Niko Chuo cha Muyoge, nasoma kozi ya Clinical Medicine ninapitia wakati mgumu sana katika maisha yangu ambapo imenifanya niingie kwenye mgogoro wa nafsi maana mazingira ya chuo nilichopo na...
Wakuu nakumbuka kitabu hicho kinaanza chapter 1 kwa baba yake RORIONKA kumwita. Rorionkaaaaaaa..........'
Nataka kikiwa hivyo kabla hakijawa summarized.
Je kuna mwenye nacho? Ni kitabu kikubwa...
Kama wewe ni Kijana mwenye umri kuanzia miaka 21 hii ndio post yako bora ya mwaka 2019 ,yakupasa uisome na kuitafakari vyema sana.
Kwa mujibu wa mtandao wa www.biblemoneymatters.com umeonyesha...
Naandikaa huu uzi nikiwa na majonzi ya kurudi mkoani (Kigoma) kijijini kwetu bila cheti wala trascript. Nilikuja Dar ili nifanye clearance kisha nichukue cheti transcript pamoja na cheti.
Cha...
Je ni kweli, lazima usote darasani miaka 2 - 5 kutafuta PhD, au inategemea na program ya yule anayekufunza?
Natambua full time students uchukua maximum 2 years na part - timers ni 5 years max...
EWE MWANACHUO, TAMBUA MAZITO HAYA 2019 INAPOKUAGA, NJOO KIVINGINE 2020. TAFAKURI KALI BALA JUMAPILI YA LEO.
Unaposhangilia boom, usomi ama sherehe za graduu ndani ya joho hadi unajaa nyodo na...
Mimi ni mwanafunzi wa kidato cha sita HKL. Je, ninatakiwa niwe na vigezo gani? ili nisome IT Chuo Kikuu? Au haiwezekani?
Sent using Jamii Forums mobile app
Guys mambo zenu....
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza hapo juu... kwa mwenye kujua shule nzuri iliyopo Tabata Ukiondoa Tusiime nitashukuru akinipa uzoefu wake hapa. Ikiwa na unafuu wa Ada...
Mwaraye!
Mimi ni mtu wa Operation. Nahitaji kuongeza skill set yangu so naombeni mnisaidie kufanya maamuzi kati ya hizi short courses:
1. Computer Maintenance
2. Computer Application
Nikachukue...
Habari zenu wana jf,
Napenda kuomba ushauri kwa yeyote aliye wahi soma au kuishi nchini Uganda kwani nahitaji kwenda kujiunga na chuo kikuu mwakani. Yaani namaanisha details namna ya kuapply chuo...
Habari za asubuhi wadau!
Nimepoteza cheti changu cha form four, form Six na cha chuo pamoja na transcript. Nimejaribu tafuta contact za Wizara ila naona namba hazipo active, najua hapa wote mpo...
Tuwafundishe watoto wetu vitu vinavyowajengea uzalendo, kujiamini na upendo kwa wengine badala ya kuwafundisha watoto vitu vinavyowavunja nguvu na kuwanyong'onyeza wakiwa wangali watoto wadogo...
Habarini ndugu zangu,
Yoyote ambaye ataweza kunisaidia Past Paper za mock Form 6 nazihitaji hata kwa kuzinunua.
Ahsanteni.
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.