Ndugu wanajamvi, Wasaam.
nimekuja hapa kuomba mchanganuo wa gharama za kusoma CPA na ACCA kwa hapa tanzania. ninafahamu kuwa inategemea na tution centers. ila kwa mimi ninachoomba ni upande wa...
Msaada tafadhali
Nimejaribu kucheki vingi naona vimeshafunga application kwa masomo ya post graduate!!
Udom n Bugando?
Vyuo gan ambavyo havijafunga application?
Habari Wana Jambo
Naomba kujua kama kuna Uwezekano kwa Mwanafunzi aliyefeli Kidato cha nne kwa alama div 4 30 mwaka Jana, anaweza Kupata nafasi shule yoyote ya serikali arudie kwa kuanzia Form 3.
Habari za wakati wakuu. Poleni na majukumu ya ujenzi wa taifa.
Nikienda kwenye mada. Ni maoni yangu kwamba kutokana na ongezeko kubwa la walimu mtaani. Naona iko haja kwa serikali na taasisi za...
Wakuu kwema?
Naomba kufahamishwa ni wapi nitapata chuo kinachofundisha ufundi pikipiki,kuna mdogo wangu nataka nimpeleke akajifunze ufundi kwanza baadae nitamfungulia duka la spea za pikipiki...
MSAADA JAMA...
:help:
Mimi ni mmoja kati ya wanafunzi walio maliza kidato cha nne mwaka 2014,malengo yangu ni kuwa mwanasheria wa kampuni lkn nimebaina kuwa kuna kazi nyingine bora zaidi...
Habarini!
Wakuu nahitaji msaada wenu, Mwezi wa 3 tarehe 21 natarajia kufanya huu mtihani wa IELTS.
Lengo langu ni kuscore 7.5+ na siwezi bila kupata muongozo wenu kwa watu waliokwisha fanya huu...
Kuna dogo kapata matokeo yafuatayo katika mtihani wa form four- 2021 na hataki kwenda advance.
Civics- C
Geography- C
History- C
Kiswahili- B
English-C
Biology-C
Chemistry-C
Physics- F
Maths-D...
Habari zenu za muda huu wakuu? Naomba nipate uhakika ni hiki ninachofikiria.
Kwenye Kipengele cha "Job Preference" unapojaza form ya TaESA ni sahihi kwamba unatakiwa ujaze kazi ambazo ungependa...
Mna shida gani na continues walio pata mkopo kwenye Appeal . Hadi leo hamja wapa pesa zao na semester imeisha mfano mdogo vyuo vya Tumaini University makumira..mzumbe Morogoro na DIT mme ishia...
Katika pitapita zangu nimekuja kuona ili kujiunga na masomo ya Bachelor of science in computer science ni lazma uwe na atleast D za Physics na Mathematics Kutoka A-level..
Je, hiyo D ya...
Habari ndugu zangu JF!
Nipo katika wakati mgumu kuhusu shule.
Nimetoka kupokea matokeo ya test nimepata 0/15. Somo la East African Community law. Sio kwasababu sikuwa na majibu sahihi, Lah! Ni...
Habari zenu wapendwa, leo ni siku ya mapumziko tuishi katika bwana. Niende kwenye Mada husika bila kupoteza mda.
Nina rafiki angu yupo Johannesburg nchini Afrika Kusini ananisumbua kila siku...
Napongeza sana utoaji wa tuzo katika elimu haswa kwa wale wanaofanya vizuri pamoja na walimu wao👍
Ila sijaelewa vigezo katika tuzo ya msimamizi bora wa mtihani🤔 Nn kinazingatiwa katika utoaji wa...
Napongeza sana utoaji wa tuzo katika elimu haswa kwa wale wanaofanya vizuri pamoja na walimj wao👍
Ila sijaelewa vigezo katika tuzo ya msimamizi bora wa mtihani🤔 Nn kinazingatiwa katika utoaji wa...
Serikali ingefanya mpango wa kuwapa boom la mtaji kwa wanohitimu vyuo vikuu. Baada ya graduation graduates wote wapewe boom la kwenda kuwasaidia kuanzia maisha mtaani.
Hii ingesaidia kujiajiri...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.