Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!

JF Prefixes:

Kwa niaba ya Watanzania wote wapenda maendeleo na wazalendo wa kweli, Napenda kutoa pongezi zangu za dhati kwa wahitimu wote wa kwanza wa UDOM. Tunaamini kuwa mtatoa mchango mkubwa katika...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Hali ya ulinzi na usalama dhidi ya rais kikwete imezidi kuimarishwa siku hadi siku. Pamoja na kuwepo kwa mitambo ya kukagua watu waliokua wakiingia kwenye ukumbi wa chimwaga siku ya uzinduzi na...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Hali ya ulinzi na usalama dhidi ya rais kikwete imezidi kuimarishwa siku hadi siku. Pamoja na kuwepo kwa mitambo ya kukagua watu waliokua wakiingia kwenye ukumbi wa chimwaga siku ya uzinduzi na...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Hali ya ulinzi na usalama dhidi ya rais kikwete imezidi kuimarishwa siku hadi siku. Pamoja na kuwepo kwa mitambo ya kukagua watu waliokua wakiingia kwenye ukumbi wa chimwaga siku ya uzinduzi na...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
jana nimeskiliza taarifa ya habar redio one kuwa wanachuo wa huko wataka kujaribu kugoma.mwasemaje wadau mlioko huko!
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Habari wana forum. Naomba msaada kwa mtu yeyote ambaye anajuwa principles govering social security(example NSSF,PPF)here in Tanzani.Please with references. Tafadhali its urgent. Asante.
0 Reactions
0 Replies
995 Views
I am currently a third year student at Mzumbe University, under grad. I'm also a member of the student gov and many other things. I could safely say that I try to be an active student and take...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Napenda kujua UDSM waliwakilishwa na kiongozi gani katika uzinduzi wa UDOM uliofanyika jana. Nauliza kwa sababu wakuu wa vyuo mbalimbali vya umma na binafsi walialikwa lakini mabosi watatu wa juu...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Prof mukandara makamu mkuu wa udsm amekiri kuwa kiwango cha elimu ktk chuo hicho kimeshuka kutokana na maandalizi duni ya wanafunzi wanaodahiliwa!huku jk atamba kujenga vyuo vikuu kila kanda jee...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
WanaJamvi nawasalimu kwa jina la Mungu muweza, Kwa mara nyingine tena najitokeza kuomba msaada wa namba ya yeyote kati ya hawa Director, Loan Allocations and Disbursements au muhusika yoyote wa...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Jamani nisaidieni kujua. Eti Boom hupewa wale wanafunzi walioomba mkopo toka Heslb tu? Au mwanafunzi yeyote aliye dahiliwa kwenye chuo chochote cha elimu ya juu bila kujali ameomba mkopo au...
0 Reactions
7 Replies
3K Views
Habari wasomi wote wa jf. Nachukua kozi ya uhasibu. Natakiwa kuchagua masomo mawili kati ya haya. 1.organizational behaviour 2.money and capital markets. 3. Public sector accounting and...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Wanajamvi walopata kusoma MAGAMBA SEKONDARI (sasa chuo kikuu SEKUCO) mp?
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Naomba mnisaidie hatua za kujiunga QT form 5-6 ya mwaka mmoja na kuweza kuqualify kufanya mtihani.
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Ndugu zangu nimekuja kugundua kuwa hawa jamaa wetu wa vyuo vikuu nao hawafai.kuna rafiki yangu alimaliza chuo chake india ila cheti chake kilikosewa jina asa kwenye kufuatilia ndiyo wakafika...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Kwenye Channel Ten Profesa Idrissa Kikula ambaye ni mwendeshaji wa Chuo Kikuu Dodoma alitangazia umma ya kuwa katika uzinduzi wa Chuo hicho ambacho sasa kinatimiza miaka minne seneti ya chuo hicho...
0 Reactions
25 Replies
3K Views
Hi forum members. I would like to know if biology is taught in swahili in Tanzania at secondary level. Which books are used?
0 Reactions
9 Replies
3K Views
Kuna waandishi wengine wanapaswa kuwa na akili, yawezekana hata kazi yake ni ya kuchomekwa tu!! Huwezi kusema UDOM ndo wamesema haya kwa kupitia kapuuzi kamoja kalikokuwa na Ridhwani kwenye kuomba...
0 Reactions
21 Replies
3K Views
Hello brodaz and sisters, naombeni msaada wenu hivi inawezekana kuhama chuo kimoja na kuendelea na masomo chuo kingine? Sheria inaruhusu au? Mind you that hakuna change ya course na ni...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Kwa kweli sasa elimu yetu ya kibongo nayo imeingiliwa na wachakachuwaji,mi sikutegemea kama hawa wanaojiita wasomi kutoa tamko la upande mmoja,nadhani wakati wa uchaguzi kulikuwa na matatizo mengi...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Back
Top Bottom