Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!

JF Prefixes:

Waungwana napenda kuileta mada hii ili 2weze kuijadili kwa uwazi na zaidi; Mikopo ya vyuo vya elimu ya juu nchini kuwa inatolewa na vyuo usika, je ? itakuwa suluhisho katika uta2zi wa migogoro...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Habari zenu wanajf. Mimi niliwahi kusikia juu ya hii miradi miwili Singida 1.Kuanzishwa kwa UNIVERSITY OF SINGIDA 2.Kujengwa kwa HOSPITALI YA RUFAA YA SINGIDA. Kwa kuwa naamini hapa...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Habari zenu wanajf. Mimi niliwahi kusikia juu ya hii miradi miwili Singida 1.Kuanzishwa kwa UNIVERSITY OF SINGIDA 2.Kujengwa kwa HOSPITALI YA RUFAA YA SINGIDA. Kwa kuwa naamini hapa...
0 Reactions
0 Replies
983 Views
SERIKALI imetangaza kwamba wanafunzi wa sayansi za tiba waliopata udahili kwa ufaulu wa daraja la kwanza na la pili watasomeshwa bure.Mbali ya wanafunzi wa madaraja hayo, hata wale wa wenye ufaulu...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Tunapiga kelele siku zote kuwa Taifa l Tanzania lina uhaba wa watu wa mahesabu na sayansi kwa ujumla. Kuna mtu yuko vijijini kanitumia sms nimwangalizie mwanae kachaguliwa kuendelea na masomo...
0 Reactions
20 Replies
3K Views
Jamani wana JF, tujaribu kung'amua hili... Hivi mgogoro unaoendelea Taasisi ya ustawi wa Jamii ni wa kisiasa? Na je, Wizara na top Oficials wengine (hadi JK) wanafahamu nini hasa chimbuko la...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Wadogo zangu wale ambao mtaona Majina yenu hapa,Tafadhari Zingatieni maelekezo yafuatayo: 1.Kwa Wale ambao walisha Aplly mara ya kwanza : Kama Jina lako lipo katika Orodha Hii,Apply Upya na...
1 Reactions
7 Replies
6K Views
Eti waungwana... Bodi ya mikopo wanatoa mikopo kwa wale ambao ni fresh frm xul tu??? Nihabarisheni mlio karibu na newz
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Eti wadau wa JF watoto wanaobahatika kupitia Kayumba(shule za uma) na hawa wa St flan flan(private or english medium) je? Wanaleta Tabaka la utengano na Je Wakifika ni kweli Kayumba huishia...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Salaam wanaJF! Kwa wale waliosoma vyuo vikuu hapa Tanzania haswa wakati utaratibu wa mikopo kupitia bodi ya mikopo, wataelewa hili jambo. Wakati wa kuingia mkataba na bodi, mkataba ulisema kwamba...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Clark's Sector Model (1950) There are four key industrial economic sectors: the primary sector, largely raw material extraction industries such as mining and farming; the secondary sector...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Wadau naomba mwenye information za kutosha kuhusu vyuo vikuu Malaysia hasa kwa upande wa Ada zao Intake za masomo zinakuaje? Requirements zao nitashukuru sana
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Wana jamvi naomba kujuzwa,hivi inawezekana kufanya mtihani wa kidato cha sita bila kuwa na credit(c) tatu za o'level?kwani nimeona orodha ya majina TCU ya watu waliokosa udahili wa chuo kikuu kwa...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Are you sure this is not a bot? What language is this? O, wait, some experimental translation algorithms perhaps?
0 Reactions
0 Replies
928 Views
habari zenu wakuu,mwaka huu mwezi wa tatu udsm ilikuwa 25 kwenye best universities in africa ila list mpya ya july udsm imeshuka vibaya sana mpaka 38 angalia hapa Ranking Web of World...
0 Reactions
93 Replies
13K Views
CHUO KIKUU CHA UDAKTARI CUHAS-BUGANDO NI CHUO CHA UBABAISHAJI. HIVI MAJUZI mKUU WA KITIVO CHA UDAKTARI ALITAKA KUWAFUTIA UDAHILI WANAFUZI WA MWAKA WA TATU ETI HAWAKUFANYA MITIHANI KATIKA MASOMO...
0 Reactions
8 Replies
6K Views
Scholarship hiyo: 2012 Joint Japan & World Bank Scholarship for Developing Countries at Yokohama National University, Japan ~ Scholarships for Tanzanians
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Wengi wao hasa ma-professor ni wababaishaji! Wanajifanya hawana muda, na mara nyingi huwa hawamalizi syllabus. Wakiulizwa wanatoa majibu mepesi tu, kwamba upo university, no more spoon feeding...
1 Reactions
12 Replies
2K Views
What is going on at HKMU. Nasikia kuna Wanafunzi wamegoma kufanya mitihani. Kuna ajuaye yanayojiri.
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Maonyesho ya ubunifu uliofanywa na wanafunzi wa mkoa wa kilimanjaro jana ambao wanafunzi walionyesha vitumbalimbali walivyo buni ambapo shule ya same iliibuka wa kwanza kwa kuonyesha mashine ya...
0 Reactions
3 Replies
3K Views
Back
Top Bottom