Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!
Wadau pamoja na UDSM kuwa na sifa kubwa kimataifa na kuwa chuo kikongwe TZ lakini mazingira ya kusomea yanasikitisha hususani sehemu kama vyoo (mfano vyoo wa SR, CoET, TATAKI, PESS office, Old...
5 Reactions
41 Replies
5K Views
Habari za jioni wanaJF? Naomba mwenye nakala laini (softcopy) za syllabus za Chemistry na History kidato cha kwanza mpaka cha nne anisaidie.
1 Reactions
1 Replies
1K Views
Wajuzi kuna yeyote ambaye ni continue student aliappeal na akapata mkopo mpaka sasa, coz mm niliappeal lkn kwny account yangu nimeandikiwa not successful. Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Hizi ratio za pesa huwa zinatolewaje ? Wanatumia vigezo gani? Mfano unaambiwa elfu kumi ya Kenya ni laki kwa tanzania Sent using Jamii Forums mobile app Sent using Jamii Forums mobile app
1 Reactions
3 Replies
768 Views
Kama ni walimu wote wamesoma chuo kimoja na wale wa private lakini matokeo tofauti. Tatizo liko wapi? Nashangaa sana jambo hili watoto wanafeli hakuna mfano. Mwalimu anafundisha Primary lakini...
0 Reactions
13 Replies
3K Views
Sijui ni Lini serikali itathamini na kujali michango ya walimu katika kuboresha elimu na kuleta maendeleo katika Taifa Letu. Walimu wanatekeleza majukumu yao ktk mazingira magumu ikiwa ni pamoja...
1 Reactions
21 Replies
3K Views
Kwa yeyote anaefahamu gharama na process nzima ya kusomea udereva katka kile Shule ya Ufundi ya Police Kurasini anisaidie tafadhali kunifahamisha. Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
3 Replies
5K Views
Heri ya mwaka mpya 2020 waungwana. Mimi ni mwanachuo kikuu hapa Dar es Salaam. Ninasoma Shahada ya kwanza katika Uhasibu na Fedha (BAF). Nipo hapa kuomba ushauri kuhusu mada tajwa hapo juu...
0 Reactions
2 Replies
3K Views
Hivi ni kweli kwamba kuna baadhi ya vyuo vya umma vinawalipisha ada ya field laki moja kutoka kwa wanafunzi kwenda chuoni. Na kuwatishia wasipotoa watawazuia kuwapa ruhusa kwenda field ai...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Naomba kueleweshwa juu ya upimaji wa vilele vya milima mirefu mpimaji hupima akiwa wapi (1) kileleni (2)chini yaani baharini kwa sababu Kila ukitajwa mlima unahusishwa na usawa wa bahari milima...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Natafuta hicho kitabu. Hapa nilipo hakipatikani kwenye maduka ya vitabu. Mwenye kujua kinapopatikana anisemeshe PM nimtumie pesa anunue na kunitumia. Thanks.
1 Reactions
40 Replies
5K Views
Chuo kikuu cha Dar es Salaam kushirikiana na kitengo cha uhandisi na teknolojia (CoET) pamoja na kile cha uhandisi wa kompyuta na mawasiliano (CoICT) wamezindua mpango maalumu wa miaka 7 wa...
11 Reactions
120 Replies
15K Views
Wanajamvi habrai za jioni, poleni na Januari kwa hekaheka. Naomba msaada kwa anayefahamu mazingira ya Bagamoyo yalivyo. Nafikiria kwenda kujiunga na chuo cha Adem Bagamoyo kozi ya D.S.I Ila...
2 Reactions
5 Replies
10K Views
Kuna dhana kwamba sekta ya elimu ni sekta isiyo na pesa. Kuweka maisha yako kwenye elimu ni kutafuta umaskini, walimu na wadau wa elimu ni wanyonge na watu wanaodhaurika na wanapuuzwa sababu...
3 Reactions
30 Replies
6K Views
Kuimarika kwa diplomasia ya uchumi kwenye serikali ya Rais Magufuli kumesababisha Watanzania kunufaika kwa njia mbalimbali ikiwamo kupata mafunzo ya kimkakati nje ya nchi. Mwaka 2019, serikali ya...
1 Reactions
9 Replies
2K Views
Wadau poleni na majukumu, 1.ninaomba ushauri wenu juu ya kozi nzuri ya master's, Nina Bachelor Degree of Education major in History minor in kiswahili. 2.Kwa wanaofahamu je ninaweza kusoma...
0 Reactions
6 Replies
5K Views
Wahenga mliosoma hiki kitabu naomba msaada wenu jinsi ya kukipata Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Kwa yeyote mwenye join instruction ya mbalizi instute of health kilichopo mbeya Anifahamishe kuhusu jumla ya michango na ada Natanguliza shukrani kwenu
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Wakuu ninaomba ufafanuzi kwa wazoefu, ikiwa mwanafunzi alichaguliwa vyuo viwili akaconfirm kimoja akaenda lakini mkopo ulivyokuja umeenda chuo kile kingine ambacho mwanafunzi hajaenda. Je ni...
1 Reactions
0 Replies
4K Views
Wadau salaam Heri ya Mwaka mpya? Wadau natafuta mentor atakayeni mentor kwa ajili ya CPA yangu, mimi nimepata CPA karibuni hapa. Nipeni uzoefu wenu najua humu mpo, au kama kuna mentor yupo humu...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Back
Top Bottom