Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!

JF Prefixes:

Wale wanafunzi wa mwaka wa kwanza mliochaguliwa UDOM tukutane pale uwanja wa JAMHURI dodoma ili tusajiliwe!! mwambie na mwenzako..
0 Reactions
34 Replies
4K Views
Inashangaza hawa jamaa wao wanasema eti admission letters znachukuliwa chuon,kwan kulikua kuna ugumu gani kama mngeziweka kwenye mtandao ili kila mtu aweze kuzipata kiurahc kama vyuo vingne...
1 Reactions
6 Replies
2K Views
jh
1 Reactions
16 Replies
3K Views
Ndugu naomba ushauri wenu kidogo, kati ya hizo course mbili ipi ina soko kubwa la ajira kwa sasa?
0 Reactions
16 Replies
3K Views
Kesi iliyokuwa inawakabili wanafunzi 51 wa chuo kikuu cha Dar es salaam imefikia tamati baada ya kuachiwa huru n mahakama ya mkazi Kisutu. Awali wanafunzi hao walikuwa wanakabiliwa na mashtaka ya...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Jamani wana jf mimi ni kati ya watu waliochaguliwa kujiunga na chuo cha kairuki lakini jina chuoni halipo cha kushangaza ukienda chuoni wanasema rudi tcu ukienda tcu wanakwambia,ukiona jina chuoni...
1 Reactions
8 Replies
6K Views
kama utakosa boom(mkopo) au umepangiwa chuo tofauti na girlfriend wako,hesabu imekula kwako
0 Reactions
14 Replies
2K Views
Jamani chuo cha UKIRIGURU mwanza naskia wametoa majina ya wanafunzi wanaotakiwa kujiunga na chuo hicho, but wao huwa hawaweki matokeo hayo kwenye internet sasa naomba mwenye kujua ntapataje hayo...
0 Reactions
0 Replies
12K Views
IFM ina miaka 40 tokea ianzishwe na ilianzishwa na NBC kwa madhumuni ya kuwapata bankers wakushka nafasi mbalimbali ndan ya different institutions Hapa nchin!!! Mpaka sasa chuo kina wahitimu weng...
3 Reactions
68 Replies
8K Views
Mahakama ya Kisutu leo imefuta kesi dhidi ya wanafunzi 51 wa UDSM waliokuwa wanashitakiwa kwa kuandamana visivyo halali wakati wa mgomo mwaka jana. Kesi imefutwa kwa sababu upande wa mashitaka...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Wadau mimi nimechaguliwa kusoma course inaitwa "Human Nutrition" chuo cha SUA. Naomba kujua kama ina mahusiano na udaktari? inahusu nini? Je kazi ambazo unaweza fanya baada ya kuhitimu hio course...
0 Reactions
4 Replies
3K Views
Wale wanafunzi kwa makumi waliofukuzwa au kusimamishwa masomo katika Chuo Kikuu cha Dodoma( UDOM) wako mbioni kurejeshwa.Taarifa nilizonazo zinaonesha kuwa hali hiyo inafuatia kuonekana kwa...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
nazani mshanielewa sindio au
0 Reactions
18 Replies
3K Views
Hawa jamaa wamepata matatizo na uhamiaji. Kama unataka kusoma hicho chuo kuwa makini maana wamenyang'anywa licence. BBC News - Deportation fears after university visa licence revoked
1 Reactions
1 Replies
1K Views
2011/2012 Course Unit Cwk GradePointRemarksStatusGPA ED 243 English Teaching Methods 2 28.0 A 10.0 PASS Core ED 240 Measurement and Evaluation 3 33.2 A 15.0 PASS Core GE 240 Earth and Biotic...
0 Reactions
13 Replies
3K Views
Samahanini wakuu hasa wana udsm,naomba kuwauliza,ivi hii bachelor of arts in economics ni ngumu sana?maana nimeona matokeo yao kwenye web ya udsm,yanaonyesha 1st year kuna watu 101 wana supp,2nd...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Kuna ndugu yangu alisoma O-level hapa Tz,ila matokeo yake ya fm4 alipata 4,akaenda uganda akaendelea na fm5 na 6,six akapata 2,Je huyu anaweza pata chuo hapa na kuchukua degree? .Naomba ushauri...
0 Reactions
13 Replies
4K Views
members hebu nipeni future ya hiyo coz maana naenda kuisoma then cjui baada ya kusoma ndo ntafanya ki2 gni?
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Kwa wale waliomba kijiunga na chuo hiki, seletion kwa mwaka wa masomo 2012/2013 teyari imetoka kwenye website ya chuo.Tembelea site yao:University of Bagamoyo - Home Page.
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Wana jamiiforums wenzangu naomba mnisaidie kupata jibu, nataka kujua Kijana wetu maalufu kwa Jina la KAYUMBA YOTE MAISHA na mwenzake EMMY wapo wapi watoto ambao walikuwa wanaeleza mwenendo wa...
0 Reactions
5 Replies
4K Views
Back
Top Bottom