Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!

JF Prefixes:

Wanajamvi naomba kuuliza hivi kama umekua admitted katika Chuo chochote kile ni lazima u-confirm kwenye akaunti yako ya TCU na kama usipo confirm ni nini kinaweza tokea? Naomba msaada wa maelezo...
1 Reactions
0 Replies
1K Views
Ndugu wanajf wenzangu nimekwishatafuta chuo hicho kwa hapa nchini bila mafanikio.Tafadhali kwa anayefahamu naomba anisaidie ili niweze kufahamu inapopatikana elimu hiyo ya kuendesha mitambo hiyo...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
kwa wale wanaodhani kua zile herufi za mwisho kwenye matokea ya o level ni grade ya mkopo sio sahihi.Kama ukiangalia matokeo ya watu wengi o level hayaja kamilika sababu ile space ni too short...
1 Reactions
17 Replies
4K Views
Wandugu naombeni msaada kuhussu tcu mimi nimesoma diploma ya community development na nimeomba kujiunga na vyuo,lakini nimeangalia kwenye profile yangu,selection status inaonyesha Not yet...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
jamani ajabu na kweli jamaa alieomba nafasi ya tutorial assistant (lecturer) katika chuo cha mwalimu nyerere memoral academy(MNMA) matokeo yametoka angalieni (PUBLIC SERVICE RECRUITMENT...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Wadau, Wakati nipo nasoma Graduate, mapedeshee walitinga sana pale IFM kubeba vimwana!! Mademu tunagonga nao discussion mchana na Jioni, usiku tunashuhudia getini wakiwa wametinga vinguo vyao...
1 Reactions
38 Replies
4K Views
Jamani jina langu lipo kwenye admited facult TCU lakini clioni kwenye chuo nilichochaguliwa?nipeni ufumbuzi,
0 Reactions
3 Replies
964 Views
Source wa hii news ni mshikaji wangu wa karibu alienda leo board kuulizia abt hilo suala.bt hii inawahusu wale tu waliowekewa herufi A-k,kama umewekewa herufi l,m,n,o,p na r be patient kuna error...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
.Hope wazma wa afya..Nimechaguliwa chuo cha sauti mwanza na TCU lakin kila nkifungua website yao sioni majina ya tulochaguliwa huko na tcu,nashindwa kuelewa na chuo wameandika kufungua tareh 14...
0 Reactions
17 Replies
2K Views
OLAS- mfumo huu wa kuomba mkopo kwa njia ya mtandao (internet) ni mzuri lakini hamkufanya upembuzi yakinifu kabla ya kuanzisha utaratibu huu kwa sababu zifuatazo; <1>% kubwa waTz wanaishi...
0 Reactions
8 Replies
3K Views
Mke wangu amepata nafasi katika vyuo viwili muhula wa 2013. Katika matokeo ya TCU amechaguliwa kozi ambayo hakuichagua kwenye mfumo wa CAS. Pia matokeo ya chuo ambacho hakipo kwenye mfumo wa CAS...
0 Reactions
2 Replies
875 Views
Nisaidieni ndugu zangu,mbona nafungua website yao lakin haifunguki? Kwani c WWW.MUCCOBS.AC.TZ au nimekosea nn? Nijuzeni jamani,
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Tangu j. tatu walimu jijini hapa wanakaguliwa vyeti.niwaulizeni wana jf hili zoezi na kwenu lipo?wanakagua yafuatayo:cheti cha fm 4,ualimu,leaving certificates na result slips.sababu wanataka...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
For selections pale SUA for degree undergraduates follow this....http://www.suanet.ac.tz/docs/firstundergraduate2012_2013.pdf
0 Reactions
3 Replies
2K Views
:israel: Kwa wale wenye shauku kubwa ya kutaka kujua umepangiwa daraja la ngapi na bodi ya mikopo kwa wanafunzi wa mwaka kwanza udsm yaani 2012/13 angalieni mwisho wa matokeo yenu ya o-level kulia...
0 Reactions
16 Replies
3K Views
e bwana shwari kabisa sasa kama kawaida kule ughaibuni kama vipi join up kwa group ya facebook kwa group inayoitwa TAMOSE hapo mzuka utaenjoy na kufanya safari yako iwe na maana.adminstrator wa...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Division 3 kachaguliwa education(BAED) chuoni TEKU ada mil 1.6 .Vipi atapata mkopo kweli au ndo niuze shamba? Maana sijajua board wameweka vigezo gani kuhusu kutoa mkopo.NIJUZENI COZ NIMESHAANZA...
0 Reactions
16 Replies
5K Views
let say you have a formula 10101 x (X) note:jibu linatakiwa liwe 6 figure ambapo namba mbili zitakua zinajirudiarudia swali ni je formula hii ni sahihi if X ni single digit?(reasoning considered)
0 Reactions
59 Replies
4K Views
hiv ni kwel majina ya mkopo yashakua displayed au bado?
0 Reactions
13 Replies
3K Views
Back
Top Bottom