Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!

JF Prefixes:

Wednesday, 23 June 2010 00:00 Bernie Douglas By Bernie Douglas The less ecologically rich environments of Europe and other non-tropical ecosystems when compared with the more varied and...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Jamani kuna mdau katurushia hii, watafiti changamkieni
0 Reactions
0 Replies
2K Views
INVITATION TO CONTRIBUTE TO THE SPECIAL COMBINED ISSUE No. 4 and 5, OF CHEMCHEMI This and next year many African countries, including Tanzania (Tanganyika) will be celebrating 50 years of their...
0 Reactions
0 Replies
980 Views
Wakuu, nilikuwa napitapita huku na kule nikaikuta hii pale UDSM. Nilifanikiwa pia kuangalia jinsi mode of delivery ya hizo programmes itakavyokuwa, na kwa kuwa mazingira yake yalinivutia nikaamua...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Hello colleagues! I am a student at one of the distance learning university. I have this assignment and I dont know how can I go abou it. Please help me. this is the question ''Think of the...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Ukifika board ya mikopo kwa lengo la kurejesha form zako/za ndugu/jamaa/rafiki/mpenzi wako utakura rundo la watumishi wa board hiyo wakiwa chini ya vivuli kuhudumia wateja (warejesha form) kwa...
0 Reactions
9 Replies
3K Views
Call for Applications - Deadline: 30 June 2010 New Fellowship Programme The Future Agricultures Consortium (FAC) aims to encourage critical debate and policy dialogue on the future of...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Ama kweli wahenga walisema kwenye Miti hakuna wajenzi, sasa ndio naanza kutambua kuwa waliona mbali, nasikitika sana kuona waliondoka bila kutuachia namba za simu wala sanduku la posta huenda...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Chemsha bongo. Umepewa dumu 3 zenye lita tofauti- lita nane na lita tano na lita 3. Lita nane inamaji lita 8, lita tano haina kitu,na lita tatu haina kitu. Umeambiwa ugawe maji kwnye lita tano...
0 Reactions
9 Replies
3K Views
Wanafunzi wa vyuo vikuu vilivyo Dodoma (wanachama wa CCM) leo wamefanya maandamano ya kumunga mkono Mkwere kama mgombea pekee wa urais kwa tiketi ya CCM. Huu ni ujinga na kukuosa kujitambua...
0 Reactions
114 Replies
11K Views
habari zenu, ninaomba msaada wa kisheria * kwa mfano umeolewa ukamkuta mwanamume na nyumba aliyoridhi kwa mzazi wake . kama kiwanja ni kikubwa ukijenga nyumba nyingine ni kosa? . Je utakuwa...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
MAPENZI aliyeonesha Mheshimiwa kwa Chuo Kikuu Dodoma laiti pia yangelipewa angalau nusu vyuo vingine hakika malalamiko mbalimbali ya wanavyuo yangelipungua kwa kiasi kikubwa. Vyuo vingi hapa...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Wanajamii wenzangu, natoa hili wazo kama mtanzania. Wapo wenzetu wengi wanaoishi kwenye mazingira magumu na wanasali na kuomba ili siku waamke wakute wamebahatika kujikuta wako shule/chuo...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Uongozi wa CCM tawi la UDOM college of Education chini ya mwenyekiti Nickson Mmanyi wiki iliyopita ulitangaza kujiuzuru uongozi baada ya wanachama wake kugomea uchaguzi wa viongozi uliotakiwa...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Invigilation technology allows exams be taken anywhere BBC News education reporter Could signs like this be a thing of the past? Forget the dread of queuing up outside the exam hall...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
A student needs an ASSISTANCE from a French teacher for a 1 to 1 course for at least 20 hours min.which will help her work in a French speaking country. She has some basics in French. please pm...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Naomba kwa wenyeji wa mkoa huu wanisaidie, ninatafuta english medium primary school yenye mazingira mazuri ya boarding, ninawahamishia watoto wangu moshi na ningependa wawe boarding kwa sababu...
0 Reactions
37 Replies
10K Views
Wakuu, Kwa yeyote anayejua, naomba anisaidie utaratibu ninaotakiwa kuufuata ili niweze kusajili shule ya msingi mjini DSM, Tanzania. Natanguliza shukrani zangu za dhati kwa msaada wenu
0 Reactions
0 Replies
3K Views
Mliopita sengerema sec hebu tukumbushane mawili matatu.
0 Reactions
25 Replies
5K Views
Miongoni mwa masharti ya kujiunga na shahada ya Uzamili katika vyuo vingi vya nje (Ulaya, Marekani na kwingineko) ni kuwa na uthibitisho wa kujua lugha ya Kiingereza kwa usahihi. Katika hili...
0 Reactions
17 Replies
5K Views
Back
Top Bottom