Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!

JF Prefixes:

..kwa wale walomalza UDSm June 2012 ,graduatiön date imerudishwa nyuma hadi 27th October (cluster A-Postgraduate,CASS na Law) othr courzes ni 3rd Nov 2012 (coet,conas,Udbs etc) ..u have to...
0 Reactions
3 Replies
3K Views
natafuta mtu wa kukaa nae gheto...mimi ni mvulana niliyechaguliwa kujiunga UDSM 2012/13 B.com in BANKING $ FINANCIAL SERVICES....nina uzoefu wa kukaa gheto tangu shule ya Msingi,,,o level na A...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Wakuu,ebu nishaurini kidogo hapa,mimi kikweli ckuapply mkopo kule heslb kutokana na sababu ninazozijua mwenyewe,sasa ishu iko hvi,mshua kanambia atakua ananitumia tsh 150000 kila mwisho wa mwezi...
0 Reactions
53 Replies
5K Views
sijaziona form za application for undergraduates wa ifm au hakuna application??
0 Reactions
0 Replies
1K Views
bandugu tusaidiane mchakato mzima wa Hostel hapo mabibo maana wengine 2mepangwa Udism afu mjini ndi vile ha2jawahi kufika! Msaada tafadhali kwa anayefahamu!
0 Reactions
42 Replies
7K Views
Kumekua na mada mbalimbali hapa juu ya ubora wa vyuo na ubora wa output vyao bila ya kuwepo na mjadala wa chanzo na suluhisho ya nini kifanyike.Napenda kuwasii sana wanajf tuachane na mada kama...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Ndugu zangu, nimefanya utafiti na nimegundua wanafunzi wengi wa UDSM wa first degree na masters wanaongoza kufanyiwa reseach na kuandikiwa thesis mtaani. Je hii inatokana na nini?? NAOMBA TUJADILI...
0 Reactions
49 Replies
5K Views
jamani wadau mwenzetu huyu katika kuomba vyuo akaweka na open university .na bahati mbaya kachaguliwa huko.yeye ni form six liver.sasa afanyaje jinsi ya kupata chuo kingine
0 Reactions
14 Replies
1K Views
Inatakiwa ifike wakat selikali itambue kuwa inapeleka elimu pabaya kutokana na vipaumbele(priority) wanavyoweka ili watu wapate mkopo na hiyo imepelekea wa2 wachague kozi ambazo hawana vipaji...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Ripoti Maalumu Sumu aina saba zatesa wananchi Sunday, 26 August 2012 09:17 Nyamongo Claud Mshana RIPOTI ya uchunguzi wa madhara ya sumu...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Jamani anayefahamu majina ya waliochaguliwa DIT anisaidie.
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Wale wa UB tujuane hapa. nataka kujua tarehe ya kuingia chuoni jamani nisaidieni.
0 Reactions
4 Replies
848 Views
Recession: What Does It Mean To Investors? March 19 2010| Filed Under » Bonds, Economics, Retirement, Short Selling Comments 0 Email Print Reprints Feedback When the economy...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
imenishangaza sana kwa nilichokiona kwenye website ya ifm inamaana wanaochokonoa tayari wameshatoboa?? IFM
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Hatimaye baada ya subira ya mda mrefu mambo yako wazi. Ze dude umekuwa wa muhimu sana kwa kutupa info za awali na kuahidi kutupa zilofuatia. Hauna ubinafsi nakupenda kwa hilo, ulitoa tokeo la DSM...
1 Reactions
15 Replies
2K Views
Jaman naomba msaada,kuna jamaa yangu ame b admitted in bach of arts with ed at josiah kibira ila haelewi tarehe ya kuripoti,chuo kinapatikana wapi,website ya chuo na jinsi ya kupata joining...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
ndio chuo kilicholifikisha taifa hapa lilipo.mafisadi wote ni product ya udsm.wahujumu uchumi ni product ya udsm hata maprofessor wenye tamaa ya uongozi wengi ni wa udsm
7 Reactions
123 Replies
10K Views
Vp mliochaguliwa ushirika,tarehe ya kuingia chuoni ni lin?tujuzane nduguz
0 Reactions
2 Replies
1K Views
nisaidieni wanajamii wanao fahamu alaf tuache kushushuana bac!
0 Reactions
5 Replies
1K Views
habari wana jamvi. . . .nimechaguliwa udom kozi ambayo sikuichagua,wala chuo chenyewe sikukichagua,ila nataka niende hapohapo waliponichagua,je nitacomfirm vipi au nikikaa kimya wataelewa kuwa...
0 Reactions
13 Replies
3K Views
Back
Top Bottom