Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!

JF Prefixes:

Kweli utafiti ulifanyika kubaini mazingira halisi ya shule zetu? je tuna madawati ya kutosha na yenye ubora?,nafikiri utafiti wa kina ufanyike juu ya hili,kwani si la kukurupuka.
0 Reactions
1 Replies
1K Views
WAJAMENI, nimefanikiwa kuandika kitabu kizuri sana, viwili actually, na lengo langu ni kuvitoa vitabu hivyo ili niviuze. mambo niliyoandika ni marketable sana hapa tz tena nimeandika kwa kiswahili...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
kwa anayefahamu mawasiliano kuhusu IFUNDA, naomba. Na pia shule ikoje kwa pcb msichana?
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Salamu kwenu Baada ya kumsikiliza mh Livingstone Lusinde akimwaga hotuba yake, kilichoniijia akilini ni kwamba kweli hizi communication skills tunazofundishwa Vyuoni ndio zinapaswa kuwa hivyo...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Hallow wana jamvi! ...naulizia kwa mwenye details za kutosha juu ya kusajiliwa kama Professional Engineer kwa mtu aliyemaliza Advanced Diploma ya IT au Computer Science. Je, unaweza kusajiliwa...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Habari wakuu, Mnaweza kunisaidia kuniambia au kunipa ujuzi kwamba,,inawezekana kubadilisha Jina lako Necta kama nimemaliza Form IV lakini Certificates zina Old Name, mimi nilikuwa nahitaji...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
kuna rafiki yangu,ameniuliza,yeye alifanya mtihani wa form 6 mala mbili,mala ya kwanza alifanya masomo yote 4(arts)akapata principle 1, na subsidiary 3 mwaka unaofata akarudia tena...
0 Reactions
0 Replies
928 Views
It is undisputed that JF is the leading social network within our country and perhaps beyond our borders. with JF you get entertained as well educated. Members wa humu tunajiita great thinkers and...
2 Reactions
3 Replies
945 Views
Wadau naomba mnisaidie kunitaarifu Isogole sec ipo mkoa gan na kama kuna mtu ana contact plz anisaidie,ntashukuru kwa msaada wenu!
0 Reactions
12 Replies
5K Views
Jamani wale mliofaulia Longido sec hv? Shule inafunguliwa ln? Na wanavaa sare zp na rang gan? Nisaidien mm nipo mbali
0 Reactions
1 Replies
3K Views
Hi.! Nani kasoma skonga(tajwa hapo juu) au mwenyewe contact za hapo skuli??? Azipost hapa ninashida nazo
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Mfano mwalimu wa hesabu anapumnzika lini? maswali matatu wanafunzi hamsini na asahihishe mpaka lini? Na je akirudi nyumbani afanye nini na kesho anakipindi na je ni sawa na mwalimu wa...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Naombeni mnisaidie mnaoijua shule hii ya Kalangalala,Geita!
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Unaweza kupata orodha ya waliochaguliwa kujiunga kidato cha tano 2011 Kwa wasichana bonyeza hapa http://www.moe.go.tz/PDF/Orodha%20ya%20Wasichana-2011.pdf Wavulana bonyeza hapa...
0 Reactions
12 Replies
17K Views
Ilinitokea o level Azania miakaa kadhaa ilopita.nilikuwa darasa la biashara ila km ujuavyo masomo ya arts ikiwepo biology ilikua lazma..binafsi nikaongeza na ziada ya fine arts na computer studies...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Nimepata tu taarifa kuwa shule hii ipo mkoa wa Rukwa ila zaid ya hapo sijajua ni wilaya ipi na maeneo gani msaada plz nawasilisha.
0 Reactions
9 Replies
3K Views
Habari! Naomba kwa anaye fahamu shule ya machame girls anieleze kuhusu mazingira yake ya kusoma ipo maeneo yapi na pia contacts zake ikiwezekana , naomba ushauri wenu juu ya kuenda shule hii asante
0 Reactions
5 Replies
4K Views
Mie ni mmoja kati ya waliochaguliwa kujiunga minaki PCM kama kuna mtu kachaguliwa huko naomba tuwasiliane >>0718891984
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Kutoka na vitendo vya ngono kushamili chuo ya biashara CBE Dsm. Namatokeo mabaya wa wanafunzi wa kike . NImarufuku kuvaa suluari za mchina zinazobana na kuonyesha maumbile yake. NImarufuku kuvaa...
2 Reactions
53 Replies
7K Views
Jamani napenda kuuliza kuhusu ku change comb kutoka HGE kwenda EGM Kwani zote nina point 6 na ndo EGM ilikuwa comb ya kwanza kuchangua je inauwezekano .NA SHULE ITA NIFAA KWA HIYO comb msaada plz
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…