pili...
2 Reactions
67 Replies
7K Views
Habari zenu vijana, Bila kupoteza muda,kwa wale ambao wanajaribu kuingia kwenye akaunti(Sio za Bank) zao za TCU kucheki matokeo yao ya chuo,waingize index zao kama kawaida lakini password waweke...
1 Reactions
1 Replies
1K Views
Wadau nina shida wa soft copy ya IFRS,INTERNATIONAL FINANCIAL REPORT STANDARD- BOOK
0 Reactions
0 Replies
872 Views
Wadau, Kama kuna waliojisajili kwa maombi katika chuo cha IFM kwa course ya Banking and Finance naomba tujuzane kama kuna update yoyote. Natanguliza shukrani.
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Back
Top Bottom