Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!

JF Prefixes:

Wasomi wengi tanzania hawana faida wala msaada wowote katika taifa letu. Isipokuwa kwa wanasiasa, Je kwa kuanzia vyuoni, nini faiada ya msomi wa leo? KIFANYIKE NINI MSOMI AWE NA NAFASI YAKE TZ?
0 Reactions
11 Replies
1K Views
Wandug nmemaliza 4m6 na nategemea kujiunga na chuo kimojawpo ila mpaka cc huw naskia2 kuhsu aslmia za mkopo ila cjajua iyo asilimia 100,80 au 20 ni tsh ngapi na jins znavyotumika kulipia gharama...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Kwa wale wanosubiri selection za vyuo kutoka Tcu na grade za mkopo kutoka bodi ya mikopo kuachiwa kati ya leo ama kesho source. wadau wa ndani ya tcu and heslb
0 Reactions
12 Replies
3K Views
Cheki dogo alivyokariri miji mikuu http://www.facebook.com/video/video.php?v=10150209572308135 Jamani samahani nilishindwa ku-link jana.
0 Reactions
0 Replies
853 Views
Check out this scholarship at Sydney Achievers International Scholarships – Undergraduate and Postgraduate ~ Scholarships for Tanzanians
0 Reactions
1 Replies
1K Views
kwa wale MLIOMBA tcu na majina hapa
0 Reactions
18 Replies
2K Views
Habari zenyu wana JF? Nimekua nikipata shida na wasiwasi mkubwa kwa elimu yetu ya Tanzania hasa kutokana na namna mbalimbali zitumikazo kuwapata wasomi wa shahada mbalimbali za elimu ya juu...
0 Reactions
2 Replies
37K Views
Wadau. Mi naona sasa ni wakati muafaka wa kujadili kwa kina kuhusu mtihani wa kidato cha pili kuendelea kuitwa wa Taifa. Hivi una mantiki kweli! We jiulize kama wanaenda wote kidato cha tatu...
0 Reactions
12 Replies
4K Views
HIGHER EDUCATION STUDENTS' LOANS BOARD Website under maintainance, will resume today 23th August 2011 by 6:00pm
0 Reactions
9 Replies
1K Views
Mimi nimesikitika sana watz wenzangu je nyinyi mmelipokeaje? Ishu ni kwamba wahadhiri walikuwa wanamadai ya msingi kwa uongozi wa chuo hicho kilichokuwa na sifa zamani lakini sasa kimegeuka...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
SECOND SELECTION APPLICANTS TO PLEASEREAD 1. Introduction Second round of application is officially closed. This roundwas for applicants who did not apply during the first round of applications...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Tatizo la upungufu wa walimu hapa nchini hususani shule za serikali linapelekea wanafunzi wengi hasa watoto wa wakulima kutofanya vizuri katika masomo yao na kuishia kufeli vibaya. Serikali...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Wana jf hatimae ifm wametoa wanafunzi waliochaguliwa kusomea degree mbalimbali@ source; ifm website....
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Majina yatatoka mwanzon mwa september pamoja na asilimia za mkopo utakazo tunukiwa. Source EA RADIO.
1 Reactions
30 Replies
4K Views
kwasababu wanatoa hahadi alafu hawatekelezi,mfano kujenga nyumba za walimu ambazo ndiyo ni sababu ya waliomaliza chuo na hawaendi kufundisha ukiwauliza hakuna maitaji,mfano mwingine vifaa vya...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Kwa mara yangu ya kwanza Tanzania chuo kinafungwa sababu mkuu wa chuo na walimu wahihitilafiana wanafunzi waahirisha masomo.naomba ufafanuzi kwa wanaoelewa jambo hili
0 Reactions
5 Replies
5K Views
Baada ya wizara ya elimu kuridhia uanzishaji wa shule za binafsi na kuona utitiri wa shule zisizo na ubora sasa hali hiyo imehamia kwenye vyuo vikuu.sasa hivi kuna vyuo vikuu miundo mbinu yake...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
wandugu naomba kufaham mchanganuo wa pesa inayolipwa bodi,make nasikia ya meals and accomodation huwa hairudishwi HESLB,nawasilisha
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Computer is an electrical machine capable of installing and processing large amount of data or information and performing calculation and other things.Computer as computer can be used as the good...
0 Reactions
1 Replies
813 Views
Nimeona katika jamii yetu watu wengi wanatapeliwa kwa kutokujua nani anafanya ni nini,ningeomba kila mtu aelezee japo kwa ufupi proffesion yake,for example im a teacher my work is teaching primary...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Back
Top Bottom