Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!

JF Prefixes:

Friday, February 12, 2010 10:41 AM MSICHANA Joyce Aloyce [18] mkazi wa Shekilango jijini Dar es Salam, ametoweka nyumbani kwao baada ya kupata majibu yake ya kidato cha...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Nimesikitishwa sana na matokeo ya kidato cha nne. Katika matokeo hayo zaidi ya 82% ya wanafunzi waliofanya mtihani, wamepata division zero au four!!!!!! Tunaenda wapi??? Ni lazima tujiulize...
0 Reactions
27 Replies
4K Views
Hello fellow member! I need help on ideas about challenges faced by both general Teachers and pupils with hearing impairment(deaf pupils) in general classes' settings, plz kama kuna mtu mwenye...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Monday, February 08, 2010 2:39 AM Serikali ya Uingereza imetangaza mpango wake wa kupunguza idadi ya wanafunzi wanaopewa viza za kusoma nchini humo...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
http://www.jgsee.org/app/home.php
0 Reactions
12 Replies
3K Views
Hivi kuna mvumbuzi au scientist wa nguvu like elbet eistern, Galileo, Isaac newton, Kekule, Kalman , sharpov, n.k ambaye ni black? Kama yupo anaitwa nani na alifanya nini? Kama hakuna ni...
0 Reactions
27 Replies
6K Views
Nafikiri serikali ya Tanzania(SISIEM ),inabidi itoe heshima ya hali ya juu kwa chuo hiki kwa kuelimisha Viongozi wetu wengi kuanzia Mh Lukuvi (BA degree ) Mkuu wa Mkoa wa Dar Es Salaam ,Mbunge wa...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
1.Maskini,waoga na washamba-SUA 2.Matajiri,wajanja na wenye akili-MZUMBE 3.Wenye akili chache,wavivu na matozi,master duu-CBE DAR 4.Malaya, wasanii,wauza sura na wasio jiweza kiakili-IFM 5.Upeo...
0 Reactions
51 Replies
10K Views
CHANGAMOTO mojawapo inayochangia kushuka kwa elimu ya msingi mkoani Shinyanga imeelezwa kuwa ni kutopatikana kwa ufumbuzi wa kupatiwa chakula cha mchana kwa wanafunzi. Hayo yalibainishwa mwishoni...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Hivi sasa taasisi nyingi za elimu nchini na hasa vio vikuu viko katika mitihani, ila cha kushanga zaidi ni baadhi ya wanafunzi wengi wa kike pale CBE hupenda sana kutumia vimbomu na wako tayari...
0 Reactions
17 Replies
4K Views
New Zealand Development Scholarship 2010 The New Zealand Development Scholarships (NZDS) scheme offers the opportunity to people from selected developing countries to undertake...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Kuna jamaa yangu anatafuta silabasi (Syllabus) za somo la muziki katika shule za sekondary za o level na o level. Yupo nje ya Tanzania kwahiyo yeyote mwenye kuwa nayo au kutoa ushauri wa wapi kwa...
0 Reactions
0 Replies
3K Views
Dar es Salaam ni makao makuu ya kila kitu kwa nchi yetu Tanzania, hata kama tutajidai makao makuu yapo Dodoma. Harakati za maendeleo ya nchi karibu kila kona ya maisha kitovu chake kipo DSM...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Hello Great THINKERS!! Nimeangaliaa kwenye TV jinsi KOVA anavyoliongelea swala la Jerry Muro nikapata shida sana na Inteligence ya huyu kamanda. Nani anajua CV yake academically?
0 Reactions
45 Replies
7K Views
Habari Wanajf, Ninaomba kama kuna member anaweza kunisaidia kupata kitabu cha hisabati darasa la tano kilichochapishwa na Ben & Company. Mdogo wangu anakiitaji sana kiweze kumsaidia kumudu...
0 Reactions
2 Replies
11K Views
MBEYA INSTITUTE OF SCIENCE AND TECHNOLOGY (Accredited by National Council for Technical Education) ADMISSION TO BACHELOR DEGREE PROGRAMMES FOR THE ACADEMIC YEAR 2008/2009...
0 Reactions
5 Replies
5K Views
Asalaam jamani kuna swali nataka niulize tunasikia kwamba zipo shule nyingi za private ambazo zinapandisha bei ya elimu kila mwaka je nini kinafanyika kuzuiahili itafika wakati hatutaweza kubeleka...
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Jamani ninajaribu kujifunza sheria ya ushahidi nikakutana na swali lifuatalo (a) A agreed in writing to sell a house to B for shillings 10,000/= or shs 15,000/=. Can evedence be given which price...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Dili kwa vijana wa Tanzania, hasa hasa kwa wale waliomaliza Form 6 au wapo Form 6 sasa hivi. Ningependa kuwajulisha kuwa maombi ya kujiunga na vyuo vya Finland yameanza na deadline ni February 12...
0 Reactions
19 Replies
5K Views
Ni asubuhi yapata saa 12.25 nimejipumzisha nyumbani mara nasikia hodi, kutoka nje ni kundi la watu wapatao 11 miongoni mwao yuko katibu,mkit,balozi etc wakijitambulisha kwao kwamba ni serikali ya...
0 Reactions
19 Replies
3K Views
Back
Top Bottom